Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Kiukwel mkuu unafeli unayafanya maisha kuwa magumu
Tuma mzigo Broo it is not fairKivipi?
Duh akina nani hao tena mkuu?Wameanza kunitisha, eti isipo isha hapa thread itaondolewa yote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atume vitu bnDuh akina nani hao tena mkuu?
Kama ni JF basi wasikilize tu yani maana kila mahali kuna sera zinazoongoza mambo.
Tupe udambwiudambwi mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
naunga mkono hoja Yao, usipoimaliza ule hata ban ya mwaka mzimaa, huwezi fanya biadhara kwenye platform ya wàtu vinginevyo uwalipe Kodi.Wameanza kunitisha, eti isipo isha hapa thread itaondolewa yote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SawaTuma mzigo Broo it is not fair
Sawa mkuuAtume vitu bn
Jamii forum ililetwa kwa mlengo upi mkuu? Na wapi niliapa bosi wangu?naunga mkono hoja Yao, usipoimaliza ule hata ban ya mwaka mzimaa, huwezi fanya biadhara kwenye platform ya wàtu vinginevyo uwalipe Kodi.
muanze kutozwa Kodi ndo mpate uharali wa kusitisha ilinwatunwawafuate huko wassap kwenye buku buku.
unatuma simulizi hapa bila kuomba ruhusa huku ukiapa kuimalizia, tunaifuta hata kabla haijafilkisha dakika.
Basi ungekipeleka jukwaa la biashara kule maana hapa wamekuambia ni entertainmentJamii forum ililetwa kwa mlengo upi mkuu? Na wapi niliapa bosi wangu?
Nadhani wewe umenijua kwenye huu uzi, nina simulizi niliwahi kuzileta hapa nilimaliza zote kuzipost mpaka mwisho, hiyo ban ambayo unataka nipigwe ya nini?
Hii simulizi niliona watu wanaorder niwatengenezee kitabu na nikaja kuaddress hapa kabisa, kosa liko wapi?
Means tuache kuandika? Kumbuka hicho unacho kibeza natumia muda wa zaidi ya miezi mitatu kukiandika, kuna muda narisk ishu zingine ili iishe, so sio kwamba inaandikwa kwa usiku mmoja na kuletwa hapa bosi hapana, kuna investment nyuma yake.
So far hata wakisema kodi mimi nitalipa vizuri tu sema ni kwa sababu sijaona sehemu iliyo andikwa hivyo.
NB
Kuna mtu hata tukisema simulizi nzima ni 500 hawezi kununua mkuu na kuna watu hata 20k anakuchangia, kuna baadhi wanajua mambo tunayo yapitia. Huwa naona mnavyo wavaa waandishi ila hata siku moja ukikaa kwenye position ya waandishi nadhani hata mwezi mmoja tu unaweza ukaacha na kuandika kwenyewe.
Kaka achana na hao wapiga debe tushushie mzigo tuburudikeJamii forum ililetwa kwa mlengo upi mkuu? Na wapi niliapa bosi wangu?
Nadhani wewe umenijua kwenye huu uzi, nina simulizi niliwahi kuzileta hapa nilimaliza zote kuzipost mpaka mwisho, hiyo ban ambayo unataka nipigwe ya nini?
Hii simulizi niliona watu wanaorder niwatengenezee kitabu na nikaja kuaddress hapa kabisa, kosa liko wapi?
Means tuache kuandika? Kumbuka hicho unacho kibeza natumia muda wa zaidi ya miezi mitatu kukiandika, kuna muda narisk ishu zingine ili iishe, so sio kwamba inaandikwa kwa usiku mmoja na kuletwa hapa bosi hapana, kuna investment nyuma yake.
So far hata wakisema kodi mimi nitalipa vizuri tu sema ni kwa sababu sijaona sehemu iliyo andikwa hivyo.
NB
Kuna mtu hata tukisema simulizi nzima ni 500 hawezi kununua mkuu na kuna watu hata 20k anakuchangia, kuna baadhi wanajua mambo tunayo yapitia. Huwa naona mnavyo wavaa waandishi ila hata siku moja ukikaa kwenye position ya waandishi nadhani hata mwezi mmoja tu unaweza ukaacha na kuandika kwenyewe.
[emoji81][emoji81]hii ndo Tanzania nchini yanguDaaah Hii Story yako hujapangilia visa kabisa ,unasoma badala ya kukupa hamu zaidi ya kusoma inachosha tu,umeifanya kuwa ndefu kwa kurudia rudia matukio,,mfano Kisa cha zakari kwa nini anatafutwa umekirudiaa mara kibao,,,
Msomaji kila baada ya kurasa kadhaa anarudia tena kusoma story ya kwanini Zakari.kawa katili,,Jitahidi story zako zijazo upangile Visa vizuri,punguza wahusikaa alafu la muhimu tafuta Muhariri wa kukusaidia kuihariri story kabla hujaileta kwa Wadau