Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SureMbowe anawapiga kwenye G sport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureMbowe anawapiga kwenye G sport
Ana mental problemGetrude anatimiza miaka 55 kwenye ndoa
Hando itakuwa hakulelewa kwenye ndoa iliyodumu
Mafanikio ni Process 😀🔥
Zaidi ya miaka 20 anatangaza....inabidi na yeye awaachie watoto 19+ watangaze.Pumbavu zake, mbona yeye hajastaafu utangazaji? Ni mwaka wa ngapi anatangaza?
Kwa hiyo Mbowe muda wote amekuwa Rais sawa na hao uliowataja? Mandera alikaa jela na aliendelea kuwa kiongozi wa ANC, Nyerere aliongoza Taa na ikabadilika kuwa Tanu na bàadaye ccm huko hamshangai. Ccm ipo madarakani miaka 60 Toka uhuru linganisha na Singapore iliyopata uhuru 1965 mahali ilipo leo na wewe kikongwe. Unajiskia kumchoka Mbowe kuwa kiongozi wa Chadema ila unainjoi kukaa na ccm!!Mkapa = Mbowe
JK = Mbowe
JPM = Mbowe
Samia = Mbowe
Bob Makani alirithi chama kwa Edwin Mtei, Makani kaoa dada wa Mtei(SHEMEJI). Freeman Mbowe karithi kwa Makani, Mbowe kaoa mtoto wa Mtei (mkwe).
Hicho ni chama cha FAMILIA, mkitaka Mbowe atoke anzisheni chama chenu
Huyu ni mamluki wa ccm na hana nafasi CDM. Mbowe ndio kwanza CDM inazaliwa sasa na anahitajika kwa angalau miaka 10 ijayo.
Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.
Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.
Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Na mzee Mbowe aache kungangania madaraHando kinamuwasha Nini wakati si mwana Chadema apunguze kukesha baa
Halafu kabaki kichwa tuHizi radio ziache kutangaza na kusambaza habari au maoni binafsi ya watangazaji.Hili ni kosa kubwa na Chombo kinachosimamia habari kinatakiwa kiwachukulie hatua hii radio wasafi na watangazaji wake.Nahuyu Hando toka afiwe na mkewe naona ugonjwa wa afya ya akili umeongezeka
Chama cha familia hicho🤣🤣🤣
Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.
Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.
Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Nini maana ya Demokrasia ondoeni hilo neno wekeni chama cha famila ya mtei na mboweHando inamuwasha nini? Kwani Chadema si wana katiba yao? Sasa yeye Hando kinachomuwasha ni nini?
Upo nje ya madaCCM mna vichekesho Sana, sasa Zitto si anapewa ubunge Kigoma na wapemba wanachukuwa Chama chao?
Hivi unaamini Wapemba wanaoweza kuongozwa na Zitto?
Hujui kwamba ACT ni kimvuli cha CUF? Base ya ACT ni Zanzibar na lazima Chama kiwe chini ya Wazanzibar na ndicho kilichofanyika, huyo dada atakuwa kiongozi ceremonial tu kama Rais wa Ujerumani na Rais wa Israel, hapo wenye nguvu ni mwenyekiti na makamu wake Jusa.
Hayo ni maigizo ya kisiasa Zitto anarudishiwa Jimbo la Ujiji Kigoma.
Huyu siku akiwa Rais tusahau hatoki hadi afeMbowe ana mapigo ya Mobutu sese seko kuku Ngbendu Wa za Banga
Kama tu kuachia kiti cha chama hataki siku akishika nchi si ndo imetoka hiyo
Mimi naona wewe ndio una tatizoHizi radio ziache kutangaza na kusambaza habari au maoni binafsi ya watangazaji.Hili ni kosa kubwa na Chombo kinachosimamia habari kinatakiwa kiwachukulie hatua hii radio wasafi na watangazaji wake.Nahuyu Hando toka afiwe na mkewe naona ugonjwa wa afya ya akili umeongezeka
Anapewa kazi na nani wakati yeye ndio mwenye chama??Atatoka siku CCM ikitoka madarakani amepewa kazi maalumu na chama mnaye mpaka tusikie milio yooote
Tumempa wanachama wa chadema anazijulia G sport zenuAnapewa kazi na nani wakati yeye ndio mwenye chama??
Huyu akishika nchi hatoki hadi kifo hapo anawazia pesa za ruzuku tuTumempa wanachama wa chadema anazijulia G sport zenu
KinyeoHando inamuwasha nini? Kwani Chadema si wana katiba yao? Sasa yeye Hando kinachomuwasha ni nini?
Mpaka ccm itakapokoma kungang,ania madarakaNa mzee Mbowe aache kungangania madara
Demcrasia ianzie kwa ccm tangu uhuru mpaka Leo hakitaki kutokaNini maana ya Demokrasia ondoeni hilo neno wekeni chama cha famila ya mtei na mbowe