Huko CCM nani hayupo kimasilahi? Watu wanafikia hatua ya kuuza bandari, mbuga za wanyama, mikaba ya hovyo kwenye madini, viwanja vya ndege na ufasadi mwingine mwingi, unatuletea propaganda za Mbowe kupokea bill. 10 toka kwa Lowassa. Sijuhi ni lini watza tutaanza kujielewaMbowe yuko kibiashara zaidi. Usidanganyike kamwe kudhani kuwa ana uchungu na wananchi. Yeye anatengeneza mabilioni kwa kuwatumia nyinyi.
Mwaka 2015 alikunja Tzs 10 Bilioni kwa kumpokea Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea uRais kupitia CDM.
Mwaka 2021 alipotoka Ukonga rumande alipita Ikulu kubeba mzigo wake. Na kama unabisha nitakuletea picha ya hekalu lake alilojenga huko Machame kwa fedha hizo