Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Wadau huo ni utaratibu wa kutoa communique popote duniani, ukiangalia address ni ya makao makuu ya Rais/nchi kwa sasa (hiyo ndiyo formal address kwa sasa), bali chini lazima barua ionyeshe ilipoandikiwa/ maamuzi yalipofanyika kwa wakati huo.(yaweza kuwa Katavi, Babati, Mtwara etc) .
News correspondents ndio hufanya hivyo. Unataka kutwambia Msigwa hajawahi kuandika barua akiwa yuko Wilaya nyengine nje ya Chato, Dodoma au Dar. Hatujawahi kuona kaandika Bukoba au Morogoro!
 
Screenshot_20200913-230233_1.jpg
 
Naona watu wengi humu ni watoto hawajui kwamba Nyerere akiwa rais kuna maamuzi alikuwa anafanya msasani na mengine akiwa Butiama.
 
Kufuatia wageni mashuhuri wa mataifa mbali mbali kupewa mialiko ya kuja Tanzania,huku ikulu itumikayo ni hii ya Chato.

Je,tumeamua kuachana na ikulu ya magogoni na ile ya Chamwino?

Maana hizi ni sehemu salama zaidi kwa wakati wote na ndizo zinatambulika hata kimataifa hasa hii ya Dar-magogoni.

Kama Taifa tunapaswa kuwa na ofisi rasmi sehemu maalum ambayo ndiyo itatambulika kama ndiyo utambulisho wetu hata kwa wageni wanaokuja ktk shughuli za kitaifa.

Tuachane na kila mtu kuamua anamualika nani sehemu yeyote ile.

Kama ni wageni wake binafsi wanaalikana kula popcorn sawa na ibakie hivyo kishkaji.

Ku "deploy" mfumo wa kiusalama na watendaji wake ni gharama sana kwa taifa.

Mapinduziiiiiiiii.......daima.
 
Hata Nyerere alikuwa akikaribisha wageni Butiama akiwa mapumzikoni na Ikulu haikuhama, Acha chuki.
 
Chato ni Ikulu ndogo kiserikali kama ilivyo msoga, butiama, lushoto na maeneo yote wanayochagua kuishi maisha yao yote marais wastafu hujengwa kwa ajiri ya baadae kuwa ikulu ndogo umewahi kufika msoga.

Hizo gaharama zote zipo kama kawaida sema kama unaona wivu kagombee na wewe uwe rais ujengewe kwenu.
 
Inabidi tununue viwanja Chato ukijenga ka lodge kule kenye hadhi biashara lazima ilipe 😀
 
Kuna upuuzi wa kustaajabisha sana unaoendelea ndani ya hii Serikali haramu huku usalama wa JIWE used to be known usalama wa Taifa ukiwa kimya kabisa. Mambo yanafanyika kienyeji kienyeji tu na yanagharimu trillions za walipa kodi bila idhini ya Bunge.
 
Kuna upuuzi wa kustaajabisha sana unaoendelea ndani ya hii Serikali haramu huku usalama wa JIWE used to be known usalama wa Taifa ukiwa kimya kabisa. Mambo yanafanyika kienyeji kienyeji tu na yanagharimu trillions za walipa kodi bila idhini ya Bunge.
Acha chuki na wivu, kwani Chato si Tanzania. Rais Magufuli ana mamlaka ya kumkaribisha mgeni wake mkoa wowote ndani ya Tanzania.
 
Chato ni ukulu ndogo kiserkali kama ilivyo msoga, butiama ,lushoto na maeneo yote wanayochagua kuishi maisha yao yote marais wastafu hujengwa kwa ajiri ya baadae kuwa ikulu ndogo .umewahi kufika msoga

Hizo gaharama zote zipo kama kawaida sema kama unaona wivu kagombee na wewe uwe rais ujengewe kwenu

Hayo majibu yako hayana weledi; unajibu kama mlivyozoea kuimba mapambio!! Wewe uliyefika Msoga ebu weka picha ya mahekalu ya mkwere tulinganishe wizi wao!!
 
Acha ujinga wewe! Kwanini Mwalimu, Mkapa, Kikwete hawakufanya huu upuuzi unaopigia debe? Watanzania wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini.
Acha chuki na wivu, kwani Chato si Tanzania. Rais Magufuli ana mamlaka ya kumkaribisha mgeni wake mkoa wowote ndani ya Tanzania
 
Acha ujinga wewe! Kwanini Mwalimu, Mkapa, Kikwete hawakufanya huu upuuzi unaopigia debe? Watanzania wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana Nchini.
Wivu tu, kila zama na kitabu chake. Kwanini Mwalimu, Mkapa na Kikwete hawakujenga flyover yoyote nchini ? Kwanini hawakujenga SGR na kuleta treni za umeme au kwanini hawakufanikiwa kuamishia serikali Dodoma? Kwa nini hawakujenga Stiegler Gorge.

Magufuli ameonyesha uthubutu, hakuna sababu ya kufananisha uongozi wake wa sasa na waliopita Magufuli anonyesha kujiamini na kuthubutu kuleta viongozi kijijini Tanzania karibu na alipokulia na sio huko mjini. Huyu ni mzalendo, anaipenda Tanzania na anatukumbusha kupenda tulipotoka na kujiamini, sio kukimbila tu mjini ukiachana na chuki na wivu utaona hayo
 
Mbna pale ikulu ndogo ya kigoma alikarbishwa kiongozi mkubwa tuu tena wa nchi, sjui na Tunduma pia. Chato imekuwa nongwa, vitu vidogo vidogo Sana hvo jaman, kuna mambo ya kumlalamikia Maghuful ila siyo hayo.
 
Kwa akili yako fupi. Watanzania wenye UFINYU akili kama wewe ni MAZWAZWA tu ambao mnashangilia kila upuuzi unaoendelea Nchini ambao umesababisha Nchi iwe kichekesho cha dunia na watu wengi duniani kuulizana KULIKONI Tanzania?

Eti kaonyesha uthubutu!? Unajua kama kapora hazina 2.7 trillions hazina kisha kugomea uchunguzi huru? Unajua kanunua ndege kwa trillion 3 cash bila idhini ya Bunge ambazo zinaingiza hasara ya billions kila mwezi? Unajua kwa kutotaka kuumbuka kuhusu hasara kubwa ya ATCL kamzuia CAG kukagua financial statements za ATCL!? Unajua katumia bilioni 200 bila idhini ya Bunge kujenga airport chato ambayo haina maana yoyote. Mzalendo haibii Taifa lake wewe, hadhulumu wafanyakazi, wafanyabiashara na wakulima! Acha kuandika upuuzi! Eti kajenga flyovers 😂😂😂😂😂 sasa kama kujenga flyovers ni tija kwanini Watanzania tulimpiga chini kwenye uchaguzi October 28 hadi ikabidi ajaze kura fake, kuiba na kuua ili apore uchaguzi!?
Toa ukamongo wako hapa wa kumuita mtu kama huyo anayechukiwa kila kona kwa udhalimu wake eti ni mzalendo!

Wivu tu, kila zama na kitabu chake. Kwanini Mwalimu, Mkapa na Kikwete hawakujenga flyover yoyote nchini ? Kwanini hawakujenga SGR na kuleta treni za umeme au kwanini hawakufanikiwa kuamishia serikali Dodoma ? Kwa nini hawakujenga Stiegler Gorge. Magufuli ameonyesha uthubutu, hakuna sababu ya kufananisha uongozi wake wa sasa na waliopita Magufuli anonyesha kujiamini na kuthubutu kuleta viongozi kijijini Tanzania karibu na alipokulia na sio huko mjini. Huyu ni mzalendo, anaipenda Tanzania na anatukumbusha kupenda tulipotoka na kujiamini, sio kukimbila tu mjini ukiachana na chuki na wivu utaona hayo
 
Wewe ZWAZWA mzalendo HATHUBUTU kuliibia Taifa lake.
1610321508680.jpeg

Wivu tu, kila zama na kitabu chake. Kwanini Mwalimu, Mkapa na Kikwete hawakujenga flyover yoyote nchini ? Kwanini hawakujenga SGR na kuleta treni za umeme au kwanini hawakufanikiwa kuamishia serikali Dodoma ? Kwa nini hawakujenga Stiegler Gorge. Magufuli ameonyesha uthubutu, hakuna sababu ya kufananisha uongozi wake wa sasa na waliopita Magufuli anonyesha kujiamini na kuthubutu kuleta viongozi kijijini Tanzania karibu na alipokulia na sio huko mjini. Huyu ni mzalendo, anaipenda Tanzania na anatukumbusha kupenda tulipotoka na kujiamini, sio kukimbila tu mjini ukiachana na chuki na wivu utaona hayo
 
Back
Top Bottom