Hakua maskin alikua wa kawaida tu muajiriwa baadae akaingia in business ndo tukanyanyuka mpk naweza sema ni nyota au maelewano yetu na mchango wangu mkubwa kwake ndo maana tulifanikiwa sana
Baada ya kujitosheleza kwenye zile necessities zote za mwanadamu I think akaona ngoja ajaribu huko pembeni ndo hapo aliponogewa angeniheshimu sasa ila yeye alikua hana hata stara ndo kero zilipoanza hapo
Na alikua anahonga balaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ngosha huyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo bahati mbaya mamaa[emoji23] [emoji23]Hakua maskin alikua wa kawaida tu muajiriwa baadae akaingia in business ndo tukanyanyuka mpk naweza sema ni nyota au maelewano yetu na mchango wangu mkubwa kwake ndo maana tulifanikiwa sana
Baada ya kujitosheleza kwenye zile necessities zote za mwanadamu I think akaona ngoja ajaribu huko pembeni ndo hapo aliponogewa angeniheshimu sasa ila yeye alikua hana hata stara ndo kero zilipoanza hapo
Na alikua anahonga balaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ngosha huyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa shikamoo ngoshazHakua maskin alikua wa kawaida tu muajiriwa baadae akaingia in business ndo tukanyanyuka mpk naweza sema ni nyota au maelewano yetu na mchango wangu mkubwa kwake ndo maana tulifanikiwa sana
Baada ya kujitosheleza kwenye zile necessities zote za mwanadamu I think akaona ngoja ajaribu huko pembeni ndo hapo aliponogewa angeniheshimu sasa ila yeye alikua hana hata stara ndo kero zilipoanza hapo
Na alikua anahonga balaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ngosha huyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee na binamu ana moyo wa kupondeka huyo. Kwa kweli Mungu amjalie furaha teleeeeee. Kuna watu wanautumia msemo huo as excuse ya kuendelea kuwa abused hadi wafwariki wawaache watoto wao wanateseka + wakiwa na wengine wanatumia huo msemo kuabuse wake zao wakiamini hawawezi kuondoka au hawatopata watu wa kuwapenda kwa dhati tena na hivi wameshazaa. Kumbe kuna mwingine huko anajiuliza "ulikuwa wapi miaka yote hiyo"
Siku hizi mwanaume mpumbavu hujisababishia kifo chake mwenyewe. Tunawaona wakiachwa wanavyohara bata. Usipomuheshimu mkeo, hata Mungu hatokuheshimuUMEMALIZA YOTE ! na kale kamsemo mwanamke mjinga' kananiudhiiiiiiiiii !
[emoji1] [emoji1] daahh!kampani na wavulana aiseeh!Shuleni ulikuwa mwanafunzi Wa aina gani primary Na secondary
DJ sepetu
Hahaa shikamoo ngoshaz
C.c MBITIYAZA
Binamu hakunaga cha mtu kuchepuka na kukuheshimu, hiyo heshima ndo ya aina gani? Na hata huyo ambaye leo amekuwa a serial unrepentant cheater na yeye alianza na hiyo "kuchepuka kwa heshima". Heshima ya mwenzi wako kwako ni pale ambapo haupo naye na still anakulindia heshima yako
Siku hizi mwanaume mpumbavu hujisababishia kifo chake mwenyewe. Tunawaona wakiachwa wanavyohara bata. Usipomuheshimu mkeo, hata Mungu hatokuheshimu
Kumbe umeenda age, ingawa mkiwa huku jf mnachati kama teenagersOkay nimezaliwa miaka 30 iliyopita Mhimbili DSM nimeishi Dar nimekulia Dar,Shinyanga kidogo,Dodoma na Simiyu(Maswa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hukutafsiriwa tofauti kwa kujichanganya Na watoto Wa kiume zaidi kuliko ke[emoji1] [emoji1] daahh!kampani na wavulana aiseeh!
Mimi ni mtundu sana,mcheshi na muongeaji haswaa!
Napenda sana urafiki na watoto wa kiume kwa sababu hawanaga majungu walio wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa. Aiseeee.
Mnasubiria wamalize wao na nyie ndio muulize sasa kisha anawajibu au la,,sasa mnafanya mpangilio unakuwa sio mzuriHutaki tuulize maswali?
Ndo heshima ya aina gani kwa mfano? Na unahisi hiyo heshima itakuwepo for the rest of his cheating life? Itafika tu stage asipokuonesha live basi utaiona utakapoanza umwa magonjwa yasiyotibika au siku utakapoletewa watoto wa nje. Afanye sirini au afanye wazi, you will suffer the consequences of his infidelity. As long as umeshabariki kuchepuka kwake basi kubaliana tu na package yote utakayoletewa na jitahidi uanzage dawa za presha in advance.hahaah majangaz! Heaven Sent atleast asikuoneshee mamy !tutakuwa tunajidanganya sana km tunahis kuna wanaume wanaotulindia heshima kwa kizaz hiki cha mapunguwan! hapana nioneshe heshima TU!
Ndo heshima ya aina gani kwa mfano? Na unahisi hiyo heshima itakuwepo for the rest of his cheating life? Itafika tu stage asipokuonesha live basi utaiona utakapoanza umwa magonjwa yasiyotibika au siku utakapoletewa watoto wa nje. Afanye sirini au afanye wazi, you will suffer the consequences of his infidelity. As long as umeshabariki kuchepuka kwake basi jitahidi uanzage dawa za presha in advance.
Usijali mkuu, endelea kumwagikaNsamehe kama nimeshawahi kukukosea popote pale
Am sorry sorry bro!!
Ubarikiwe sana
Sent using Jamii Forums mobile app
OK Mama Sabrina nimekupata.Mnasubiria wamalize wao na nyie ndio muulize sasa kisha anawajibu au la,,sasa mnafanya mpangilio unakuwa sio mzuri
Hapana hawakunitafsiri vibaya zaidi nilikua sipendi kutongozwa ndo maana unajua mwanaume ukimfanya rafiki hakutongozi[emoji1] [emoji1] hii nnayo mpk Leo sehemu yangu ya kazi nawafanya wakaka zaidi km marafiki zangu nalinda ukutaAisee hukutafsiriwa tofauti kwa kujichanganya Na watoto Wa kiume zaidi kuliko ke
Je hadi sasa bado unajichanganya Na wanaume zaidi kuliko wanawake!?
DJ sepetu
Hahahaa kumbe!Hapana hawakunitafsiri vibaya zaidi nilikua sipendi kutongozwa ndo maana unajua mwanaume ukimfanya rafiki hakutongozi[emoji1] [emoji1] hii nnayo mpk Leo sehemu yangu ya kazi nawafanya wakaka zaidi km marafiki zangu nalinda ukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeolewa?
Katika ubora wenu....[emoji13] [emoji13]
Nami ni baba, nimejifunza jambo hapa