Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
umesamehewa😂Nisamehe boss wangu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesamehewa😂Nisamehe boss wangu 😂
Asante dear 🥰umesamehewa😂
Ni sahihi mkuu, na vingi havina hela vinaishi kwa shemeji zao maana vimekutana na changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira..Haujiamini tu bro hakuna kizazi cha hovyo kama hicho hakuna wanachoweza zaidi ya kuiga sana mambo na mengi yasiyo na msingi
Sasa hapa umemuunga mkono au umempingaNakuunga mkono mkuu,umeona mbali sana.Yawezekana Gen Z ya Africa ni sawa na Gen Y ya Marekani.
Sio kilakitu cha kujifanya mjuaji mzee huna hoja ya maana katika hili.Generation Z ni nini? Kwa nini imekuwa Z na si A? Historia yake imeendaje? Nani kaipa hilo jina?
Hizo 4IR kijana wa Malampaka anazijua?
Huku bado kama kuna vizazi viwili tuHayo majina mnakopi tu.
GenZ wa wenyewe Marekani tofauti na huko Afrika.
Huko mlitakiwa kuwa na vizazi vyenu vyenye majina yenu.
Nakubaliana na wewe kwa 95%... Hivi vizazi viwili yaani Gen X na Y ni kidada kwa hiyo madogo wa GenZ wazingatie kuwa na adabu maana wanadili na kizazi chenye kiburi na kinajua hakina gap kubwa la maarifa na wao GenZ...worse enough hao Y na Z ndo wapo kwenye usukani...hawa bila diplomasia harakati zitawashinda madogo!Actualy gen x is still in charge, na hawa ndio waasisi wa mifumo kwa hapa nchini.
Gen z however , kutokana na kuwa na wasomi wengi, they find out kwamba gen x waliweka mifumo ya kijima. Mifumo ambayo imekuwa ealsy manipulated ili kujinufaisha
Mifumo hii ina loop holes nyingi, na wana blame gen x even gen y ambayo wameikuta lakini hawakuchukua hatua wakakaa kimya
Yes probably hawana morals kama za watu wa zamani, but they have a point, and wana question mamlaka, wana question vizazi vya nyuma why did they let it slides? Why hawakufanya changes mpaka wakawa opressed?
Babe wangu ni muelewa, hy nimefanya kwako kishikaji tuu 😂
Wewe mwenye hoja leta hapa tuone.Sio kilakitu cha kujifanya mjuaji mzee huna hoja ya maana katika hili.
angekua mwelewa usingechanganyikiwa na kumuita baba 😂Baba wangu ni muelewa, hy nimefanya kwako kishikaji tuu 😂
Dah unanichoma 😂angekua mwelewa usingechanganyikiwa na kumuita baba 😂
kwani mimi sifai kupendwa 😂😂Dah unanichoma 😂
Unanivuruga bhana ndo mana nmechanganyikiwa mana sitak kuachwa, mm ntampenda nan tena
Au ndio nmeshaachwa kabla sijaambiwa nimeachwa 😂😂😂😂 Woooiii kwisha habar ako
hizo sio shida zangu 😂Au ndio nmeshaachwa kabla sijaambiwa nimeachwa 😂
Bc nikiachwa nakuja kwako, jiandae kunipokeahizo sio shida zangu 😂