Ukisikia deep state ndio hawa hawa.NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
sawa sawa, basi Mzee atakuwa na Mengi mazuri kama ana ushawishi huuUkisikia deep state ndio hawa hawa.
Simba Chawene ndiye aliyeongea na Mama viongozi wa Chadema waliokamatwa Mwanza wakati wa vugu vugu la Katiba Mpya waachiwe bila masharti.
Ni maneno ya Zito Zuberi Kabwe.
Ni kweli aliwahi kuwa tingo au mpiga debe?
WN OR (WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS) Captain Ret. GEORGE HURUMA MKUCHIKAKwa hiyo Mkuu kamati ya ufundi iko vizuri? Lakini na Uzalendo pia au utii kwa viongozi si ndio
si mchezoHuyu jamaa kwa ndumba yuko vizur sana nlishapewa na mtu anayekaa jiran yake Kinyerezi mtaa wa Zimbiri jamaa analeta Makalumanzila Mchana Kweupe wamepiga makaniki yao meusi wanafanya yao bila stress
Sanaa usimchukulie poa.sawa sawa, basi Mzee atakuwa na Mengi mazuri kama ana ushawishi huu
Hivi eeh!Unakumbuka sekeseke lalisu kula chuma nae alijiuzulu