George Stinney, mtoto wa kwanza kuwahi kuhukumiwa kifo na kunyongwa nchini Marekani

Naamini yupo mahali salama huko juu
Hii video yake niliitazama kwa mara ya kwanza na ya mwisho mwaka 2018 na sikutaka na sitaiangalia tena, iliniliza hii video na nilikuwa napata tabu sana usiku, hakika wazungu hawawapendi kabisa watu weusi na wanatamani wawamalize ila mipango ya Mungu tu.
 
Kweli mkuu inauma sana
 
This is racism. How come they hang African boy? I hate whites
 
Full story kuhusu George stinnery Jr ipo hapa
 
Huyu hakunyongwa bali aliuawa kwa kiti cha umeme. Ukisemwa alinyongwa lazima kitanzi cha kamba kihusike. Kwahiyo kwa Kiswahili fasaha kauli yako ina walakini.
 
Hivi kuna utaratibu gani wa familia yake waliobaki kulipwa fidia.Kwa vyovyote ni vigumu baba na mama yake kuwepo lakini huenda kuna dada,wajombo ukoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…