Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Huko CCM nani hayupo kimasilahi? Watu wanafikia hatua ya kuuza bandari, mbuga za wanyama, mikaba ya hovyo kwenye madini, viwanja vya ndege na ufasadi mwingine mwingi, unatuletea propaganda za Mbowe kupokea bill. 10 toka kwa Lowassa. Sijuhi ni lini watza tutaanza kujielewa
 
Bams, nakuelewa sana hisipokuwa unaelimisha watu wasio elewa. Sijuhi ni kweli hawaelewi au wamepofushwa na siasa. Ni wangapi wanaweza kujitoa mhanga kama Lissu na Mbowe kwa ajili ya wengi. Alafu wanaohumia Mbowe kuendelea kuwa m/kiti wa Chadema sanasana ni CCM pamoja na ACT-Wazalendo.
 
Huyu hando ndonani? Amefanyia Nini nchi? Hii haja yake mbona mbaya inachafua hali yahewa!!?
 
Mmmh !
 
Wahenga walisemaga Pilipili iko shamba wewe inakuwasha nini. ??!

Masuala ya Chadema yanayohusu chama chao yatashughulikiwa na vikao vya wajumbe wao wa Chama !!

Inaonekana Mbowe anatisha I 😅😅🙏
 
Nionyeshe ushahidi wa mbuga ya wanyama iliyouzwa?
 
Lipumba & Cheyo hawamo huyu kazidisha unafiki.
 
Mtu anajiita mende chooni ana akili ya kunyambua utimamu wa siasa za hila za chama cha mapinduzi na mapandikizi yake kweli?????
 

Ajabu sana wanachama wala hawana nongwa ila yeye ndo kawashwa.
 
Wadau UZI MMEUSOMA sasa tujadili.
Narudia tena KWANINI UENYEKITI wa FREEMAN MBOWE unajadiliwa sana tena sana na Wafuasi wa CCM na ACT badala ya WANACHADEMA wenyewe?
Je MBOWE kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA CCM na ACT wanadhurika nini?
Je CCM na ACT ina kwama wapi Iwapo MBOWE ataendelea kuwa MWENYEKITI wa CHADEMA?
Mbona CHADEMA hakuna sehemu yoyote Wamejadili kuondoka Kwa MWENYEKITI wa CCM na Wa ACT?
 
Tuwe nao makini hao. Hawachelewi kumdhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…