BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Njoo geto weweDah kulalek
Mimi ni wa kuwekwa grup moja na vitoto vya elfu mbili na kumi na mbili kweli? 🥲
Cc BICHWA KOMWE - , Maghayo, litutumbwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo geto weweDah kulalek
Mimi ni wa kuwekwa grup moja na vitoto vya elfu mbili na kumi na mbili kweli? 🥲
Cc BICHWA KOMWE - , Maghayo, litutumbwe
Kwahy n mfu au bado hajazaliwa?Mkuu huyo hana generation yoyote achana nae
Aisee jana mchana mzima nimelia sana 😭Umri umekutupa mkono
Namzoom we muache ajishaue na viemoji vya kuchombeza
Mbaga umesemaje?? Hivi unajipenda kweli wewe??Asante dear 🥰
😂😂😂 Kishkaji hiyo kwiyoBabe wangu ni muelewa, hy nimefanya kwako kishikaji tuu 😂
😂😂😂🙌🏾🙌🏾🏃🏾♀️Namzoom we muache ajishaue na viemoji vya kuchombeza
Anajiachia hana hata hofu 😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🏃🏾♀️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe namimi ni Z [emoji1495]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitoto vya "efu mbili" visumbufu mnoo, ukikuta vibinti vinavyosumbua wazee wetu utachoka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii!!!Hiyo ni dalili ya uzee kiongozi, Kubali umri umeenda hauwezi kushindana na watoto wa 2000[emoji1][emoji1] hata wazee wa miaka ya 60' walijipinda kushindana na vitoto vya 80's mwishowe wakakubali muda wao umepita! Vivyo hivyo GenZ utafika wakati nao watalalama kama wewe[emoji1][emoji1][emoji1]
#TimeIsABitch
Kumbe na wewe ni g z😁Umri namba ya kwenye cheti tu. Ila Gen Z tumebarikiwa 😁🥳
dalili mbaya io,, jitahid umtosheleze😂😂😂🙌🏾🏃🏾♀️Anajiachia hana hata hofu 😂😂😂
Wapare ndivyo walivyo hawatosheki wifi, dawa yake inachemka. 😂😂dalili mbaya io,, jitahid umtosheleze😂😂😂🙌🏾🏃🏾♀️
Love u hani😂😂😂 Kishkaji hiyo kwiyo
Umri namba tu.Kumbe na wewe ni g z😁
Nisamehe boss, jana nilikuwa nimelewa baada ya kujijua Mm niko Generation Y 😭Mbaga umesemaje?? Hivi unajipenda kweli wewe??