George Simbachawene ni nani hasa?

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri



Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri Mkuu. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu

Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.

Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
 
Ukisikia deep state ndio hawa hawa.

Simba Chawene ndiye aliyeongea na Mama viongozi wa Chadema waliokamatwa Mwanza wakati wa vugu vugu la Katiba Mpya waachiwe bila masharti.

Ni maneno ya Zito Zuberi Kabwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…