KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Ujajibu swali langu mbona anyway kwa hiyo mpaka sasa amefanya lipi la maana labda hadi mnasema anatukuna vizuri kama nchi bado ipo kwa CCMTumeona anawakuna vizuri milio Kila Kona hivyo anawafaa tutendelea kumbakisha mpaka muombe poo
Na kwa nini ataki kuruhusu mawazo mapya ya watu wengine kama hawzi ruzuku ataipataje na familia haiwezi kukubali mwenyekiti wa chama atoke nje ya familia
Toka amekuwa mwenyekiti Chadema haina hata Ofisi ya Makao makuu ya kueleweka pesa za ruzuku anaendeleza miradi yake
Mbowe kawashika mahali sio bure