George Mpole aliwahi kukataa ofa za Azam, Simba na Yanga, uzeeni atalaumiwa sana na watoto wake

Hawa utopolo wamechangsnyikiwa nini? Maana naona kila uzi wana hasira kali...hahahaaa nyie Tabora sio wakispost spot.. 🤣 🤣 🤣 🤣
 

Mpole tayali kwishney kabakiza ubishi Tu uwanjani na kutafuta magoli ya huruma ya refa huku mijimama Ya Geita inamsubiri kama Mobeto alivyofunga ofisi pale jangwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…