Hovyo zaidi ya hovyo huyuHivi huyu jamaa na Kiingereza chake cha kuunga unga kweli anasema ile haikua penalty??? Kweli hata anasema uongo mwingine VAR haikuangaliwa??? Hizo anazoita Dark Arts ni zipi??? Hovyo sana....
Unaichafua Club ya Simba bila sababu labda hujui unachosema mana lugha unaunga unga...au una jambo baya na Simba...Mpira umechezewa wazi mambo ya Covid hata Yanga walillamika kule Nigeria je walikua wanacheza na Simba??? We jamaa hovyo sana...
NB: Kuna ubaya gani kufanya hujuma kwenye mashindano makubwa yenye postive return, ikiwa kuna team inafanya hujuma kwa viteam vidogo vya ndani kushindania kombe la mbuzi???[emoji23]Mnagangaika na mazao ya zile division 4 za 28 zilizopewa GO AHEAD kwenye utawala wa JK, wengine wapo kwenye uchambuzi kwasababu ya ugumu wa maisha.
Na hata mnaowaona wanabadili gia na kuanzisha nyuzi kila saa, mara VAR haikutumika, mara Simba anacheza mchezo mchafu, mara Mayele angekuwemo angefunga, oooh uwanja haukujaa ni UFUKARA na kukosa kazi za kufanya.
Kama Simba Sc imefikia uwezo wa kuhujumu team kubwa zenye uchumi mkubwa na majina Africa kama Ahly , Kizer, Orlando, AsVita, Saoura na nyinginezo, basi anastahili pongezi. Maana hatuwezi kukaa kila siku tunalalamika Simba Sc inahujumiwa kama jinsi ambavyo Yanga wamekuwa wakili kila msimu. HII NI ISHARA YA UKUBWA.
NB: Kuna ubaya gani kufanya hujuma kwenye mashindano makubwa yenye postive return, ikiwa kuna team inafanya hujuma kwa viteam vidogo vya ndani kushindania kombe la mbuzi???
Umri wako na PUMBA unazomwaga hapa hazifanani.NB: Kuna ubaya gani kufanya hujuma kwenye mashindano makubwa yenye postive return, ikiwa kuna team inafanya hujuma kwa viteam vidogo vya ndani kushindania kombe la mbuzi???[emoji23]
Kwa hiyo timu ikifanya vizuri kimataifa haitakiwi kufungwa kwenye ligi ya ndani? Uliona wapi hiyo utopolo? Simba haikatishwi tamaa na hizo tuhuma zenu za kipuuzi. Kwa akili zako unafikiri Simba haikupenda kuendelea kushiriki CAF champions mpaka wasitumie hizo figisu kama zipo dhidi ya Jwaneng?Umri wako na PUMBA unazomwaga hapa hazifanani.
Mpira ni mchezo wa wazi na unaohitaji fair kwa kila upande, huwezi shinda kwa hujuma afu uanze jisifia eti kwa Mkapa hatoki mtu, inakuja Kagera Sugar inakufumua.
Soka letu halihitaji figisu, timu isajili vizuri na ipate makocha wazuri sambamba na training za maana.
Sasa nakujuza kuwa hawakutumia hizo hujuma kwa kuwa tayari walikuwa na mtaji wa goli 2 ugenini. Hata maandalizi ya game yenyewe yalikuwa finyu sambamba na mashabiki wachache sana. Kila mtu aliamini Simba imeshafuzu makundi ikiwemo wewe hapo.Kwa hiyo timu ikifanya vizuri kimataifa haitakiwi kufungwa kwenye ligi ya ndani? Uliona wapi hiyo utopolo? Simba haikatishwi tamaa na hizo tuhuma zenu za kipuuzi. Kwa akili zako unafikiri Simba haikupenda kuendelea kushiriki CAF champions mpaka wasitumie hizo figisu kama zipo dhidi ya Jwaneng?
Nasisitiza Simba haikatishwi tamaa na tuhuma zenu za kipuuzi.
Kwa hiyo Simba kufungwa 4-0 na Kaizer ni halali ila Simba kushinda 3-0 ni misumari! Upuuzi..Sasa nakujuza kuwa hawakutumia hizo hujuma kwa kuwa tayari walikuwa na mtaji wa goli 2 ugenini. Hata maandalizi ya game yenyewe yalikuwa finyu sambamba na mashabiki wachache sana. Kila mtu aliamini Simba imeshafuzu makundi ikiwemo wewe hapo.
Game ambazo Simba anafanya magumashi ni zile za maamuzi. Hata ile ya Kaizer Chiefs pia ilipigwa misumari ya kutosha ngoma ikaishia 3-0
Mpira ni mchezo wa wazi mkuu, timu ikitumia mbinu mbadala inaonekana tu. Wenzetu ni rahisi kuwafunga hata kwao kwakuwa hawana magumashi mengi kama sisi. Simba hii ni Mbovu, mpira mbovu, hana ligi ya ndani haigopwi.Kwa hiyo Simba kufungwa 4-0 na Kaizer ni halali ila Simba kushinda 3-0 ni misumari! Upuuzi..
Na kwa UD Songo vipi Simba ilikuwa na matokeo gani ugenini? Au msimu huo Simba ilipenda kutolewa?
Nasisitiza Simba haikatishwi tamaa na tuhuma zenu za kipuuzi.
Kombe unaloliita la mbuzi ndo limekupa nafasi ya kupanda ndege bila ilo uendi popote, kama aliwafai jitoeni kama ubavu mnao, mmebaki kubwata tu baada ya kupigwa gape la point 10 mnaona amna chenu tena kwa maneno ya mkosajiNB: Kuna ubaya gani kufanya hujuma kwenye mashindano makubwa yenye postive return, ikiwa kuna team inafanya hujuma kwa viteam vidogo vya ndani kushindania kombe la mbuzi???[emoji23]
Wewe ndo kidampa kabisa, kwamba team inayofanya vizuri kimataifa haitakiwi kupoteza mchezo wowote kwenye ligi?? Vipi Ahly, Zamalek, Belouzdad, Raja, Berkane na nyingine nyingi?Umri wako na PUMBA unazomwaga hapa hazifanani.
Mpira ni mchezo wa wazi na unaohitaji fair kwa kila upande, huwezi shinda kwa hujuma afu uanze jisifia eti kwa Mkapa hatoki mtu, inakuja Kagera Sugar inakufumua.
Soka letu halihitaji figisu, timu isajili vizuri na ipate makocha wazuri sambamba na training za maana.
Kma kuna kitu kingetuuma sana ni kusikia kwamba hatuna nafasi ya kurudi tena CAFCL sio kukosa hiki kikombe, sidhani kama kuna mwana Simba Sc anaeumia kwasasa na ndomaana huoni hata nyuzi au mijadala mingi ninayoonyesha kuwa Simba Sc yupo desperate na hilo kombe.Kombe unaloliita la mbuzi ndo limekupa nafasi ya kupanda ndege bila ilo uendi popote, kama aliwafai jitoeni kama ubavu mnao, mmebaki kubwata tu baada ya kupigwa gape la point 10 mnaona amna chenu tena kwa maneno ya mkosaji
Hujielewi. Baki na utopolo wako kichwani.Mpira ni mchezo wa wazi mkuu, timu ikitumia mbinu mbadala inaonekana tu. Wenzetu ni rahisi kuwafunga hata kwao kwakuwa hawana magumashi mengi kama sisi. Simba hii ni Mbovu, mpira mbovu, hana ligi ya ndani haigopwi.
Lugha haungi ungi anajua, Ila aliyoyaongea yanasikitisha na sijui kwann wanakuwa hivyo hawa wachambuzi wetu.Hivi huyu jamaa na Kiingereza chake cha kuunga unga kweli anasema ile haikua penalty??? Kweli hata anasema uongo mwingine VAR haikuangaliwa??? Hizo anazoita Dark Arts ni zipi??? Hovyo sana....
Unaichafua Club ya Simba bila sababu labda hujui unachosema mana lugha unaunga unga...au una jambo baya na Simba...Mpira umechezewa wazi mambo ya Covid hata Yanga walillamika kule Nigeria je walikua wanacheza na Simba??? We jamaa hovyo sana...
dinho sidhani kama umri wangu unaujua..Lakini hii isiwe kesi bali nikuombe uwe makini ni mijadala kama hii na usiwe mtu wa kudandia gari kwa mbele maana utaonekana mjuaji usiyejua kitu..!Umri wako na PUMBA unazomwaga hapa hazifanani.
Mpira ni mchezo wa wazi na unaohitaji fair kwa kila upande, huwezi shinda kwa hujuma afu uanze jisifia eti kwa Mkapa hatoki mtu, inakuja Kagera Sugar inakufumua.
Soka letu halihitaji figisu, timu isajili vizuri na ipate makocha wazuri sambamba na training za maana.
Eeh mbona unatoka nje ya mjadala tena na maneno mingi?Kombe unaloliita la mbuzi ndo limekupa nafasi ya kupanda ndege bila ilo uendi popote, kama aliwafai jitoeni kama ubavu mnao, mmebaki kubwata tu baada ya kupigwa gape la point 10 mnaona amna chenu tena kwa maneno ya mkosaji
Haikushinda?Kwa hiyo lile goli moja uliondoka nalo weye?Simba haikushinda tuwe open katika hilo.VAR ilikuwepo lakini haikutumika
Magumashi gani? tujuze mkuuSasa nakujuza kuwa hawakutumia hizo hujuma kwa kuwa tayari walikuwa na mtaji wa goli 2 ugenini. Hata maandalizi ya game yenyewe yalikuwa finyu sambamba na mashabiki wachache sana. Kila mtu aliamini Simba imeshafuzu makundi ikiwemo wewe hapo.
Game ambazo Simba anafanya magumashi ni zile za maamuzi. Hata ile ya Kaizer Chiefs pia ilipigwa misumari ya kutosha ngoma ikaishia 3-0
Kampa za uso