George Stinney, mtoto wa kwanza kuwahi kuhukumiwa kifo na kunyongwa nchini Marekani

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Video hii hapo chini inaonyesha namna mtoto mweusi mwenye miaka 14 kwa jina George Stinney alivyo nyongwa.

Mtoto huyu alinyongwa mnamo mwaka 1944 huko South Carolina akituhumiwa kuwaua watoto wawili wasichana wa kizungu, Betty June Binnicker (11) na Marry Emma Thames (8). Mtoto huyu alitiwa hatiani kwa ushahidi wa kimazingira tu na hakukuwa na uthibitisho wa uhakika kwamba yeye ndio alihusika na mauaji hayo. Angekuwa mtoto wa kizungu pengine angepewa adhabu tofauti kabisa na aliyopewa mtoto huyo mweusi.

Unaweza kutazama mwenyewe hapo chini.


----


 
Last edited by a moderator:
Inasikitisha sana.

Kisha wao ndio wanajifanya wanajua haki za Binadamu.

Kwa kuwa ni miaka mingi imepita tumuachie Mungu tu.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hizi movies za aina hii zimeshamiri miaka ya hivi karibuni.

Kuna mwandishi mmoja mweusi alihoji do black people have something else positive to turn into movies badala ya hizi stories?


Nyani Ngabu, Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Nimeitoa Wikipedia

On October 25, 2013, Steve McKenzie, Ray Chandler and Matt Burgess of Coffey, Chandler & McKenzie, P.A., filed a Motion for New Trial Pursuant to South Carolina Rule of Criminal Procedure 29(b).


South Carolina lawyers Steve McKenzie, Ray Chandler and Matt Burgess are supporting George Frierson in an attempt to obtain a posthumous pardon, if not a complete judicial exoneration, for Stinney. Frierson is a historian from Alcolu who came across the case in 2004 while doing historical research. McKenzie in an interview in 2011 said he has no doubt this case was an injustice.

He said that the lack of preserved evidence made clearing Stinney's name difficult, but he hoped that the affidavits of three new witnesses, one of which could provide an alibi, would be enough to re-open the case.

If we can get the case re-opened, we can go to the judge and say, ‘There wasn't any reason to convict this child. There was no evidence to present to the jury. There was no transcript. This case needs to be re-opened. This is an injustice that needs to be righted.' I'm pretty optimistic that if we can get the witnesses we need to come forward, we will be successful in court. We hopefully have a witness that's going to say - that's non-family, non-relative witness - who is going to be able to tie all this in and say that they were basically an alibi witness. They were there with Mr. Stinney and this did not occur.
-Steve​

George Frierson stated in interviews that "...there has been a person that has been named as being the culprit, who is now deceased. And it was said by the family that there was a deathbed confession." Frierson said that the rumored culprit came from a well-known, prominent white family. A member, or members of that family, had served on the initial coroner's inquest jury which had recommended that Stinney be prosecuted
 
Hicho ni kisa cha ukweli kaka, not just a movie

Sijasema kuwa siyo kisa cha ukweli.

Point yangu ni kuna visa vingine vinavyohusiana na weusi vimefanyiwa movie miaka ya hivi karibuni and some people wanauliza kinachotafutwa ni nini?

Sympathy kutoka kwa weupe, kuwaonyesha what things they did to black people in the past au nini hasa?

Au ni weusi kufanikiwa kutawala kwenye sekta ya filamu?

I am interesting to know the intention or motive behind ya hivi visa kufanyiwa movies.
 

Ok nimekusoma kaka...
 
Duuh! Inasikitisha sana, na kinacho sikitisha zaidi ni kwamba ntill now bado hawamwoni mwafrika kama kiumbe anayesitahiri kuthaminiwa kama wao.
 
Masikini yarabi weee. Mzungu na Myahudi, wapi na wapi? Kama hujui kitu, kwa nini kukiandika?

Mzungu - Christian, Myahudi- Judaism, hizi dini hazipendani kabisa. Soma zaidi uwe na ufahamu.

Subiri waje mayahudi weusi hapa uone povu litawatoka kutetea mzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…