Generation "Z" Wanajipa Umuhimu Wasiokuwa Nao..."Stay Humble Guys"

Generation Z ni nini? Kwa nini imekuwa Z na si A? Historia yake imeendaje? Nani kaipa hilo jina?

Hizo 4IR kijana wa Malampaka anazijua?
Sio kilakitu cha kujifanya mjuaji mzee huna hoja ya maana katika hili.
 
Nakubaliana na wewe kwa 95%... Hivi vizazi viwili yaani Gen X na Y ni kidada kwa hiyo madogo wa GenZ wazingatie kuwa na adabu maana wanadili na kizazi chenye kiburi na kinajua hakina gap kubwa la maarifa na wao GenZ...worse enough hao Y na Z ndo wapo kwenye usukani...hawa bila diplomasia harakati zitawashinda madogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…