Geoff Lea: Simba wanajulikana kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani

Geoff Lea: Simba wanajulikana kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani



Mchambuzi wa soka Geoff Lea, amesema kwamba klabu ya Simba ni maarufu kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani ili kujipatia ushindi.

Mchambuzi huyo ametaka klabu iache kutumia mbinu hizo chafu kwa maana mpira ni mchezo wa haki.

Geoff amezitaka klabu za mpira barani Afrika ikiwemo Simba kujifunza kutoka kwa South Africa ambao hawapati malalamiko ya aina yoyote timu zinapoenda kucheza nchini humo.

Hovyo tu huyu
 
Wewe ndio tahira nambari wani,wenzenu kina nani wanafungika kirahisi nyumbani labda hizo tm za sheli sheli ambazo huwa mnazifunganga, na tuliona namna mlivyowafunga rivers kirahisi pale Naigeria.Utopolo acheni wivu wa kike Simba sio level yenu period
Mpira ni mchezo wa wazi mkuu, timu ikitumia mbinu mbadala inaonekana tu. Wenzetu ni rahisi kuwafunga hata kwao kwakuwa hawana magumashi mengi kama sisi. Simba hii ni Mbovu, mpira mbovu, hana ligi ya ndani haigopwi.
 
Na nyie mnasubiriwa mhujumiwe mpaka uchumi
Watatulia tu. Ulinzi ni waserikali si club, Simba hesabu nyingi labda uelewe unapo anza shutuma tena za vitisho jua huo si mchezo tena ni vita Sasa baozi zote zimesha anza mawasiliano ili amani iwepo kimchezo na si kisasi cha AVR. Simba oyeeee.
 
Wakati Simba washaenda SA kuandaa mazingira ya second leg ....Yanga ,Azam na mafala wengine wanangaika katika media kuongelea game ambayo ishaisha...........
Endeleeni tu kuwa wa baridi mwakani mnakuwa bao la shabaha..........
Fist game na kibonde second game Pyramid hawa,,,,......Safari imeisha
 
Hivi huyu jamaa na Kiingereza chake cha kuunga unga kweli anasema ile haikua penalty??? Kweli hata anasema uongo mwingine VAR haikuangaliwa? Hizo anazoita Dark Arts ni zipi? Hovyo sana.

Unaichafua Club ya Simba bila sababu labda hujui unachosema mana lugha unaunga unga...au una jambo baya na Simba...Mpira umechezewa wazi mambo ya Covid hata Yanga walillamika kule Nigeria je walikua wanacheza na Simba??? We jamaa hovyo sana.Tatizo nyie vijana wa Kiafrika mkishajifanya wazungu kujiita Jeff basi umejiona wewe mzunguu njiwa...WEWE jina lako ni Masalowenda Karambwige tulia Simba inashinda Game nyingi tu Afrika hapa sio kwa ajili ya Covid hata Zamalek tulishamtoa tena kwao je ilikua Covid?? tuheshimiane wewe jamaa

Lugha yenyewe hujui unababaisha tu.
Nonsense
 
Watatulia tu. Ulinzi ni waserikali si club, Simba hesabu nyingi labda uelewe unapo anza shutuma tena za vitisho jua huo si mchezo tena ni vita Sasa baozi zote zimesha anza mawasiliano ili amani iwepo kimchezo na si kisasi cha AVR. Simba oyeeee.
Nyie nendeni mkakamilishe ratiba mambo ya kujiliza liza na statment iliyoandikwa kana kwamba aliyeandika alikuwa amelewa kimpumu, mlichokifanya na wao watawafanyia kwaiyo msitafute huruma hapa
 
Lakini si.ba kwa mbinu chafu tumeliongelea sana humu hata kabla ya mechi na orlando...simba ya sasa ushindi wake niwa janja janja nyingi...hata kwenye ligi ya nbc
 
Wakati Simba washaenda SA kuandaa mazingira ya second leg ....Yanga ,Azam na mafala wengine wanangaika katika media kuongelea game ambayo ishaisha...........
Endeleeni tu kuwa wa baridi mwakani mnakuwa bao la shabaha..........
Fist game na kibonde second game Pyramid hawa,,,,......Safari imeisha
😅😅😅😅😅
 
Wakati Simba washaenda SA kuandaa mazingira ya second leg ....Yanga ,Azam na mafala wengine wanangaika katika media kuongelea game ambayo ishaisha...........
Endeleeni tu kuwa wa baridi mwakani mnakuwa bao la shabaha..........
Fist game na kibonde second game Pyramid hawa,,,,......Safari imeisha
😅😅😅😅😅
 
Wakati Simba washaenda SA kuandaa mazingira ya second leg ....Yanga ,Azam na mafala wengine wanangaika katika media kuongelea game ambayo ishaisha...........
Endeleeni tu kuwa wa baridi mwakani mnakuwa bao la shabaha..........
Fist game na kibonde second game Pyramid hawa,,,,......Safari imeisha
😅😅😅
 
Ila maneno ya kipuuzi kama yale hakata rudia tena, watu wamemshukia kama mwewe ujanja mfukoni [emoji6]
 
Tokea Mwamedi aichukue hii timu ndio tulianza kutumia hizo mbinu chafu
 
Back
Top Bottom