Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akiwa tayari mtumishi wa serikali?
Basi katoka mbali sana, nadhani anafaa kuwa mfano namna ya kuhustle katika maisha, alipitoka na alipo sasa ni mbali sana
Yaani huyu ndiye alikuwa mtetezi wa Mbowe huko kwa wakubwa?Ukisikia deep state ndio hawa hawa.
Simba Chawene ndiye aliyeongea na Mama viongozi wa Chadema waliokamatwa Mwanza wakati wa vugu vugu la Katiba Mpya waachiwe bila masharti.
Ni maneno ya Zito Zuberi Kabwe.
Mkuu naomba ufafanue hapo kwa Mkuchika nikupate uzuri.Mkuchika ni special case, mhagama hajapita wizara nyeti kama Simbachawene
Soma vizuri comment yangu. Kule mwanza walikamatwa watu wengi akiwemo Dr Lwaitama na Aslofu Mwamakula.Yaani huyu ndiye alikuwa mtetezi wa Mbowe huko kwa wakubwa?
Ina maana aliwatetea hao wengine isipokuwa Mbowe.Soma vizuri comment yangu. Kule mwanza walikamatwa watu wengi akiwemo Dr Lwaitama na Aslofu Mwamakula.
Na ww kashiriki kina utoboeWaamini ushirikina ni nadra kukosa vyeo.
Mbowe alikamatwa akiwa peke yake. Siku wanakamatwa Mbowe alikuwa kwenye msiba wa Kaka yake.Ina maana aliwatetea hao wengine isipokuwa Mbowe.
Ni mzalendo kwa chama au kwa Nchi?Huyu Mzee kashajadiliwa sana humu, tafute nyuzi zake. Ni Mzalendo amehudumu tangu enzi za Nyerere na kila Rais aliyefuata mpaka sasa
AiseeUkisikia deep state ndio hawa hawa.
Simba Chawene ndiye aliyeongea na Mama viongozi wa Chadema waliokamatwa Mwanza wakati wa vugu vugu la Katiba Mpya waachiwe bila masharti.
Ni maneno ya Zito Zuberi Kabwe.
SawasawaSimbachawene mimi namuita Master of the Game... Anajua kujiposition kivyake vyake, anajua kuiona kesho, ana hekima na busara pale anapokosewa na anapokosea...
Kwao ni Mpwapwa Kijiji kinaitwa Pwaga Hana lolote. Watu liomsaidia kwenye kampeni wengi aliwapotezea.
Kama kuna mwenyeji was bwaga hapa atajazia