cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 351
yesu alikuja kutumikia sio kutumikiwa jibu ni rahisi ni nabii wa UONGO.
Mbona ushaweka tayari mchango wako....!!!
Wajinga ndio waliwao!~!Period!
Hivi Yesu alikua na b/guard?
Acha kushupaaa na story za mtaani wewe...kwa jinsi ulivyo na mawazo mgando napata wasi wasi na umri wako , pia na uwezo wako wa kupambanua mambo ?uwezo wa kufikili. USA nimetolea mfano tu.
Mkuu acha kujidhalilisha! Unaonekana limbukeni kabisa. Huwezi ukalinganisha bilionea wa marekani na wa bongo! Uwekezaji unaoweza kuufanya bongo ni tofauti kabisa na uwekezaji unaoweza kuufanya Amerika! Hivyo ni ulemavu wa akili kusema Huyu Askofu sio billionea Kwasababu tu akitakiwa atoe financial document amerika ataonekana sio chochote!
Think again! Mawazo yako ndio mgando!
Na kwa sababu hiyo si unajua kilichompata?angekuwa na bodyguard unafikiri wale wahuni wangethubutu kumtundika?wacha wajilinde kwani wanajua nabii hapendwi kwao!ila najiuliza hao "clients" zao huchangia kiasi gani mpaka "hawa enterprenuer wa mungu" wanakuwa matajiri hivi? au kuna biashara nyingine kificho inaendelea?Hivi Yesu alikua na b/guard?
yesu alikuja kutumikia sio kutumikiwa jibu ni rahisi ni nabii wa UONGO.
Hapa napata harufu ya sembe!
Mkuu ndahani​ mimi nimeshuhudia Mama mmoja aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kifedha akifilisika kabisa.Kwanza alianza kwenda kwa huyu msanii wakati huo huduma yake ya Ngurumo upako inapamba moto sana nadhani wale wasaidizi wa Dr Mheshimiwa wakajua Mama anazo fedha za kutosha wakamwingiza kwa mtumishi akapewa cheo baada ya muda biashara yake ya kusambaza mikaa Arusha na Kilimanjaro ikayumba sana kwasababu alisomba pesa zote akazipeleka kwa huyu msanii mwisho wa siku akaishia kupelekwa Marekani kuosha macho.Watoto wake hawana mbele wala nyuma baada ya Mama yao kujiingiza kichwa kichwa kwa Msani na tapeli la kimataifa.
mtumishi wa mungu anaogopa nini ulinzi wote huo?
Mkuu ndahani​ mimi nimeshuhudia Mama mmoja aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kifedha akifilisika kabisa.Kwanza alianza kwenda kwa huyu msanii wakati huo huduma yake ya Ngurumo upako inapamba moto sana nadhani wale wasaidizi wa Dr Mheshimiwa wakajua Mama anazo fedha za kutosha wakamwingiza kwa mtumishi akapewa cheo baada ya muda biashara yake ya kusambaza mikaa Arusha na Kilimanjaro ikayumba sana kwasababu alisomba pesa zote akazipeleka kwa huyu msanii mwisho wa siku akaishia kupelekwa Marekani kuosha macho.Watoto wake hawana mbele wala nyuma baada ya Mama yao kujiingiza kichwa kichwa kwa Msani na tapeli la kimataifa.
Hajavunja sheria za nchi na anatenda kama Mungu wake anavyomtuma atende. Anaponya wagonjwa kwa jina la Yesu Kristo. Anaihubiri injili kwa ajili ya kuleta amani nchini na duniani kwa ujumla. Yesu Kristo mwenyewe alifanya mengi ya ajabu lakini alikataliwa na mwisho kuuwawa kwa kuwambwa msalabani sebuse mwanadamu wa leo. Hapa duniani hata aje Mungu mwenyewe bado watu watamkataa na kumtukana. Bora kukaa kimya kuepuka laana inayowapa watu umaskini kuliko kuropoka kwa midomo michafu na kuendelea kuwa masikini wa kiroho na kimwili.