Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Mtasubiri na kuhangaika sana na Chadema lkn kamwe hamtofanikiwa kuwagawa kwa mbinu zenu mfu.
Mbinu mfu ni zipi? Unaigawaje CHADEMA mali ya akina Mbowe kwa Msigwa au Mnyika?
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
who is hando?
 
Kwani mbowe anajichagua?!
Lini chadema wamepiga kura ya uchaguzi wa mwenyekiti??
Toka nazaliwa hadi sasa nakaribia kupata mjukuu sijwahi sikia Chadema wanauchaguzi wa mwenyekiti
Chama cha familia hicho
yaani nyie machawa wa chadema hamjitambui
 
Lini chadema wamepiga kura ya uchaguzi wa mwenyekiti??
Toka nazaliwa hadi sasa nakaribia kupata mjukuu sijwahi sikia Chadema wanauchaguzi wa mwenyekiti
Chama cha familia hicho
yaani nyie machawa wa chadema hamjitambui
Tumeona anawakuna vizuri milio Kila Kona hivyo anawafaa tutendelea kumbakisha mpaka muombe poo
 

Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.

Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.

Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Ni sawa na kumwambia mtu afunge biashara yake inayompatia kula ..hawezi kubali kirahisi
 
Back
Top Bottom