Geoff Lea: Simba wanajulikana kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani

Geoff Lea: Simba wanajulikana kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535


Mchambuzi wa soka Geoff Lea, amesema kwamba klabu ya Simba ni maarufu kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani ili kujipatia ushindi.

Mchambuzi huyo ametaka klabu iache kutumia mbinu hizo chafu kwa maana mpira ni mchezo wa haki.

Geoff amezitaka klabu za mpira barani Afrika ikiwemo Simba kujifunza kutoka kwa South Africa ambao hawapati malalamiko ya aina yoyote timu zinapoenda kucheza nchini humo.
 
Hivi huyu jamaa na Kiingereza chake cha kuunga unga kweli anasema ile haikua penalty??? Kweli hata anasema uongo mwingine VAR haikuangaliwa? Hizo anazoita Dark Arts ni zipi? Hovyo sana.

Unaichafua Club ya Simba bila sababu labda hujui unachosema mana lugha unaunga unga...au una jambo baya na Simba...Mpira umechezewa wazi mambo ya Covid hata Yanga walillamika kule Nigeria je walikua wanacheza na Simba??? We jamaa hovyo sana.Tatizo nyie vijana wa Kiafrika mkishajifanya wazungu kujiita Jeff basi umejiona wewe mzunguu njiwa...WEWE jina lako ni Masalowenda Karambwige tulia Simba inashinda Game nyingi tu Afrika hapa sio kwa ajili ya Covid hata Zamalek tulishamtoa tena kwao je ilikua Covid?? tuheshimiane wewe jamaa

Lugha yenyewe hujui unababaisha tu.
 


Mchambuzi wa soka Geoff Lea, amesema kwamba klabu ya Simba ni maarufu kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani ili kujipatia ushindi. Mchambuzi huyo ametaka klabu iache kutumia mbinu hizo chafu kwa maana mpira ni mchezo wa haki. Geoff amezitaka klabu za mpira barani Afrika ikiwemo Simba kujifunza kutoka kwa South Africa ambao hawapati malalamiko ya aina yoyote timu zinapoenda kucheza nchini humo.

Utafkiri ana DNA ya South!
Lile jinga tyu
 
Huyu ndiye Shabiki, sio Lijokofu hilo

Screenshot_20220418-224016.png
 
Hivi huyu jamaa na Kiingereza chake cha kuunga unga kweli anasema ile haikua penalty??? Kweli hata anasema uongo mwingine VAR haikuangaliwa??? Hizo anazoita Dark Arts ni zipi??? Hovyo sana....

Unaichafua Club ya Simba bila sababu labda hujui unachosema mana lugha unaunga unga...au una jambo baya na Simba...Mpira umechezewa wazi mambo ya Covid hata Yanga walillamika kule Nigeria je walikua wanacheza na Simba??? We jamaa hovyo sana...
Umesoma kwa makini au una njaakalihatari
 
Mchambuzi wa soka Geoff Lea, amesema kwamba klabu ya Simba ni maarufu kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani ili kujipatia ushindi. Mchambuzi huyo ametaka klabu iache kutumia mbinu hizo chafu kwa maana mpira ni mchezo wa haki...
Napenda mpira nafatilia ligi zote ulimwenguni. Tusilewe na mahaba kama tunataka mpira wetu ufike mbali,kuna hatua tumeruka. Vinginevyo tutaendelea na kelele zisizokuwa na afya katika soka la ardhi ya Tanzania.
 


Mchambuzi wa soka Geoff Lea, amesema kwamba klabu ya Simba ni maarufu kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani ili kujipatia ushindi. Mchambuzi huyo ametaka klabu iache kutumia mbinu hizo chafu kwa maana mpira ni mchezo wa haki. Geoff amezitaka klabu za mpira barani Afrika ikiwemo Simba kujifunza kutoka kwa South Africa ambao hawapati malalamiko ya aina yoyote timu zinapoenda kucheza nchini humo.
Anatafuta kiki baada ya kufunikwa na kina ambangile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Simba haitoi kiki

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Simba itatolewa kwa propaganda kuliko soka lenyewe.

Hakuna anayezungumzia ni vipi Simba ilipata,matokeo ya ugenini katika naadhi ya mechi.

Watu wanaaminishwa kuwa Simba hushinda nyumbani tu.

Hakuna mtu amejiuliza timu nyingine zinashinda wapi.

Kuna ujinga na propaganda zinaingizwa hadi kwenye DNA ya wachezaji kuwa sisi ni duni kwa sababu ya mishahara na gharama za uendeshaji wa timu ukilinganisha na South Africa.

Ni kweli kwa utajiri wa vilabu inaweza kuwa sahihi.Lakini utajii peke yake ni sifa tosha kuifanya timu ishindwe?

Je hapa kwetu hamkumbuki vitimu kama Mwadui vilivyoifunga Simba lakini vikifungwa na timu nyingine magoli matano matano?

Mimi ninadhani soka letu halitafika mbali kwa sababu ya wachawi wa yanga ambao kazi yao kuroga kwa kunuizia maneno kama haya huku wao hawatumii vizuri nafasi wanapopata uwakilishi wa kimataifa.

Hakika watu wanachuki za wazi wazi kwa Simba
 
Simba haikushinda tuwe open katika hilo.VAR ilikuwepo lakini haikutumika
Simba itatolewa kwa propaganda kuliko soka lenyewe.

Hakuna anayezungumzia ni vipi Simba ilipata,matokeo ya ugenini katika naadhi ya mechi.
Watu wanaaminishwa kuwa Simba hushinda nyumbani tu.
Hakuna mtu amejiuliza timu nyingine zinashinda wapi.

Kuna ujinga na propaganda zinaingizwa hadi kwenye DNA ya wachezaji kuwa sisi ni duni kwa sababu ya mishahara na gharama za uendeshaji wa timu ukilinganisha na South Africa.
Ni kweli kwa utajiri wa vilabu inaweza kuwa sahihi.Lakini utajii peke yake ni sifa tosha kuifanya timu ishindwe?
Je hapa kwetu hamkumbuki vitimu kama Mwadui vilivyoifunga Simba lakini vikifungwa na timu nyingine magoli matano matano?
Mimi ninadhani soka letu halitafika mbali kwa sababu ya wachawi wa yanga ambao kazi yao kuroga kwa kunuizia maneno kama haya huku wao hawatumii vizuri nafasi wanapopata uwakilishi wa kimataifa.
Hakika watu wanachuki za wazi wazi kwa Simba
 
Huyo ni fala na maneno yake sioni kama yanaweza kuzingatiwa na mtu rational

Foul aliyochezewa Morrsion unaweza kuhusisha kwa namna gani na mbinu chafu?

Kuna baadhi ya watu wamemiliki ubongo kama pambo au umewekwa tu ili kutengeneza shape ya kichwa
 
Mnagangaika na mazao ya zile division 4 za 28 zilizopewa GO AHEAD kwenye utawala wa JK, wengine wapo kwenye uchambuzi kwasababu ya ugumu wa maisha.

Na hata mnaowaona wanabadili gia na kuanzisha nyuzi kila saa, mara VAR haikutumika, mara Simba anacheza mchezo mchafu, mara Mayele angekuwemo angefunga, oooh uwanja haukujaa ni UFUKARA na kukosa kazi za kufanya.

Kama Simba Sc imefikia uwezo wa kuhujumu team kubwa zenye uchumi mkubwa na majina Africa kama Ahly , Kizer, Orlando, AsVita, Saoura na nyinginezo, basi anastahili pongezi. Maana hatuwezi kukaa kila siku tunalalamika Simba Sc inahujumiwa kama jinsi ambavyo Yanga wamekuwa wakili kila msimu. HII NI ISHARA YA UKUBWA.

NB: Kuna ubaya gani kufanya hujuma kwenye mashindano makubwa yenye postive return, ikiwa kuna team inafanya hujuma kwa viteam vidogo vya ndani kushindania kombe la mbuzi???
 
Na nyie mnasubiriwa mhujumiwe mpaka uchumi
Labda kwa kumzuia morrison lakini kwa madiba wao ndio watajikuta wageni

Ile nchi tumepeleka uhuru sisi, tuna authority kubwa kuliko hata wao wanavyo dhania.

Kwa madiba kuna historia nyingi za utukutu wa wabongo ambazo mpaka leo zina ishi.

Jombi wa Mbeya kule ni popular kuliko hata mbunge wako wa CCM anavyojulikana jimboni mwake
 
Back
Top Bottom