NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Haina chochote, hata yangekuja mashindano ya ngono wasingefua chchote.Ule uzi wa mkwara wa kwanza niliandika comments nyingi na msimamo wangu ni uleule. Uganda haiwezi kuipiga Kenya kiuchumi, kijeshi wala kidiplomasia.
hajawahi pata mkong'oto ndo maana analeta fujo
Ila hizi dini nyingine hizi😷😷😷Pwani kwenye dini yenu kuanzia Pemba, Tanga mpaka Mombasa ndio inaongoza kwa mashoga...
Kaka wanyambo tumeingiaje hapoYale majeshi ya kenya yalioenda kongo kulinda amani,plus kp kuonya washirika wa kongo wanaopiga a dhidi yao kule msituni!!!!
Halafu waO wakumuunga mkono Odinga badala ya Ruto!
Wale wa kuunga wameunga,kuna SIKU huyu dogo alipiga picha na pk wakichunga mang'ombe aina ya inyambo,aina ile ya ng'ombe naiona Sana karagwe KWA wanyankole wanyambo!
Pia kampeni ya kuelekea kushika HATAMU pale Baba atakapostaafu,M7 amenusa nyakati za yeye kuendelea haziruhusu KABISA!
Zama za madikteta DUNIANI zinaisha!
Fikra Huru Moja kati ya Hayo!
Jamaa wana akili za kikuda. Sasa mabikira watokee wapi huko jongomeo?🤔Mashababi jeshi la allah wenu hua sio rahisi kupigana nao maana hujitolea kufa ili wawahi mabikira walioahidiwa, hao kupigana nao kunahitaji na sisi tuahidiwe mabikira kama mlivyoahidiwa.
MkuuKaka wanyambo tumeingiaje hapo
Kayanga kaka🤣🤣🤣🤣Mkuu
Wewe wa Mabira,kaisho,kayanga au wapi!!?
Mna nasaba na hao Jamaa wote wanyankole!