General Venance Mabeyo kakosea kusimama kulia kwa Rais Samia. Mwanajeshi senior anakaa kulia kwa junior

General Venance Mabeyo kakosea kusimama kulia kwa Rais Samia. Mwanajeshi senior anakaa kulia kwa junior

Hakuna siku ya furaha kama leo ambapo kwa mara ya kwanza Amiri Jeshi Mkuu wetu, Samia Suluhu amevaa magwanda ya jeshi.

Binafsi kwangu nimefurahi kumuona mama na magwanda yake. Hongera mama yetu Rais Samia.

Zipo porojo za wasiofahamu wanahoji kwa nini kavaa wakati Kikwete, Mkapa na Mwinyi hawakuvaa.

Niwakumbushe tu hawa kama hawakuvaa waliamua kwani mwanajeshi mkuu ni Rais yaani Amiri Jeshi Mkuu.

Rais Nyerere akivaa kijeshi mara kadhaa na alienda hata Kagera kukagua maandalizi ya kumpiga Idi Amin. Tena Nyerere alivaa hadi magwanda ya mgambo.

Hivyo hiyo siyo hoja nimeigusa tu kwa sababu wapingaji wa kila kitu humu wameifanya iwe hoja.

Sasa nije kwenye hoja yangu, hasa iliyonisikitisha kutokea eneo la jeshi.

Utaratibu wa jeshi lolote ni kwamba unafuata seniority, yaani ukubwa. Mkubwa anapigiwa saluti na mdogo, "Jambo Afande" na mkubwa anaitikia "Jambo".

Mkiwa kikundi cha wanajeshi, au askari yoyote mnatembea, mbele yenu anakuja mkubwa kuwazidi, basi aliye senior kati yenu anakaa kulia kisha anapiga saluti kwa niaba yenu wote mlio kushoto kwake.

Hii ndiyo sababu askari hukaa mkubwa (senior) kulia mwa wote na mdogo (junior) anakaa kushoto.

Hata kama hujaishi na askari basi angalia gwaride lao uwanjani wakifika penye mkubwa kikosi kinaamriwa "Heshima Kulia toa" halafu walioko kulia kabisa wanatoa saluti jukwaani.

Hii ni mojawapo ya maana ya senior kukaa kulia ndiyo maana kuna "Heshima Kulia toa" kwa sababu kulia ndiko aliko mkubwa.

Hakuna "Heshima Kushoto" kwa sababu kushoto kuna mdogo (junior).

Ndiyo sababu hata salute ni ya mkono wa kulia siyo ya mkono wa kushoto.

Hata hafla nyingi nchini ukitizama utaona Mabeyo amekaa kulia mwa Simon Siro.

Ndivyo majeshi yalivyo tangu jeshi la Roman Empire hadi leo.

Sasa leo Rais Samia katembelea wanajeshi wake. Kisha akasimama kushoto mwa Mabeyo ambaye ni junior kwake.

Kilichotakiwa ni mama kusimama kulia mwa Mabeyo ili Mabeyo awe kushoto kwake.

Bahati mbaya sana hakuna aliyelidokeza hili matokeo yake waandishi wamepiga picha na tumeipata mitandaoni.

Hili ni kosa na tunasihi lisirudiwe.

Basi hata likitokea ikibidi basi wapiga picha wawe makini kutosambaza picha kama hizi japo ni ukweli.

View attachment 2011963

View attachment 2011969
Tanzania ndo nchi pekee kila mmoja anajua,wewe umejuaje kuwa wamekosea ?uliza ujibiwe
 
Kinachofanya uwe Senior/Junior nafikiri ni mafunzo.
Labda tuseme, Amiri jeshi mkuu hana mafunzo hayo kwasababu hio CDF ataendelea kukaa Kulia kama senior (Kwenye eneo lake la kazi ukizingatia wamevaa kombati) wakivua gwanda tukatumia itifaki atakua junior 🤗
au nasema uwongo ndugu zangu?
 
waongo banah wanaweza ht kumkosoa samaki jinsi anavyoogelea, kuna mambo yanaoneka na wazi km mama jinsi mama alivyotokelezea unaacha unaleta habari za kumfundisha mabeyo mambo ambayo kabobea kuliko ww
Hiyo ni kanuni ya Jeshi dogo. Kama hujui piga kimya!
 
Hakuna siku ya furaha kama leo ambapo kwa mara ya kwanza Amiri Jeshi Mkuu wetu, Samia Suluhu amevaa magwanda ya jeshi.

Binafsi kwangu nimefurahi kumuona mama na magwanda yake. Hongera mama yetu Rais Samia.

Zipo porojo za wasiofahamu wanahoji kwa nini kavaa wakati Kikwete, Mkapa na Mwinyi hawakuvaa.

Niwakumbushe tu hawa kama hawakuvaa waliamua kwani mwanajeshi mkuu ni Rais yaani Amiri Jeshi Mkuu.

Rais Nyerere akivaa kijeshi mara kadhaa na alienda hata Kagera kukagua maandalizi ya kumpiga Idi Amin. Tena Nyerere alivaa hadi magwanda ya mgambo.

Hivyo hiyo siyo hoja nimeigusa tu kwa sababu wapingaji wa kila kitu humu wameifanya iwe hoja.

Sasa nije kwenye hoja yangu, hasa iliyonisikitisha kutokea eneo la jeshi.

Utaratibu wa jeshi lolote ni kwamba unafuata seniority, yaani ukubwa. Mkubwa anapigiwa saluti na mdogo, "Jambo Afande" na mkubwa anaitikia "Jambo".

Mkiwa kikundi cha wanajeshi, au askari yoyote mnatembea, mbele yenu anakuja mkubwa kuwazidi, basi aliye senior kati yenu anakaa kulia kisha anapiga saluti kwa niaba yenu wote mlio kushoto kwake.

Hii ndiyo sababu askari hukaa mkubwa (senior) kulia mwa wote na mdogo (junior) anakaa kushoto.

Hata kama hujaishi na askari basi angalia gwaride lao uwanjani wakifika penye mkubwa kikosi kinaamriwa "Heshima Kulia toa" halafu walioko kulia kabisa wanatoa saluti jukwaani.

Hii ni mojawapo ya maana ya senior kukaa kulia ndiyo maana kuna "Heshima Kulia toa" kwa sababu kulia ndiko aliko mkubwa.

Hakuna "Heshima Kushoto" kwa sababu kushoto kuna mdogo (junior).

Ndiyo sababu hata salute ni ya mkono wa kulia siyo ya mkono wa kushoto.

Hata hafla nyingi nchini ukitizama utaona Mabeyo amekaa kulia mwa Simon Siro.

Ndivyo majeshi yalivyo tangu jeshi la Roman Empire hadi leo.

Sasa leo Rais Samia katembelea wanajeshi wake. Kisha akasimama kushoto mwa Mabeyo ambaye ni junior kwake.

Kilichotakiwa ni mama kusimama kulia mwa Mabeyo ili Mabeyo awe kushoto kwake.

Bahati mbaya sana hakuna aliyelidokeza hili matokeo yake waandishi wamepiga picha na tumeipata mitandaoni.

Hili ni kosa na tunasihi lisirudiwe.

Basi hata likitokea ikibidi basi wapiga picha wawe makini kutosambaza picha kama hizi japo ni ukweli.

View attachment 2011963

View attachment 2011969
Rais anapokuwa amevaa kijeshi namna hii, kwenye mabega kunakuwa na alama za aina gani zinazoonyesha cheo chake kama Amiri jeshi Mkuu? Kwa mfano, CDF yeye ana mkasi na nyota nne, Rais yeye anakuwa na nini mabegani?
 
Mleta mada pongezi sana kwa umakini wako ulichokieleza ndiyo uhalisia wenyewe jeshi letu lipo kimazoea sana achilia mbali kadiri siku zinavyozidi kwenda jeshi linalizidi kuwa legelege, kwata tulizobakiwa nazo ni za enzi ya mkoloni ubunifu hakuna na mafunzo yetu yamedumaa.

Angalia u-smart wanaokuwa nao jeshi la China,Korea au hata hawa ndugu zetu wamisri wakiwa kwenye gwaride walivyonyooka unaona kweli makamanda wameiva na wembamba kweli miili imekubali demo na doso lakutosha linganisha nawakwetu sasa full vitambi na miguu imerudi nyuma kama stendi ya baiskeli unajiongeza tu hapa hamna kitu basi tu bora liende.

Tusipoacha mapuuza hatuko pazuri nivyema kujikosoa kabla adui hajatuotea, nchi salama ni yenye uongozi makini na jeshi imara.
Kwa vitambi labda polisi Mkuu ila sometime ni maumbile tu ya mtu nimeshuhudia mara nyingi wanajeshi wana vitambi ila wanaonekana kabisa hawa watu wapo vizuri sana,,, Kuna siku nlimuona captain wa jeshi ana kitambi ila jinsi alivyo mwepesi ni atari anafanya kila kitu kwa wepesi mbaka watu wakashangaa na kitambi chake.
 
Hakuna siku ya furaha kama leo ambapo kwa mara ya kwanza Amiri Jeshi Mkuu wetu, Samia Suluhu amevaa magwanda ya jeshi.

Binafsi kwangu nimefurahi kumuona mama na magwanda yake. Hongera mama yetu Rais Samia.

Zipo porojo za wasiofahamu wanahoji kwa nini kavaa wakati Kikwete, Mkapa na Mwinyi hawakuvaa.

Niwakumbushe tu hawa kama hawakuvaa waliamua kwani mwanajeshi mkuu ni Rais yaani Amiri Jeshi Mkuu.

Rais Nyerere akivaa kijeshi mara kadhaa na alienda hata Kagera kukagua maandalizi ya kumpiga Idi Amin. Tena Nyerere alivaa hadi magwanda ya mgambo.

Hivyo hiyo siyo hoja nimeigusa tu kwa sababu wapingaji wa kila kitu humu wameifanya iwe hoja.

Sasa nije kwenye hoja yangu, hasa iliyonisikitisha kutokea eneo la jeshi.

Utaratibu wa jeshi lolote ni kwamba unafuata seniority, yaani ukubwa. Mkubwa anapigiwa saluti na mdogo, "Jambo Afande" na mkubwa anaitikia "Jambo".

Mkiwa kikundi cha wanajeshi, au askari yoyote mnatembea, mbele yenu anakuja mkubwa kuwazidi, basi aliye senior kati yenu anakaa kulia kisha anapiga saluti kwa niaba yenu wote mlio kushoto kwake.

Hii ndiyo sababu askari hukaa mkubwa (senior) kulia mwa wote na mdogo (junior) anakaa kushoto.

Hata kama hujaishi na askari basi angalia gwaride lao uwanjani wakifika penye mkubwa kikosi kinaamriwa "Heshima Kulia toa" halafu walioko kulia kabisa wanatoa saluti jukwaani.

Hii ni mojawapo ya maana ya senior kukaa kulia ndiyo maana kuna "Heshima Kulia toa" kwa sababu kulia ndiko aliko mkubwa.

Hakuna "Heshima Kushoto" kwa sababu kushoto kuna mdogo (junior).

Ndiyo sababu hata salute ni ya mkono wa kulia siyo ya mkono wa kushoto.

Hata hafla nyingi nchini ukitizama utaona Mabeyo amekaa kulia mwa Simon Siro.

Ndivyo majeshi yalivyo tangu jeshi la Roman Empire hadi leo.

Sasa leo Rais Samia katembelea wanajeshi wake. Kisha akasimama kushoto mwa Mabeyo ambaye ni junior kwake.

Kilichotakiwa ni mama kusimama kulia mwa Mabeyo ili Mabeyo awe kushoto kwake.

Bahati mbaya sana hakuna aliyelidokeza hili matokeo yake waandishi wamepiga picha na tumeipata mitandaoni.

Hili ni kosa na tunasihi lisirudiwe.

Basi hata likitokea ikibidi basi wapiga picha wawe makini kutosambaza picha kama hizi japo ni ukweli.

View attachment 2011963

View attachment 2011969
Okay but nikukosoe kidogo kwanza hakuna amri ya "heshima kulia toa"ila ni heshimaaaaaaa...... Kulia pia iyo ni kwenye pared lakini sio kwamba hakuna heshima kishoto ila heshima kushoto ipo ni pale sinior anapotembeza kikundi cha askari na kiongozi akawa yupo upande wa kushoto huwezi kutoa amri kwamba heshima kulia wakati kiongozi yupo kushoto laazima useme heshimaaaaaaa... Kushoto na ukitoa iyo amri ni kwamba wewe senior wa kikundi utasalute lakini askari wengine watakata macho kushoto au kulia inategemeana na alipo kiongozi


Wewe unapitisha askari kwa mwendo wa halaka popote pale kambini gafra afande ocd au CO akatokea na akawa yupo kushoto kwa kikundi cha askari basi wewe senior unaeongoza bogi la askari utasema heshimaaaaaaa... Kushoto basi wewe utasalute na kusema jambo afande na askari wengine watakata macho kushoto isipokua mstari wa right mark ndio hawata kata macho kushoto maana wao ndio wanalinyoosha bogi kwenye kutembea.Asante
 
Ni kweli kwa hizo emergency cases. Katika mazingira ya Venance Mabeyo hakukuwa na emergency, alitakiwa kuwa right marker, jambo ambali hunipingi.


Okay but nikukosoe kidogo kwanza hakuna amri ya "heshima kulia toa"ila ni heshimaaaaaaa...... Kulia pia iyo ni kwenye pared lakini sio kwamba hakuna heshima kishoto ila heshima kushoto ipo ni pale sinior anapotembeza kikundi cha askari na kiongozi akawa yupo upande wa kushoto huwezi kutoa amri kwamba heshima kulia wakati kiongozi yupo kushoto laazima useme heshimaaaaaaa... Kushoto na ukitoa iyo amri ni kwamba wewe senior wa kikundi utasalute lakini askari wengine watakata macho kushoto au kulia inategemeana na alipo kiongozi


Wewe unapitisha askari kwa mwendo wa halaka popote pale kambini gafra afande ocd au CO akatokea na akawa yupo kushoto kwa kikundi cha askari basi wewe senior unaeongoza bogi la askari utasema heshimaaaaaaa... Kushoto basi wewe utasalute na kusema jambo afande na askari wengine watakata macho kushoto isipokua mstari wa right mark ndio hawata kata macho kushoto maana wao ndio wanalinyoosha bogi kwenye kutembea.Asante
 
Rais anapokuwa amevaa kijeshi namna hii, kwenye mabega kunakuwa na alama za aina gani zinazoonyesha cheo chake kama Amiri jeshi Mkuu? Kwa mfano, CDF yeye ana mkasi na nyota nne, Rais yeye anakuwa na nini mabegani?
Cheo chake kipo kwenye kofia yake pale mkuu pameandikwa C in C maana yake Commander in Chief chini ya ile alama ya ngao ya rais. Hawezi kuwa na cheo chochote mabegani kwa sababu yeye siyo commissioned officer bali ni commander in chief tu.
 
Magwanda sketi ndio mpango. Hapo bado kuna u"ME" ndani yake
 
Hakuna siku ya furaha kama leo ambapo kwa mara ya kwanza Amiri Jeshi Mkuu wetu, Samia Suluhu amevaa magwanda ya jeshi.

Binafsi kwangu nimefurahi kumuona mama na magwanda yake. Hongera mama yetu Rais Samia.

Zipo porojo za wasiofahamu wanahoji kwa nini kavaa wakati Kikwete, Mkapa na Mwinyi hawakuvaa.

Niwakumbushe tu hawa kama hawakuvaa waliamua kwani mwanajeshi mkuu ni Rais yaani Amiri Jeshi Mkuu.

Rais Nyerere akivaa kijeshi mara kadhaa na alienda hata Kagera kukagua maandalizi ya kumpiga Idi Amin. Tena Nyerere alivaa hadi magwanda ya mgambo.

Hivyo hiyo siyo hoja nimeigusa tu kwa sababu wapingaji wa kila kitu humu wameifanya iwe hoja.

Sasa nije kwenye hoja yangu, hasa iliyonisikitisha kutokea eneo la jeshi.

Utaratibu wa jeshi lolote ni kwamba unafuata seniority, yaani ukubwa. Mkubwa anapigiwa saluti na mdogo, "Jambo Afande" na mkubwa anaitikia "Jambo".

Mkiwa kikundi cha wanajeshi, au askari yoyote mnatembea, mbele yenu anakuja mkubwa kuwazidi, basi aliye senior kati yenu anakaa kulia kisha anapiga saluti kwa niaba yenu wote mlio kushoto kwake.

Hii ndiyo sababu askari hukaa mkubwa (senior) kulia mwa wote na mdogo (junior) anakaa kushoto.

Hata kama hujaishi na askari basi angalia gwaride lao uwanjani wakifika penye mkubwa kikosi kinaamriwa "Heshima Kulia toa" halafu walioko kulia kabisa wanatoa saluti jukwaani.

Hii ni mojawapo ya maana ya senior kukaa kulia ndiyo maana kuna "Heshima Kulia toa" kwa sababu kulia ndiko aliko mkubwa.

Hakuna "Heshima Kushoto" kwa sababu kushoto kuna mdogo (junior).

Ndiyo sababu hata salute ni ya mkono wa kulia siyo ya mkono wa kushoto.

Hata hafla nyingi nchini ukitizama utaona Mabeyo amekaa kulia mwa Simon Siro.

Ndivyo majeshi yalivyo tangu jeshi la Roman Empire hadi leo.

Sasa leo Rais Samia katembelea wanajeshi wake. Kisha akasimama kushoto mwa Mabeyo ambaye ni junior kwake.

Kilichotakiwa ni mama kusimama kulia mwa Mabeyo ili Mabeyo awe kushoto kwake.

Bahati mbaya sana hakuna aliyelidokeza hili matokeo yake waandishi wamepiga picha na tumeipata mitandaoni.

Hili ni kosa na tunasihi lisirudiwe.

Basi hata likitokea ikibidi basi wapiga picha wawe makini kutosambaza picha kama hizi japo ni ukweli.

View attachment 2011963

View attachment 2011969
Samia akivaa nguo za kijeshi Uchumi wa nchi unapaa? Mataga mna tabu sana
 
Hapo uliposema Mabeyo kukaa kulia Kwa Sirro nadhani unahitaji mjadala mwingine uanze ndani ya mjadala huu
 
Sorry mkuu, unasema picha ipo sahihi, lakini mbona maelezo yako tena yanaikosoa picha hiyo hiyo!
Msamehe tu amehoji na kukosoa jambo asilokuwa nalo uhakika.

Generali Mabeyo pamoja na kuwa Mkuu wa Majeshi, kimsingi ni Mlinzi Mkuu (body guard) wa Rais. Naamini mleta mada atakuwa amenielewa kuhusu jinsi walinzi wa Rais wanavyojipanga wakiwa pamoja naye
 
Wasiojua utaratibu wa kijeshi kufuata seniority watabisha na wengi wameshafanya hivyo. Mleta mada upo sahihi na hii ni kwa mujibu wa majeshi yote duniani senior anakaa kulia over.
 
Halafu pia si huwa kuna kiongozi wa ITIFAKI na sijui kwanini hajaliona na kulizingatia hili !!
Nahisi hii pic ilichukuliwa haraka haraka hata hivyo afande Mabeyo alipaswa amwelekeze CiC position yake.
Labda alishikwa na uoga wa gafra hahaha. Lawama nawapa watu wa kitengo cha habari JW; Ina maana hawakuliona mpaka waisambaze hii picha?!
 
Hizi story za kufikirika hizi 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Asante mkuu,
Kazi yetu ni kusema ukweli bila kujali mshabiki anabisha au kukubali.

Nimeambiwa kwamba hwta kanisani askofu hukaa kulia kwa mspadri.

Wasiojua utaratibu wa kijeshi kufuata seniority watabisha na wengi wameshafanya hivyo. Mleta mada upo sahihi na hii ni kwa mujibu wa majeshi yote duniani senior anakaa kulia over.
 
Back
Top Bottom