Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Soma ulichoandika ukielewe ndipo uhusianishe na majibu ya aliyekujibu. Kichwa panzi nn?
Nafuu mimi kichwa panzi naelewa nilichoandika kuliko wewe mende unakula kwenye kabati na kuishi kwenye mtaro wa maji machafu
 
Mimi sio pro Mbowe,ila Hando angeanza na CCM iliyokaa zaidi ya miaka zaidi ya 64 na still matundu ya choo tunajengewa na USA,Korea n.k. Note TANU +ASP=CCM.
Nimatakwa ya Wanaccm kama ilivyo matakwa ya wanachadema kutaka Mbowe awe mwenyekiti.

Inaonekana Wana CCM wako wengi, kwahio wanampitisha mgombea yeyote dhid ya mgombea wa upinzani. It sound like MAD.
 
CHADEMA Mbowe wanamuona kama Mungu, yaani usijaribu kumkosoa Mungu wao utaoga matusi. Halafu wanadai katiba mpya na huku mkononi wamekumbatia katiba ya kidkteta.
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Hoja yake itakuwa na mashiko Kama atawaambia kina Museveni, Kagame,CCM, Putin na Jing Pin ambao wanaongoza vyama vyao kwa miaka fahari! Kujipendekeza tu!
 
Mkapa = Mbowe
JK = Mbowe
JPM = Mbowe
Samia = Mbowe

Bob Makani alirithi chama kwa Edwin Mtei, Makani kaoa dada wa Mtei(SHEMEJI). Freeman Mbowe karithi kwa Makani, Mbowe kaoa mtoto wa Mtei (mkwe).

Hicho ni chama cha FAMILIA, mkitaka Mbowe atoke anzisheni chama chenu
Unalinganisha nyanya na kuku! Hivi unafikiri uongozi kwenye chama cha upinzani ni sawa na kuwa kiongozi wa CCM?

Uongozi CCM ni ulaji lakini uongozi chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kujitoa sadaka kwaajili ya wengine.

Katika hao wote uliowataja, tutajie japo mmoja ambaye aliwahi kubambikiziwa kesi au kulala mahabusu kama wanavyofanyiŵa viongozi wa upinzani.
 
Unalinganisha nyanya na kuku! Hivi unafikiri uongozi kwenye chama cha upinzani ni sawa na kuwa kiongozi wa CCM?

Uongozi CCM ni ulaji lakini uongozi chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kujitoa sadaka kwaajili ya wengine.

Katika hao wote uliowataja, tutajie japo mmoja ambaye aliwahi kubambikiziwa kesi au kulala mahabusu kama wanavyofanyiŵa viongozi wa upinzani.
Mbowe yuko kibiashara zaidi. Usidanganyike kamwe kudhani kuwa ana uchungu na wananchi. Yeye anatengeneza mabilioni kwa kuwatumia nyinyi.

Mwaka 2015 alikunja Tzs 10 Bilioni kwa kumpokea Lowasa na kumpa nafasi ya kugombea uRais kupitia CDM.

Mwaka 2021 alipotoka Ukonga rumande alipita Ikulu kubeba mzigo wake. Na kama unabisha nitakuletea picha ya hekalu lake alilojenga huko Machame kwa fedha hizo
 
HIVI KULE ZENJI MWENYEKITI WA CCM NANI SASAHIVI?
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Kwani naye ni mwanasiasa? Basi nae aachie ngazi hapo alipoajiriwa
 
Nadhani ni vyema watu wajifunze kujibu hoja kwa hoja.

Mbowe kukaa miaka nenda rudi ni kushindwa katika uongozi hata kama katiba haijatoa ukomo huo na huenda katiba imewekwa hivyo maksudi kabisa.

Kiongozi mzuri ni yule anayeandaa viongozi wengine na kuwaachia nafasi ili wew ubaki kwenye nafasi ya mshauri.

Hongera Zitto kwa kuongoza kwa mfano. Inaonyesha una imani na wanachama wenzako.
Zito kaachia Madaraka Lini?
Kabalisha Tu jina la Madaraka..
Sasa hivi kawa Mshauri Mkuu wa chama cheo ambacho ni kikubwa kuliko Makamu mwenyekiti..
Screenshot_20240308_090554_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240308_091228_Adobe Acrobat.jpg


Kuna kitu kinanishangaza sana Kwanini CCM wnataka Mbowe aachie madaraka Kuna uwezekano mkubwa kawashika pabaya..

Maaana kuna watu ambao wameshika madaraka zaidi ya mbowe lakini hawaongerewi wala kuguswa..
  • Kiomgozi wa CHAUMA kashika uenyekiti Tangu mwaka 2010 mpaka leo ni miaka 14
  • Kiongozi wa UDP john cheyo ana miaka 31 tangu 1994 Alipoianzisha
  • CUF lipumba Tangu mwaka 1996 mpaka leo ni miaka 29
  • Mrema kawa Mwenyekiti wa TLP na NCCR kwa miaka 28 lakini hawakusema..
IFike mahaala sisi kama CCM tuwe na Ajenda zetu tuwaachie na upinzani ajenda zao
 
Mimi sio pro Mbowe,ila Hando angeanza na CCM iliyokaa zaidi ya miaka zaidi ya 64 na still matundu ya choo tunajengewa na USA,Korea n.k. Note TANU +ASP=CCM.
Demokrasia ipewe nafasi ifanye kazi yake.

Kuwepo mbowe kwenye kiti miaka mingi haliwezi kuwa tatizo kama anachaguliwa kihalali bila mizengwe. The same goes to ccm being in power for more than 60 years.

Kama wananchi wangekuwa wameridhika ccm itawale miaka hiyo yote pasingekuwa na tatizo. Tatizo linakuja kutokana na ccm kutawala kwa kupora kura.

Tatizo kwa mbowe pia ni tabia ya kumwona kila potential candidate wa uenyekiti kama adui wa chama.

Nakumbuka yaliyomkuta Zitto alipotaka kumchallenge mbowe kwenye uenyekiti.
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?

Mbona hawa maCHAWA na PAKA wa Lumumba wameng'ang'ana na Mbowe ...... Hawajui kuwa kuna Mzee wa Mapesa aka Cheyo na Mzee Lipumba wapo pale kabla ya Mbowe...!!?

Zitto kumlinganisha kwenye siasa na Mbowe ni kama kumlinganisha Maji na Mafuta .... OIL will always come on TOP!!
 
Vipi kuhusu CCM imekaa miaka mingapi?

Kwa nini haitaki kuachia nchi!
 
Anatoka vipi wakati mwakani Ana uhakika na ruzuku maradufu ya sasa
 
Back
Top Bottom