Generation "Z" Wanajipa Umuhimu Wasiokuwa Nao..."Stay Humble Guys"

Generation "Z" Wanajipa Umuhimu Wasiokuwa Nao..."Stay Humble Guys"

Hivi karibuni, kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu tabia na mitazamo ya kizazi cha GenZ, ambao ni vijana waliozaliwa kati ya miaka ya mwishoni mwa 1990 na mapema 2010.

GenZ wanajulikana kwa kutumia teknolojia na mitandao ya kijamii kwa kiwango kikubwa, jambo ambalo limechangia kwa kiasi kikubwa katika jinsi wanavyojiona na jinsi wanavyohusiana na vizazi vingine.

Kuna hisia kwamba GenZ wanajipa umuhimu mkubwa kupita kiasi na kudharau vizazi vingine kama Baby Boomers, Generation X, na hata Millennials.

Hii inatokana na mtazamo wao kwamba wao ni kizazi chenye ufahamu zaidi kuhusu masuala ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi kutokana na urahisi wa kupata habari kupitia mtandao.

Wanaamini kwamba mawazo yao ni ya kisasa zaidi na yanafaa zaidi kwa dunia ya sasa, jambo ambalo linaweza kusababisha wao kudharau michango na uzoefu wa vizazi vilivyopita.

MY TAKE:
Ingawa ni kweli kwamba GenZ wanaweza kuwa na ufahamu mzuri wa teknolojia na mitazamo ya kisasa, ni muhimu kwao kutambua kwamba kila kizazi kina mchango wake wa kipekee katika maendeleo ya jamii.

Vizazi vilivyopita vimepitia changamoto mbalimbali na kujifunza kutokana nazo, hivyo vina hekima na uzoefu ambao unaweza kuwa na manufaa makubwa kwa GenZ.

Pia wakumbuke kwamba kuna kizazi cha Millenials ambao wameishi dunia mbili ya kwao hii ya mitandao na dunia ya kusukuma magari ya waya na kujipikilisha hivyo wana wider scope ya life experience kuwazidi.

Hawa Millenials ndio wanaoendesha Digital World kwa sasa. Kaeni kwa kutulia, kuweni na hekima, jifunzeni kwa wengine, acheni dharau.


Kudharau vizazi vingine kunaweza kupelekea mgawanyiko na kutokuelewana, jambo ambalo si zuri kwa maendeleo ya jamii kwa ujumla. Ni muhimu kwa GenZ kuwa na heshima na kuthamini mchango wa vizazi vilivyopita huku wakitumia ujuzi wao wa kisasa kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Kwa kufanya hivyo, tunaweza kujenga jamii yenye mshikamano na ushirikiano wa vizazi vyote.View attachment 3024979
It depends na jamii wanayotoka gen z, hawafanani duniani kote but ndio kizazi kitakacho take over like it or not. After gen y , gen z are next on the list and they know this. Currently gen z wanachofanya ni kutafuta nafasi yao kwenye jamii , so far wameshajua wanafit wapi ni suala la muda before they go for total push
 
Generation zilizotangulia kabla ya Gen Z ni kujipendekeza na kuramba watu matako wana uchu na wachoyo na hawapendi kubadilika Walau hiyo generation ya Silent (1928-1945) hawa walikua watu na nusu ! Maana walijimwambafai hawakukaa kinyonge! wakatuwekea mifumo fulani ambayo waliona itatupeleka.

Generation zilizofata sasa ni uchungu asee🤣🤣

Tena bora generation zote ila hii Generation x (1965-1980) sijui kwa sababu kuna chanjo mlizikosa na mkakumbana na vipindi vya ujamaa na migogoro ya USSR huko aseee mna kujipendekeza sana , wizi , na ubinafsi achilia mbali mambo ya taifa ila hata tu michongo ya kawaida biashara na fursa mnabana sana yaani ukiona mtu anasuffer au anateseka kupata kitu hapo ndo furaha yao ilipo manina zenu 🤣 Fungueni mioyo hiyo msaidie wengine toa hayo maarifa.

Generation Z nao vinuka mkojo tu ila angalau hawapendi kuonewa tu

Hello Generation Y 💥💥
 
Hiyo ni dalili ya uzee kiongozi, Kubali umri umeenda hauwezi kushindana na watoto wa 2000😄😄 hata wazee wa miaka ya 60' walijipinda kushindana na vitoto vya 80's mwishowe wakakubali muda wao umepita! Vivyo hivyo GenZ utafika wakati nao watalalama kama wewe😄😄😄


#TimeIsABitch
 
It depends na jamii wanayotoka gen z, hawafanani duniani kote but ndio kizazi kitakacho take over like it or not. After gen y , gen z are next on the list and they know this. Currently gen z wanachofanya ni kutafuta nafasi yao kwenye jamii , so far wameshajua wanafit wapi ni suala la muda before they go for total push
Wanakuja na strategy mbovu ya kuwadharau waliotangulia. Wafahamu Generation "Y" bado ipo sana sokoni amost miaka 30 ijayo ndo itakuwa redundant kiasi cha kushindwa kufight. Na ubaya ni kwamba GenY ndo imeshika makali kwa sasa kote duniani, so madogo waje kwa adabu wana deal na kizazi chenye uzoefu wa ANALOJIA na DIJITALI na hakijazeeka ni middle agers. Ukileta mkono wanaleta panga lililonolewa!
 
Hiyo ni dalili ya uzee kiongozi, Kubali umri umeenda hauwezi kushindana na watoto wa 2000😄😄 hata wazee wa miaka ya 60' walijipinda kushindana na vitoto vya 80's mwishowe wakakubali muda wao umepita! Vivyo hivyo GenZ utafika wakati nao watalalama kama wewe😄😄😄


#TimeIsABitch
Infact sijazeeka sana at 37 huwezi kusema nimezeeka ila hivi vitoto vinajikuta sana yaani upambane na majamaa wa age yangu utasubiri sana...maana kama ni Serikalini hayatoki leo au kesho na ndo majority yanayofanya maamuzi...ukileta mkono yanaleta shoka GenZ waache zarau
 
Infact sijazeeka sana at 37 huwezi kusema nimezeeka ila hivi vitoto vinajikuta sana yaani upambane na majamaa wa age yangu utasubiri sana...maana kama ni Serikalini hayatoki leo au kesho na ndo majority yanayofanya maamuzi...ukileta mkono yanaleta shoka GenZ waache zarau
Muda + Mabadiliko ni vitu vyenye nguvu sana, hauwezi kushindana navyo mkuu. Kuna changes hata kama hauzipendi inakulazimu kukubaliana nazo! Usishangae wao ndiyo wakawa chachu ya mabadiliko makubwa sana kiuchumi na kisiasa hapa Tz
 
Kwa mujibu wa utafiti upi? Unaoonesha kwamba kuna generational variation based on continent...weka hapa tujifunze.
Hizo generations ni generations zilizoandikwa na wa Marekani, kutokana na matukio yaliyotokea katika jamii ya Marekani, kwa kuendana na miaka iliyokuwa na maana katika jamii ya Wamarekani, na zina maana fulani katika jamii ya Wamarekani.

Kwa mfano.

Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, wanajeshi wa ki Marekani waliorudi kutoka vitani walizaa sana watoto, na kusababisha ongezeko kubwa la watoto (Baby Boom). Kwa hivyo, watoto waliozaliwa kuanzia mwaka 1946 mpaka 1964 wanaitwa "Baby Boomers". Na hao wameenda kuishi kwa historia tofauti sana na vizazi vingine.

Sasa hapa Tanzania utamuita mtu aliyezaliwa 1946 "Baby Boomer" wakati hana historia sawa na hao wenyewe?

Mbona tunagezea majina ambayo kimantiki hayatuhusu na wala si yetu?

 
Hizo generations ni generations zilizoandikwa na wa Marekani, kutokana na matukio yaliyotokea katika jamii ya Marekani, kwa kuendana na miaka iliyokuwa na maana katika jamii ya Wamarekani, na zina maana fulani katika jamii ya Wamarekani.

Kwa mfano.

Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, wanajeshi wa ki Marekani waliorudi kutoka vitani walizaa sana watoto, na kusababisha ongezeko kubwa la watoto (Baby Boom). Kwa hivyo, watoto waliozaliwa kuanzia mwaka 1946 mpaka 1964 wanaitwa "Baby Boomers". Na hao wameenda kuishi kwa historia tofauti sana na vizazi vingine.

Sasa hapa Tanzania utamuita mtu aliyezaliwa 1946 "Baby Boomer" wakati hana historia sawa na hao wenyewe?

Mbona tunagezea majina ambayo kimantiki hayatuhusu na wala si yetu?

Generation Z haina tofauti sana all over the world. GenZ ni essence ya 4IR ambayo ni development ambayo ni global tofauti na other revolutions kv Agrarian and Industrial ambazo zilikuwa kwenye mabara ya Magharibi...Unapozungumzia GenZ unazungumzia tofauti ndogo sana toka continent moja hadi nyingine...bandiko lako bado halioneshi tofauti ya kimabara ktk kuitafsiri GenZ
 
Generation Z haina tofauti sana all over the world. GenZ ni essence ya 4IR ambayo ni development ambayo ni global tofauti na other revolutions kv Agrarian and Industrial ambazo zilikuwa kwenye mabara ya Magharibi...Unapozungumzia GenZ unazungumzia tofauti ndogo sana toka continent moja hadi nyingine...bandiko lako bado halioneshi tofauti ya kimabara ktk kuitafsiri GenZ
Generation Z ni nini? Kwa nini imekuwa Z na si A? Historia yake imeendaje? Nani kaipa hilo jina?

Hizo 4IR kijana wa Malampaka anazijua?
 
Wanakuja na strategy mbovu ya kuwadharau waliotangulia. Wafahamu Generation "Y" bado ipo sana sokoni amost miaka 30 ijayo ndo itakuwa redundant kiasi cha kushindwa kufight. Na ubaya ni kwamba GenY ndo imeshika makali kwa sasa kote duniani, so madogo waje kwa adabu wana deal na kizazi chenye uzoefu wa ANALOJIA na DIJITALI na hakijazeeka ni middle agers. Ukileta mkono wanaleta panga lililonolewa!
Actualy gen x is still in charge, na hawa ndio waasisi wa mifumo kwa hapa nchini.
Gen z however , kutokana na kuwa na wasomi wengi, they find out kwamba gen x waliweka mifumo ya kijima. Mifumo ambayo imekuwa ealsy manipulated ili kujinufaisha
Mifumo hii ina loop holes nyingi, na wana blame gen x even gen y ambayo wameikuta lakini hawakuchukua hatua wakakaa kimya

Yes probably hawana morals kama za watu wa zamani, but they have a point, and wana question mamlaka, wana question vizazi vya nyuma why did they let it slides? Why hawakufanya changes mpaka wakawa opressed?
 
Back
Top Bottom