Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA


Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
MALIZA KWANZA MSIBA MKUU Acha upumbavu akiachia ngazi utaiongoza wewe chadema?
 
CCM mna vichekesho Sana, sasa Zitto si anapewa ubunge Kigoma na wapemba wanachukuwa Chama chao?

Hivi unaamini Wapemba wanaoweza kuongozwa na Zitto?

Hujui kwamba ACT ni kimvuli cha CUF? Base ya ACT ni Zanzibar na lazima Chama kiwe chini ya Wazanzibar na ndicho kilichofanyika, huyo dada atakuwa kiongozi ceremonial tu kama Rais wa Ujerumani na Rais wa Israel, hapo wenye nguvu ni mwenyekiti na makamu wake Jusa.

Hayo ni maigizo ya kisiasa Zitto anarudishiwa Jimbo la Ujiji Kigoma.
NCHI INA WAJUNGA NA WAPUMBAVU WENGI KWA SASA MAMBO YA CHADEMA watayamaliza chadema
 
Inasikitisha Sana....

Mtu anashambuliwa kwa kutoa Maoni yake...., Ana haki ya kutoa Maoni na CHADEMA ina haki ya kutupilia mbali maoni yake...,

Majibu ya kwamba inamuhusu nini sio Majibu..., Sababu yeye ni Mtanzania na kwa upeo wake anaona kinachofanyika sio sawa (Hata kama hana Chama kama Watanzania wengi) lakini Kodi yake pia inatumika katika Ruzuku na kuimarisha Demokrasia Nchini (Hivyo ni Mdau hata kama sio Mwanachama wa Chama)
 
Mkapa = Mbowe
JK = Mbowe
JPM = Mbowe
Samia = Mbowe

Bob Makani alirithi chama kwa Edwin Mtei, Makani kaoa dada wa Mtei(SHEMEJI). Freeman Mbowe karithi kwa Makani, Mbowe kaoa mtoto wa Mtei (mkwe).

Hicho ni chama cha FAMILIA, mkitaka Mbowe atoke anzisheni chama chenu
Mtasubiri na kuhangaika sana na Chadema lkn kamwe hamtofanikiwa kuwagawa kwa mbinu zenu mfu.
 
Malengo ya Wazanzibar NI kuchukuwa Dola ya Zanzibar hawana mpango na Tanganyika wala hakuna fund wataleta Tanganyika.

Zitto NI mwanasiasa opportunist tayari amehakikishiwa ubunge kwahiyo akili yake na nguvu zake NI Kigoma, hataki madaraka yatakayomlazimu kuzunguka nchi nazima wakati Chama chenyewe kipo Zanzibar na Kigoma tu.
Zitto Kumpa ubunge ni TUSI KUBWA ccm kama inamheshimu Wampe UWAZIRI MKUU
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Mimi sio pro Mbowe,ila Hando angeanza na CCM iliyokaa zaidi ya miaka zaidi ya 64 na still matundu ya choo tunajengewa na USA,Korea n.k. Note TANU +ASP=CCM.
 
Ukweli mchungu huu
Mkapa = Mbowe
JK = Mbowe
JPM = Mbowe
Samia = Mbowe

Bob Makani alirithi chama kwa Edwin Mtei, Makani kaoa dada wa Mtei(SHEMEJI). Freeman Mbowe karithi kwa Makani, Mbowe kaoa mtoto wa Mtei (mkwe).

Hicho ni chama cha FAMILIA, mkitaka Mbowe atoke anzisheni chama chenu
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Yeye mbona anekaa redion muda wote huo tena akiwa muajiriwa, vijana wanamkutw, wanaanzisha venture zao Zina simama wanasepa. Yeye yupo tu....
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
actually,
ni maoni, ushauri, pendekezo na mtazamo mzuri na muhimu sana kwa maslahi mapana ya maendeleo na kushamiri kwa Demokrasia ndani ya vyama vya kisiasa, nchi na Taifa kwa ujumla 🐒
 
Bob Makani alirithi chama kwa Edwin Mtei, Makani kaoa dada wa Mtei(SHEMEJI). Freeman Mbowe karithi kwa Makani, Mbowe kaoa mtoto wa Mtei (mkwe).

Hicho ni chama cha FAMILIA, mkitaka Mbowe atoke anzisheni chama chenu

Nanukuuu
 
Hizi radio ziache kutangaza na kusambaza habari au maoni binafsi ya watangazaji.Hili ni kosa kubwa na Chombo kinachosimamia habari kinatakiwa kiwachukulie hatua hii radio wasafi na watangazaji wake.Nahuyu Hando toka afiwe na mkewe naona ugonjwa wa afya ya akili umeongezeka
 
Back
Top Bottom