Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe mtoto wa mjini. Anatupia vitu vikali sana.Hiyo raba nimeikubali sana...!!
Acheni tabia za kishenzi jamani, mambo gani haya, huyu ni baba wa familia, kuweni na staha basiKazi za manyapara hizo anapewa dozi kila kukicha
acha ku deceive uma,! halafu usilitukanishe taifa et presidential material!!!!!,Mbowe Ni presidential material.
Apana weka yeye kundi moja na mnyang'anyi Sabaya.
Mbowe alishawahi kugombea the highest office in the land.
Mbowe Ni kiongozi wa kitaifa.
Sabaya anakula vipisi vya nyama anavyopewa na nyapara kwa makubaliano maalum.
Mbowe anakula chakula kutoka sehemu Kama Kempiski.
Yupo kitengo cha jikoniWanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.
Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.
Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.
Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.
View attachment 2089362
Unadhani Mbowe anakuwa treated equally naAcha ujinga
Kaka, Sasa hutaki? Umesahau kwamba FAM aligombea urais? Au unakataa kwamba Mbowe sio kiongozi wa kitaifa? Au umesahau kwamba Mbowe alishakua kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni?acha ku deceive uma,! halafu usilitukanishe taifa et presidential material!!!!!,
Acha ujinga wewe roho ya bwana kwa huyo tapeli.Roho ya Bwana I juu yake.
Huyo dogo apo ndo sabaya kamkana mahakamani kua hamjui.
Shukrani! Umeridhika?Acha ujinga wewe roho ya bwana kwa huyo tapeli.
Hapo hela ya serikali inapigwa humlhumo jela.ndo mana kesi haiishi.
Inakera sana naomba waziri wa mambo ya ndani aunde tume. Mtuhumiwa ananawiri wakati mwendesha mashtaka anachokaWanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.
Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.
Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.
Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.
View attachment 2089362
usimshirikishe Mungu na huyo mtu.muwage na adabuShukrani! Umeridhika?