Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sympathy inafanya unenepeAnapumzika muda mrefu
Anahudumiwa chakula kizuri, most probably na familia na marafiki
Ndani ya moyo wake anajua hajafanya makosa anayotuhumiwa nayo
Ana sympathy kubwa sana kwa jamii
Ameandika historia ya maisha yake
Ni kweli, Jamuhuri wanatamani Bora wasingempa makosa ya uongoWengine hao uliowataja waliwekwa ndani kwa makosa yao walioyafanya; jamii ilikua inajua, wao wenyewe walikua wanajua; Mbowe kosa lake nini? Huyu ni lazima atakua na AMANI moyoni mwake halafu wanao mtesa wao ndio wanapoteza AMANI ndani ya mioyo yao cause hata wao wanajua kua WANAMUONEA. Unamkumbuka babu Seya? Nae alitoka akiwa kanenepa vizuri tu, aliyemfunga i think hadi leo hua anasikia HUKUMU moyoni mwake. Hata yule jaji aliyehukumu ile kesi (kastaafu sasa hiv) nae aliwahi kuhojiwa siku moja, aliitaja ile kesi kama hatakuja isahau maisha yake yote, means huaga anaumia kumfunga mtu ambaye wala hakukosea hicho alicho hukumiwa nacho, KARMA is bitch
Apige story na Jk au makamba never kina JK wanafiki tuUnacheza na Mbowe wewe, daima mi huwa simuelewielewi huyu jamaa.....ni mjanja mjanja fulani anayewajulia watu 'watu wake fulani' vizuri tu. Nina uhakika huko 'gerezani' aliko anapiga stori vizuri tu na mzee mzima jk, makamba, mama yetu na 'vijana wao' kadhaa hivi kila siku jioni. Wanacheeeeekaa!!!!
Eti gaidi..........do you really believe that?!!!!
Umejuaje anakaa VIPKwanza anakaa kwenye room ambayo ni vip pia hali chakula cha gerezani anapelekewa chakula kutoka nyumbani kila siku
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
hapati mateso kama wafungwa wengine chumba chake kina hadi AC si unaona anapata hadi muda wa kupaka piko mvi zake magu ndio alim fix alikuja mahakamani nywele zote zina mvi kama lowasa... unafananisha chuma cha pua na mkate? Chuma kitapiga kutu kidogo kwa muda ila kiko imara; mkate huoza.
Kule hakuna kuchikuchiWanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.
Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.
Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.
Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.
View attachment 2089362
Umejuaje chumba chake kina Ac,,,Ila kutesana ni ushamba mkubwa, yaani Viongozi wa African hapana, September utaona Hangaya anaenda UN nakuhubiri vibrant democracyhapati mateso kama wafungwa wengine chumba chake kina hadi AC si unaona anapata hadi muda wa kupaka piko mvi zake magu ndio alim fix alikuja mahakamani nywele zote zina mvi kama lowasa
figisu hata ulaya zipo mkuu ndio siasaUmejuaje chumba chake kina Ac,,,Ila kutesana ni ushamba mkubwa, yaani Viongozi wa African hapana, September utaona Hangaya anaenda UN nakuhubiri vibrant democracy
We bado sana.....utakuja kujua baadaeApige story na Jk au makamba never kina JK wanafiki tu