KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Akili ndogo niambie mwenyekiti gani wa CCm amekaa miaka mingi kumzidi mbowe??Demcrasia ianzie kwa ccm tangu uhuru mpaka Leo hakitaki kutoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ndogo niambie mwenyekiti gani wa CCm amekaa miaka mingi kumzidi mbowe??Demcrasia ianzie kwa ccm tangu uhuru mpaka Leo hakitaki kutoka
Unamaanisha ccm?!Huyu akishika nchi hatoki hadi kifo hapo anawazia pesa za ruzuku tu
Namaanisha ChademaUnamaanisha ccm?!
Niambie chama Gani kimeng,ang ania madaraka ya nchi zaidi ya CCMAkili ndogo niambie mwenyekiti gani wa CCm amekaa miaka mingi kumzidi mbowe??
Mbinu mfu ni zipi? Unaigawaje CHADEMA mali ya akina Mbowe kwa Msigwa au Mnyika?Mtasubiri na kuhangaika sana na Chadema lkn kamwe hamtofanikiwa kuwagawa kwa mbinu zenu mfu.
Na wewe niambie kiongozi gani wa chama cha ccm kawa mwenyekiti wa ccm zaidi ya mbowe??Niambie chama Gani kimeng,ang ania madaraka ya nchi zaidi ya CCM
CCM Mali ya nani?Mbinu mfu ni zipi? Unaigawaje CHADEMA mali ya akina Mbowe kwa Msigwa au Mnyika?
who is hando?
Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.
Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.
Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Virusi ndiyo vimechanganya kweli kweliHuyu mlevi mwenzetu vp tena
Ova
Kwani mbowe anajichagua?!Na wewe niambie kiongozi gani wa chama cha ccm kawa mwenyekiti wa ccm zaidi ya mbowe??
Papai mmoja hiviwho is hando?
Lini chadema wamepiga kura ya uchaguzi wa mwenyekiti??Kwani mbowe anajichagua?!
Tumeona anawakuna vizuri milio Kila Kona hivyo anawafaa tutendelea kumbakisha mpaka muombe pooLini chadema wamepiga kura ya uchaguzi wa mwenyekiti??
Toka nazaliwa hadi sasa nakaribia kupata mjukuu sijwahi sikia Chadema wanauchaguzi wa mwenyekiti
Chama cha familia hicho
yaani nyie machawa wa chadema hamjitambui
Ni sawa na kumwambia mtu afunge biashara yake inayompatia kula ..hawezi kubali kirahisi
Gerald Hando akiwa katika kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM leo Machi 7, 2024 ametoa hoja ya kumtaka Mwenyekiti wa CHADEMA kuachia ngazi ya Uenyekiti wa chama hicho kwa kile alichodai amekaa sana, tazama video hapo juu.
Hoja hii inakuja siku chache baada ya kumshuhudia Zitto Kabwe akiachia nafasi ya Uongozi kwenye chama chake Cha ACT Wazalendo.
Upi mtazamo wako kuhusu hoja hii ya Hando?
Kuliko ccm ambayo wananchi chai ni hanasaMbowe ni DIKTETA MZOEFU
Kwani ccm inavyoitwa chama cha mapinduzi kilipindua nini cha maana?.Nini maana ya Demokrasia ondoeni hilo neno wekeni chama cha famila ya mtei na mbowe
Bado Sana atang,atuka pamoja na ccmMbowe bado tunamuhitaji ikifika wakati wa kung'atuka atang'atuka tu.