Gerezani kuna nini maana Mbowe ananawiri kila kukicha

Gerezani kuna nini maana Mbowe ananawiri kila kukicha

Wanasema Jera ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.

Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka Yuko mnyonge Sana, Sabaya sahivi amenyongonyea Sana.

Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.

Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kungaaa.

View attachment 2089362
Anapumzika muda mrefu
Anahudumiwa chakula kizuri, most probably na familia na marafiki
Ndani ya moyo wake anajua hajafanya makosa anayotuhumiwa nayo
Ana sympathy kubwa sana kwa jamii
Ameandika historia ya maisha yake
 
Ameshakuzoea sio kama hao wengine uliowataja ilikua mara ya kwanza kwao. Na inawezekana maaskari wanamuhudumia vizuri hawajui kesho itakuaje
 
Wanasema Jera ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.

Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka Yuko mnyonge Sana, Sabaya sahivi amenyongonyea Sana.

Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.

Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kungaaa.

View attachment 2089362

Hiyo raba nimeikubali sana...!!
 
Jibu lako hili hapa.

Danieli 3

Nebukadneza anasimamisha sanamu

1 Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu, yenye kimo mita ishirini na nane na upana mita tatu. Aliisimamisha katika sehemu tambarare ya Dura, mkoani Babuloni. 2Kisha mfalme akaamuru maliwali, wasimamizi, wakuu wa mikoa, washauri, watunza hazina, majaji, mahakimu na maofisa wote wa mikoa wahudhurie sherehe ya kuzindua rasmi sanamu aliyoisimamisha. 3Basi, maliwali, wasimamizi, wakuu wa mikoa, washauri, watunza hazina, majaji, mahakimu na maofisa wote wa mikoa wakakusanyika tayari kwa uzinduzi wa sanamu aliyosimamisha mfalme Nebukadneza. 4Mpiga mbiu akatangaza kwa sauti kubwa, “Enyi watu wa makabila yote, mataifa yote na lugha zote, mnaamriwa kwamba 5mkisikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, santuri, zumari na sauti za ala nyingine za muziki, lazima mwiname chini na kuiabudu sanamu ya dhahabu aliyosimamisha mfalme Nebukadneza. 6Na yeyote ambaye hatainama chini na kuiabudu, atatupwa mara moja katika tanuri ya moto mkali.” 7Kwa hiyo, watu wote, mara waliposikia sauti za baragumu, filimbi, kinubi, zeze, santuri, zumari na sauti za ala nyingine za muziki, walianguka kifudifudi na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu ambayo mfalme Nebukadneza aliisimamisha.

Marafiki wa Danieli wanashtakiwa

8Wakati huo, baadhi ya Wakaldayo wakajitokeza na kuwashtaki Wayahudi. Walimwambia mfalme Nebukadneza, 9“Uishi, ee mfalme! 10Wewe, ee mfalme, ulitoa amri kuwa kila mtu anaposikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, santuri, zumari na kila aina ya muziki, ainame chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu. 11Na kwamba mtu yeyote asiyeinama chini na kuiabudu sanamu hiyo, atupwe ndani ya tanuri ya moto mkali. 12Sasa, kuna Wayahudi fulani uliowateua kushughulikia mambo ya utawala wa mkoa wa Babuloni, yaani Shadraki, Meshaki na Abednego; watu hawa, ee mfalme, hawakuitii amri yako. Wanakataa kuitumikia miungu yako na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

13Hapo mfalme Nebukadneza, huku akiwaka hasira, akaamuru Shadraki, Meshaki na Abednego waletwe mbele yake. Nao wakawaleta mbele ya mfalme. 14Mfalme Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba wewe Shadraki, wewe Meshaki na wewe Abednego, hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? 15Basi, mtakaposikia tena sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, santuri, zumari na sauti za ala nyingine za muziki, je, mko tayari kuinama chini na kuiabudu sanamu niliyotengeneza? Kama mkikataa, mtatupwa mara moja katika tanuri ya moto mkali. Je, ni mungu gani anayeweza kuwaokoa mikononi mwangu?”

16Shadraki, Meshaki na Abednego wakamjibu mfalme, “Ee Nebukadneza, sisi hatuhitaji kukujibu kuhusu jambo hilo. 17Ikiwa ndivyo, Mungu wetu ambaye tunamtumikia aweza kutuokoa katika tanuri ya moto mkali; tena atatuokoa mikononi mwako, ee mfalme. 18Lakini, hata kama haitafanyika hivyo, ujue wazi, ee mfalme, kwamba sisi hatutaitumikia miungu yako wala kuiabudu sanamu ya dhahabu uliyosimamisha.”

Wenzake Danieli wanahukumiwa

19Hapo, mfalme Nebukadneza akawaka hasira, sura yake ikabadilika kwa chuki dhidi ya Shadraki, Meshaki na Abednego. Akaamuru mwako wa moto wa tanuri uongezwe mara saba kuliko kawaida yake. 20Akaamuru watu fulani wenye nguvu kabisa katika jeshi lake wawafunge Shadraki, Meshaki na Abednego na kuwatupa katika ile tanuri ya moto mkali. 21Basi, vijana hao wakafungwa hali wamevaa makoti yao, kanzu zao, kofia na mavazi yao mengine, wakatupwa katikati ya ile tanuri ya moto mkali. 22Kwa vile amri ya mfalme ilikuwa kali, ule moto ulikuwa umewashwa ukawa mkali sana, hata ndimi za moto zikawateketeza wale watu waliowapeleka Shadraki, Meshaki na Abednego. 23Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego, wakiwa wamefungwa, wakatumbukia katika ile tanuri ya moto mkali.

24Basi, mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hatukuwafunga watu watatu na kuwatupa motoni?” Nao wakamjibu mfalme, “Naam, mfalme! Ndivyo!” 25Kisha akauliza, “Lakini sasa mbona ninaona watu wanne wakitembeatembea humo motoni bila kufungwa na wala hawadhuriki, na mtu wa nne anaonekana kama mwana wa miungu?”
Huwezi kutupa summary ya ujumbe uliokusudia kuuleta ? Andiko lefu mno.!!
 
Ni nyampara ,na manyampara hawafanyi kazi,ni kuwaongoza wengine.ila jela imemkubali aise,jamaa limenawiri hivi!!
 
Wanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.

Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.

Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.

Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.

View attachment 2089362
Anakunywa maji ya Kilimanjaro mengi sana.
 
Wanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.

Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.

Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.

Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.

View attachment 2089362
“Damu ya Yesu “
 
Wanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.

Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.

Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.

Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.

View attachment 2089362
ukute keshapata bwana
 
Wengine hao uliowataja waliwekwa ndani kwa makosa yao walioyafanya; jamii ilikua inajua, wao wenyewe walikua wanajua; Mbowe kosa lake nini? Huyu ni lazima atakua na AMANI moyoni mwake halafu wanao mtesa wao ndio wanapoteza AMANI ndani ya mioyo yao cause hata wao wanajua kua WANAMUONEA. Unamkumbuka babu Seya? Nae alitoka akiwa kanenepa vizuri tu, aliyemfunga i think hadi leo hua anasikia HUKUMU moyoni mwake. Hata yule jaji aliyehukumu ile kesi (kastaafu sasa hiv) nae aliwahi kuhojiwa siku moja, aliitaja ile kesi kama hatakuja isahau maisha yake yote, means huaga anaumia kumfunga mtu ambaye wala hakukosea hicho alicho hukumiwa nacho, KARMA is bitch
 
Wanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.

Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.

Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.

Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.

View attachment 2089362
Unacheza na Mbowe wewe, daima mi huwa simuelewielewi huyu jamaa.....ni mjanja mjanja fulani anayewajulia watu 'watu wake fulani' vizuri tu. Nina uhakika huko 'gerezani' aliko anapiga stori vizuri tu na mzee mzima jk, makamba, mama yetu na 'vijana wao' kadhaa hivi kila siku jioni. Wanacheeeeekaa!!!!

Eti gaidi..........do you really believe that?!!!!
 
Back
Top Bottom