Yale majeshi ya kenya yalioenda kongo kulinda amani,plus kp kuonya washirika wa kongo wanaopiga a dhidi yao kule msituni!!!!
Halafu waO wakumuunga mkono Odinga badala ya Ruto!
Wale wa kuunga wameunga,kuna SIKU huyu dogo alipiga picha na pk wakichunga mang'ombe aina ya inyambo,aina ile ya ng'ombe naiona Sana karagwe KWA wanyankole wanyambo!
Pia kampeni ya kuelekea kushika HATAMU pale Baba atakapostaafu,M7 amenusa nyakati za yeye kuendelea haziruhusu KABISA!
Zama za madikteta DUNIANI zinaisha!
Fikra Huru Moja kati ya Hayo!