Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hujaridhika tu wewe? Basi Endelea tu sasa Nduguusimshirikishe Mungu na huyo mtu.muwage na adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaridhika tu wewe? Basi Endelea tu sasa Nduguusimshirikishe Mungu na huyo mtu.muwage na adabu
Hakuna k _vantWanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.
Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.
Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.
Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.
View attachment 2089362
Habari ya jela isikie kwa jirani.Kumbe ni vizuri aendelee kukaa jella kwa kuwa anaendelea kunawiri kuliko uraiani anashindia Konyagi
Picha ya juu nakaona kadogo S.Nyegu😁😁
Dogo nyegu ni mjinga sana...kipindi nipo moshi nilikuwa namuona club alberto..dogo alikuwa anajiona kufanya kazi ofisi ya mkuu wa wilaya kumbe ikifika usiku yeye na bosi wake wanaenda kufanya armed robbery 😁😁Picha ya juu nakaona kadogo S.Nyegu😁😁
Ana amani moyoni mwake na anatambua fika hana hatiaWanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.
Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.
Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.
Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.
View attachment 2089362
Acha dhihaka wewWanasema Jela ni sehemu ya Mateso, na tumeona watu waliokaa rumande walivyobadilika Kama sio kudhoofu.
Mfano Yusuph Manji, alikonda ndani ya Mwezi, Rugemalira ametoka yuko mnyonge sana, Sabaya sasa hivi amenyongonyea Sana.
Lakini kwa Mweshimiwa Mbowe ni tofauti, anatabasamu, anafuraha na amenawiri kwelikweli.
Mbowe tupe Siri ya mafanikio Mbona unazidi kung'aaa.
View attachment 2089362
Nani Sukuma gang, unanijuaKwa nafasi aliyonayo hapa Tanzania mbowe ni mtu mkuuubwa mnoo..huko gerezani ana heshimika saaana..habugudhiwi na wala hateseki..chakula analetewa na familia yake kutoka nje..godoro analolalia mbowe ni saafi tena jipya kabisa..blanketi na shuka za mbowe zinafuliwa kwa maji moto ili kuondoa wadudu wabaya kama kunguni..mbowe anaishi kwa amani saaana gerezani...SUKUMA GANG MSITESEKE DUNIA HII HUWEZI KUPENDWA NA WATU WOTE NA PIA HUWEZI KUCHUKIWA NA WATU WOTE..
Na System wanamuogopa ndo maana wanamfanyia mazila ili kumkomoaMbowe Ni presidential material.
Apana weka yeye kundi moja na mnyang'anyi Sabaya.
Mbowe alishawahi kugombea the highest office in the land.
Mbowe Ni kiongozi wa kitaifa.
Sabaya anakula vipisi vya nyama anavyopewa na nyapara kwa makubaliano maalum.
Mbowe anakula chakula kutoka sehemu Kama Kempiski.
Nikujue ili unipe nini wewe sukuma gangNani Sukuma gang, unanijua
Wewe ndie ujipe pole...Pole
Hujaelewa wewe,.....subiri ujue kwanzaHivi nyie viazi kweli yaani umfunge mtu afu eti apige story na hao never