Gentamycine kwa wewe ni mnyarwanda kweli hebu tuambie nini maana ya maneno haya

Gentamycine kwa wewe ni mnyarwanda kweli hebu tuambie nini maana ya maneno haya

Naona Watu Wametambalizwa Na Mkuyenge Uliotukuka Kunako Unyabeni Kwao Na Sasa Wamekaa Kimya/Wamekimbia Uzi Wao.
Naomba Niishie Hapa Tafadhali!
 
Halaf hapa wanamtafutia ban tu sisi tunaompenda tukose uhondo bure

Na watoa BAN nao watapima kati ya Mimi na hao wanaonitafutia hiyo BAN nani ana makosa na nani Kalianzisha. Na wala huhitaji kujua kwamba kuna ' Kajikundi ' ka Wapumbavu fulani ambao ID yangu na michango yangu ' Kuntu ' humu na umaarufu wangu mkubwa unawatesa na kuwakera mno hivyo wamejipanga rasmi ' Kuniandama ' na ' Kunishambulia ' huku wengine wakikimbilia kwa Moderators kutaka nipewe BAN kusudi lengo lao litimie na Mimi nawaambia kuwa sijawahi kuogopa BAN na sitoogopa BAN ila haitotokea hata siku moja GENTAMYCINE nikachokozwa, nikadhalilishwa na nikadhihakiwa na ' Waswahili ' halafu eti ninyamaze kwa Kuwaogopa. Wameamua kulianzisha basi walimalize pia mpaka pale ambapo tutaheshimiana humu. Nimewavumilia vya kutosha tu hawa ' Wapumbavu / Mapopoma ' Mkuu.
 
Mkuu inaonekana Mimi Kulelewa na Rais Museveni tokea mwaka 1996 hadi 2001 pale Nakasero State House Kampala kumekuuma mno. Na kukuudhi zaidi sikuanzia kuzizoea Ikulu huko nchini Uganda bali hata nikiwa bado mdogo mdogo nimewahi pia kukaa Ikulu ya Tanzania hapo Magogoni wakati Hayati Mwalimu Nyerere bado hajang'atuka na kwa ushahidi wa hili watafute ' Bodyguards ' wote wa Mwalimu akina Mzee Mkanzabi, Tendewa, Mshamu aliyekuwa Mkuu wa PSU ila hivi majuzi amestaafu na nafasi yake kuchukuliwa na aliyekuwa RSO wa Mkoa ambao kwa sasa Ajali za Barabarani zimekithiri mwenye ' initials ' za JK na Mzee Simon bila kuwasahau Watoto wa Mwalimu akina Dada Anna, Rose na Kaka Madaraka wote hawa wamenibeba sana tu.

Ukitaka zaidi ya haya sema nikutiririkie na nikusererekie zaidi. Sina ' ushamba / umbwigira ' na Ikulu na ' bata ' nilizokula katika nchi hii, Uganda, Rwanda na South Afrika wakati wa Hayati Mzee Mandela ' Madiba ' Wewe mpaka kuja Kufa ama Kufariki Kwako hutokuja kuzila au kuzipata.

Halafu pamoja na ' exposure ' yangu hiyo hapo juu nipo vile vile na naishi maisha yangu ' very simple ' sipendi makuu wala kujionyesha kwani sina hiyo ' hulka ' isipokuwa na Mimi pia napambana ili nami nije kuwa na mafanikio kusudi nami Watoto wangu waje wale ' matunda ' yangu ya Kimalezi mema kama ambavyo nami nimepewa / nimelelewa na Wazazi wangu.

Nimemaliza.
😀
Mkuu inaonekana Mimi Kulelewa na Rais Museveni tokea mwaka 1996 hadi 2001 pale Nakasero State House Kampala kumekuuma mno. Na kukuudhi zaidi sikuanzia kuzizoea Ikulu huko nchini Uganda bali hata nikiwa bado mdogo mdogo nimewahi pia kukaa Ikulu ya Tanzania hapo Magogoni wakati Hayati Mwalimu Nyerere bado hajang'atuka na kwa ushahidi wa hili watafute ' Bodyguards ' wote wa Mwalimu akina Mzee Mkanzabi, Tendewa, Mshamu aliyekuwa Mkuu wa PSU ila hivi majuzi amestaafu na nafasi yake kuchukuliwa na aliyekuwa RSO wa Mkoa ambao kwa sasa Ajali za Barabarani zimekithiri mwenye ' initials ' za JK na Mzee Simon bila kuwasahau Watoto wa Mwalimu akina Dada Anna, Rose na Kaka Madaraka wote hawa wamenibeba sana tu.

Ukitaka zaidi ya haya sema nikutiririkie na nikusererekie zaidi. Sina ' ushamba / umbwigira ' na Ikulu na ' bata ' nilizokula katika nchi hii, Uganda, Rwanda na South Afrika wakati wa Hayati Mzee Mandela ' Madiba ' Wewe mpaka kuja Kufa ama Kufariki Kwako hutokuja kuzila au kuzipata.

Halafu pamoja na ' exposure ' yangu hiyo hapo juu nipo vile vile na naishi maisha yangu ' very simple ' sipendi makuu wala kujionyesha kwani sina hiyo ' hulka ' isipokuwa na Mimi pia napambana ili nami nije kuwa na mafanikio kusudi nami Watoto wangu waje wale ' matunda ' yangu ya Kimalezi mema kama ambavyo nami nimepewa / nimelelewa na Wazazi wangu.

Nimemaliza.

GENTAMYCINE hii comment ako akiiona yule dada aliekufungulia thread leo kuwa anakuelewa sana... .. Atajihisi mwenye bahati sana .. Kumpenda kijana aliekulia ikulu..

mumu
Miss Natafuta
Evelyn Salt
Mama Sabrina
 
Mbona Moderator Invisible mnafuga matusi

Mbona umesahau pia kuwawekea na ' List ' ya hao watoa hayo Matusi? Hujawahi kuacha kuwa Mnafiki pindi uonapo ama ' thread ' au ' post ' yangu hapa JamiiForums. Juzi katika Uzi mmoja ulikuja na Upumbavu wako wa aina hii hii nikakuuliza je una maoni gani na wale ambao kwa makusudi kabisa wananichokoza, wananidhihaki na kunidhalilisha mara kwa mara humu mpaka leo hujanijibu na bila hata chembe ya haya leo tena umekuja na ' Upuuzi ' wako ule ule japo umejifanya umejificha kwa kutumia ' diplomasia ' yako hafifu. Mnamuanza wenyewe GENTAMYCINE halafu akiwakabilini vilivyo na mkiona nawashinda mnakimbilia kwa Moderators. Nimeanza Kuchokozwa katika huu Uzi tokea page ya 1 sikukuona ukija na kuwaita Moderators ila kudhihirisha Unafiki wako sasa Uzi umefika page ya 17 ndiyo unajifanya kuwaita. au unafikiri sijui kwamba moja ya hizo ID's ambazo zimenishambulia katika huu Uzi ni yako? Cheza na Watu wengine humu ila siyo Mimi kwani unakopita Wewe leo Mimi nimepita huko juzi.
 
Hahahahaha huyo sio wa rwanda bali ni mtu anaetoka mikoa inayopakana na rwanda pia mikoa ambayo kuna muingiliano wa tamaduni zote mfano mtu wa kibondo,kasulu,buhigwe,ngara ni watu wenye tamaduni sawa na lugha inayotumika wote huelewana ..sema kapata cheo lumumba baada ya kufuzu mafunzo ya kutengeneza uongo na propaganda zikakubalika kwa watu ambapo wazee wa lumumba hufurahia kazi yake (mdanyi mwenye uwezo mkubwa)


Ahaahaaa hii comment ako imenifurahisa sana..​
 
Mbona umesahau pia kuwawekea na ' List ' ya hao watoa hayo Matusi? Hujawahi kuacha kuwa Mnafiki pindi uonapo ama ' thread ' au ' post ' yangu hapa JamiiForums. Juzi katika Uzi mmoja ulikuja na Upumbavu wako wa aina hii hii nikakuuliza je una maoni gani na wale ambao kwa makusudi kabisa wananichokoza, wananidhihaki na kunidhalilisha mara kwa mara humu mpaka leo hujanijibu na bila hata chembe ya haya leo tena umekuja na ' Upuuzi ' wako ule ule japo umejifanya umejificha kwa kutumia ' diplomasia ' yako hafifu. Mnamuanza wenyewe GENTAMYCINE halafu akiwakabilini vilivyo na mkiona nawashinda mnakimbilia kwa Moderators. Nimeanza Kuchokozwa katika huu Uzi tokea page ya 1 sikukuona ukija na kuwaita Moderators ila kudhihirisha Unafiki wako sasa Uzi umefika page ya 17 ndiyo unajifanya kuwaita. au unafikiri sijui kwamba moja ya hizo ID's ambazo zimenishambulia katika huu Uzi ni yako? Cheza na Watu wengine humu ila siyo Mimi kwani unakopita Wewe leo Mimi nimepita huko juzi.
Kama alivo sema mjomba watapata tabu saanaa
 
😀


GENTAMYCINE hii comment ako akiiona yule dada aliekufungulia thread leo kuwa anakuelewa sana... .. Atajihisi mwenye bahati sana .. Kumpenda kijana aliekulia ikulu..

mumu
Miss Natafuta
Evelyn Salt
Mama Sabrina

Kukulia Kwangu Ikulu hakuna uhusiano wowote ule na maisha yangu na katika maisha yangu ya kawaida sijawahi hata siku moja kuitumia ' influence ' ya ukaaji wangu huko kwa kuihusisha na maisha yangu ya kila siku na hasa ya Kujitafutia Kipato. Sitongozi Mwanamke kwakuwa sijui nimekulia wapi bali Mimi ni mpambanaji na sikujipeleka mwenyewe katika hizo Ikulu bali kama sehemu ya Urafiki wa Kifamilia kati ya Dar es Salaam na Kampala ilibidi iwe hivyo. Tujadili mada na masuala ya Ikulu nimeshamalizana nayo na tena nilishasahau kabisa.
 
Mbona umesahau pia kuwawekea na ' List ' ya hao watoa hayo Matusi? Hujawahi kuacha kuwa Mnafiki pindi uonapo ama ' thread ' au ' post ' yangu hapa JamiiForums. Juzi katika Uzi mmoja ulikuja na Upumbavu wako wa aina hii hii nikakuuliza je una maoni gani na wale ambao kwa makusudi kabisa wananichokoza, wananidhihaki na kunidhalilisha mara kwa mara humu mpaka leo hujanijibu na bila hata chembe ya haya leo tena umekuja na ' Upuuzi ' wako ule ule japo umejifanya umejificha kwa kutumia ' diplomasia ' yako hafifu. Mnamuanza wenyewe GENTAMYCINE halafu akiwakabilini vilivyo na mkiona nawashinda mnakimbilia kwa Moderators. Nimeanza Kuchokozwa katika huu Uzi tokea page ya 1 sikukuona ukija na kuwaita Moderators ila kudhihirisha Unafiki wako sasa Uzi umefika page ya 17 ndiyo unajifanya kuwaita. au unafikiri sijui kwamba moja ya hizo ID's ambazo zimenishambulia katika huu Uzi ni yako? Cheza na Watu wengine humu ila siyo Mimi kwani unakopita Wewe leo Mimi nimepita huko juzi.
Binafsi nimewakumbusha mods kazi yao..sioni kwanini unanitukana mkuu
 
Ulisoma nae mzee kaduga
Kaduga family, then Kaduga akakuja kuwa mkurugenzi wa wilaya ilipokua ndio mpyaaaaa.....
Ingawa nasikitika kwamba Kaduga alikuja chemka hadi akastaafu....[emoji20] [emoji20] [emoji20]
 
Back
Top Bottom