George Mpole aliwahi kukataa ofa za Azam, Simba na Yanga, uzeeni atalaumiwa sana na watoto wake

George Mpole aliwahi kukataa ofa za Azam, Simba na Yanga, uzeeni atalaumiwa sana na watoto wake

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mpira mchezo wa ovyo sana, muda wa kushine huwa hauzidi miaka 10

Unaweza kucheza kwa Ujanja ujanja au bahati moaka miaka 15-20 mwishi

Kuna wachezaji wakitemwa na Simba au Yanga wanalia, wako radhi wajae benchi lakini akaunti isome

Starehe Wanazokula na maendeleo waliyonayo wachezaji wa jizi timu tatu ni ya juu sana.

Awesu Awesu anakwambia hagusi mshahara wake akitaka hela anapaki gari nyumbani anakatiza mtaa wa Congo au Msimbazi, nashabiki wanampa tu hela, akienda hotel halipi. Wengine hutafutiwa hadi pisi kali

Djuma Shaban, Kagere, Tadeo Lwanga walilia kama watoto siku wakipotemwa Simba na Yanga

George Mpole akiwa Geita eti akiibuka mfungaji bora, magoli yenyewe yalikuwa ya kimiujiza miujiza tu,mara mpira umemgonga ugoko umeingia nyavuni.

Msimu huu ana goli moja tu kama mwenzake AzizKi na Dube, ila wenzake wanapiga hela ye anaambulia kyla sangara tu, Pamba uchumi wao unajulikana

Kupanga ni kuchagua sikupangii pa kucheza

Kule Leceister City pia yupo mwezake aliapa kufia Leicester licha ya kufuatwa na vilabu vikubwa
 
Kama ambavyo Mzize atajilaumu.
Bora Mzize ana miaka hata mitano mbele,na oake Yanga bika shaka wanamlipa vizuri,akituliza wenge anaweza kuwekeza kwa maisha yake ya baadae
 
Usimlaumu sana, alijaribu kufuata njia ya Samatta.
Yees.

Kuna Uzi niliweka humu watu waliponda sana. Watu wanamchukulia poa Samatta lakini alipofikia siyo padogo kama watu wanavyotaka ionekane.

Lee hii Simba wanamuona Elie Mpanzu kama tegemeo lao, lakini alikwenda Genk akashindwa majaribio.

Hivyo hata mpole alitaka kujaribu njia ya Samatta au Ulimwengu ila majaaliwa hayakuwa yake.
 
Alishawahi kuja kukuomba hela?

Muache na maisha yake kama unataka kwenda simba nenda wewe
 
Zote ni tetesi.

Mzize hata mimi nilikuwa wakwanza kupinga.
Hizi ndiyo akili zenu nyie chupi upande

Sasa unapinga wewe kama nani yaani?
Rais wa yanga?
CEO
Mzize
Kaka yake na mzize?
Boss wa wydad.
 
Yees.

Kuna Uzi niliweka humu watu waliponda sana. Watu wanamchukulia poa Samatta lakini alipofikia siyo padogo kama watu wanavyotaka ionekane.

Lee hii Simba wanamuona Elie Mpanzu kama tegemeo lao, lakini alikwenda Genk akashindwa majaribio.

Hivyo hata mpole alitaka kujaribu njia ya Samatta au Ulimwengu ila majaaliwa hayakuwa yake.
Sidhanikana kuna mtu akiwahi kuota kumuona Mpole akifika mbali,akikuwa wakawaida mno
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Back
Top Bottom