Gerald Hando hata Wewe?

Na hichi ndicho wengi hawafahamu, wanadhani tunapinga uwekezaji au tunampinga DPW. Uwekezaji ni mzuri, na hata DPW anaweza asiwe mbaya lakini tatizo tunampa bandari kwa makubaliano yepi?
Mazwazwa hayaelewi
 
Unamshangaa Gerald Hando kwa hili, kwa nini usiwashangae Rais wa nchi pamoja na Waziri Makame Mbarawa kwa "ujasiri mkubwa" wa kutuuza Watanzania wenzao kwa Waarabu wa Dubai??? Unatakiwa kuwa na roho ngumu ya Shetani Jini Makata kufanya usaliti mkubwa wa aina hii.
 
Kitenge sio mtu wa kawaidah before wamasai wa serengeti kutolewa yeye ndio alikuwa wa kwanza kwenda serengeti na kurecod kipindi na kwenye ishu ya bandari kaenda mbka Dubai uyu jamaa sio mtu wa kawaidah
 
Acha kutupigia mikelele yako hapa,ungekuwa na guts hizo ungeenda kupiga mikelele kwenye mikataba ya madini huko kwanza almasi na dhahabu zimetengenezewa mpaka viwanja vya ndege....we kubali maisha ya kuishi kwa chaneli ya shemeji hapo bandarini yashafika mwisho wengi tu mtarudi kwenye uhalisia wenu.
Nilikuwa namchukia mama samia kipindi anaziba masikio kwenye kelele za tozo na miamala ila sasa nampenda mnooo anavoziba masikio kwenye hili la dp world.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…