Gerald Hando hata Wewe?

Gerald Hando hata Wewe?

Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikuwa najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
kwa suala la bandari kila kitu kipo sahihi ni uzandiki wa baadhi ya watu wenye mawazo finyu kama yako ndio mna wasiwasi

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??
Njaa mbaya Mkuu, na ndio imemfanya ajilipue na kusimama upenade wa "yule mwovu"
Ole wenu wazinzi, wezi, madhulumati,na wanyanganyi kwani kiama chenu ni lile ziwa liwakolo moto.
 
Njaa haina adabu kaka. Kaka wa watu alipopoteza kibarua sote sie tukaongea kidogo tukaacha hakuna ambaye hata aliamua kuanzisha mchango wa MPESA ili jamaa tumjaze manoti km shujaa ili aendelee kuishi.
Jamaa ana bills za settle, anawatoto wanataka ada kwa hiyo unataka ukoo wake utaabike.
Yujifunze kuwaenzi wote wanaojitolea muda wao na hata kazi na maisha yao kwa kusimamia kweli.

Jamaa ameamua kuwajoin ili bili zake zilipike, UMUACHE!!!!!
Mimi binafsi naamini kama kweli aliamua kupambana why aje atetereke kisa bills??


Huu ndo umaskini wa kimawazo. Kuna mwanaharakati uko nje uarabuni alikua jina lake ni kimambotsky. Huyu ni mwanahabari ambaye alipambania haki za wanawake wakiarabu kua wapate haki ya elimu.

Huyu alipugwa mpaka risasi ya jicho, thanks to God aikupita kwenye ubongo ilimparaza tuu pembeni.

Some people give blood, wewe hata jasho alitoki unaogopa kulala njaa,, ndoo maana wabongo wengi atuendelei maana tuko CHEAP kila alie na pesa akiamua kukuburuza unaburuzika

Tutakataa vitu vingi ila atutokubali kuacha kuona
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikuwa najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
Mwisho wake!
iamlyenda_20230630_1.jpg
 
kwa suala la bandari kila kitu kipo sahihi ni uzandiki wa baadhi ya watu wenye mawazo finyu kama yako ndio mna wasiwasi

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
Jibu hoja kwa hoja. Kama kuna chochote unachofahamu katika nilichozungumzia kiweke hapa.

Majibu yako ni too general kuonyesha hata wewe hujui unatetea nini au hujui napinga nini au inawezekana pia hujui vyote.
 
Njaa mbaya sana yani adui mkubwa wa maendeleo ni umaskini kuliko hata ujinga
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikuwa najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kufanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin mara nyingi huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua hot sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanayohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.

- Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
Hama nchi
 
Njaa haina adabu kaka. Kaka wa watu alipopoteza kibarua sote sie tukaongea kidogo tukaacha hakuna ambaye hata aliamua kuanzisha mchango wa MPESA ili jamaa tumjaze manoti km shujaa ili aendelee kuishi.
Jamaa ana bills za settle, anawatoto wanataka ada kwa hiyo unataka ukoo wake utaabike.
Yujifunze kuwaenzi wote wanaojitolea muda wao na hata kazi na maisha yao kwa kusimamia kweli.

Jamaa ameamua kuwajoin ili bili zake zilipike, UMUACHE!!!!!
Uko sahihi sanaa.
 
Unataka Gerald Hando afanye utakavyo yakimtokea ya Azory Gwanda au Christopher Mtikila utakuwa tayari kuipa Matunzo Familia yake?

Na kwa Kukusaidia tu baada ya Kukichafua kule EFM na Kupigwa chini kwa Amri kutoka Chalinze na Magogoni alipokea Simu asizozijua huku akipigwa Biti na sasa anafuatiliwa na anaowajua na asiowajua ili akirudia tu Ukipendacho Wewe na Unachokililia hapa wenye Kazi yao Maalum wamalize Shughuli na awe Historia Kwenu na Tanzania.

Acheni kumponza Mwenzenu yamkute.
Duuuh bas tumuache jamaa, atetee uhai wake.
 
Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua hot sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.
Hii kitu uliyoandika hapa haina maana mbele ya pesa mkuu!! Wee muache tu Gerald ale maisha, hii nchi kwa mfumo uliopo ni vzr uitafune sana pindi ukipata gap!!!
 
Bila kuweka itikadi yangu mbele niseme tu nakereka mno watu kujiita wanyonge. Mleta uzi kama wewe ni mnyonge basi ni wewe labda na familia yako. Kujiita wanyonge ni sawa tu ushoga.... unyonge ni laana. Kujiita wanyonge ndo inafanya baadhi ya watu walioko kwenye system kutuona wapumbavu na kutukandamiza. Hata tukisema tuwakatae DP World bado kuna wanyonya damu ambao ni watanzania wenzetu wanatupiga hadharani pale bandarini. Mara kibao kwenye taarifa za TAKUKURU tumesikia watu wamekamatwa kwa kupiga mabilioni huko bandarini halafu tunaendelea kujiita wanyonge? Sasa hivi kuna Simba wako kwenye makazi ya watu huko Iringa ila kama taifa tumekaa tu kimya bila kuwashtua idara ya wanyamapori kufanya kazi yao kwasababu ya huu ufala wa kujiita wanyonge... tuache huu upumbavu wa kujiita wanyonge na tusimame kwenye haki. Kama ni DP World tukae nao mezani kijasiri na kukubaliana kwa makini kwa maslahi ya taifa na sio kutegemea Gerald Hando akutetee kisa wewe mnyonge.

Halafu wengi wetu sio kwamba tuna machungu sana au kuchukizwa na kina Zembwela... ni tunawaonea wivu. Tunatamani sisi ndo tungekuwa kwenye nafasi zao na kujipigia mihela. Kuanza kuwalaumu watu ambao elimu zao sio za juu na wamefika walipofika kwa jitihada binafsi pamoja na vipaji ni matumizi mabaya ya lawama. Isitoshe hakuna sheria yoyote wanayovunja kwa kufanya wanachofanya. Mtu kama Zembwela angajikatia tamaa kwa sasa hivi angekuwa mtaani haeleweki ila kaamua ku-fit kwenye system hadi sasa anajulikana kila upande na anajimegea keki ya taifa.
 
Huyo unaemmwagia sifa ameshindwa vipi kuondoa urasimu, na kuweka mifumo thabiti ya kudhibiti upigaji na rushwa ili bandari yetu itunufaishe, na kwamba wageni ndio watakuja wakuboreshee bandari yako na kukuchumia faida bwerere, kwa mikataba ipi? Yuko wapi mwenye uwezo wa kushinikiza mikataba yenye win-win situation? Nchi imejaa majuha wengi kweli hii..!
Hufuatilii hotuba za huyu ninayemmwagia sifa ?!!!

Pamoja na ukali wa hayati rais JPM hakuweza kuifanya mifumo ya TEHAMA iwiane vyema kati ya TPA na TPA....

Pamoja na uoni wa kiuchumi wa mh Rais .JK hakuweza kuifanya mifumo ya TEHAMA iwiane vyema kati ya TPA na TRA....

Hayati Rais BM ndiye aliyetuwekea TICTS...mifumo haikuwiana....

Mh.Rais SSH amelilalamikia hilo mara kadhaa....

Ameamua kufikiri nje ya "box" kwa kutuletea wawekezaji wa DPW ambao wanakwenda kutupatia NUSU YA BAJETI YA NCHI kwa kila "fiscal year"....si neema hii ?!!!

Kwako si neema hii?!!!

SiempreSSH[emoji2956]
 
Wana habari wa Tanganyika asilimia kubwa sio wazalendo wametanguliza njaa
Tanganyika dola haipo....ni marehemu...iko kaburini....

Tuna waandishi wa habari wa Tanzania bara....

Usiukumbatie ujinga[emoji1787][emoji1787]
 
Njaa mbaya Mkuu, na ndio imemfanya ajilipue na kusimama upenade wa "yule mwovu"
Ole wenu wazinzi, wezi, madhulumati,na wanyanganyi kwani kiama chenu ni lile ziwa liwakolo moto.
Umechanganyikiwa?!!!

Unaquote mistari mitakatifu ili tu kuzifurahisha hisia zako ?!!!

Sisi tunaongelea UHALISIA wa maslahi mtambuka ,wewe unatuletea ngonjera?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Akili ya kisoda hii miongoni wa wanaohoji ni wakili Fatma Karume na Profesa Ibrahim Lipumba nao wanataka wapewe waisrael taifa Leo teule?
[emoji15][emoji15][emoji15]

Wewe nae unaakili za ajabu....

Waisrael ni zaidi ya DINI....usiwe mjinga...

#YetzerHatov[emoji120]
#ShavuaTov[emoji120]
 
Back
Top Bottom