Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Narudia tena toa UZWAZWA wako. UZWAZWA wako huko huko lumumba siyo humu, humu utapigwa za uso tu kuhusu huyo anayejiita mwendawazimu.
Umeshindwa kujibu kwa hoja unatangatanga huna lolote vibaraka wa mabeberu nyie
 
Msigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndugulile.


2401425_20200516_21060062162.jpg
Hukumuelewa ndugu. Chato ni mahali tu barua ilipoandikiwa. Lakini neno IKULU ni muendelezo wa cheo chake yaani MKURUGENZI WA MAWASILIANO YA RAISI, IKULU.
 
Mbona hiyo barua haina tatizo. Muandishi amewka jina lake alafu akaweka cheo chake alafu akamaliza na mahali alipoandika hiyo barua ambapo ni Chato alafu tarehe.
Haina maana kwamba Chato ni Ikulu jamani hizi kata....
 
Back
Top Bottom