Gerson Msigwa: Rais ameagiza kufunguliwa kwa Online TV tu na sio Vyombo vingine vya Habari

Gerson Msigwa: Rais ameagiza kufunguliwa kwa Online TV tu na sio Vyombo vingine vya Habari

Hawa wamemsaidia Mh Rais SSH ku control chain reaction. Watu wangemuona Mama ni wamaumuzi ya kitonga na mkurupuko.
 
Mnajuaje kama walimuuliza na kujiridhisha kabla ya kufanya maamuzi?
Nina uhakika hawajamuuliza Abbas ndo kaja na iyo definition unataka Rais akupe maagizo specific ..? Rais hutoa general wewe mwenye wizara tekeleza ku meet vizion yake
 
Kuna huyu wa kanisa la ufufuo na uzima serikali imfuatilie nyendo zake za sirini
Huyu msela SIRINI ana boksa na mapu..u na bo..o TU.
HANA KINGINE......!

Au nasema uongo ndugu zanguu??
 
Rikiboy mambo yako ni kula tunda kumasihara huku wapi tena (jokes),

Abbas kakosea sana yaa kiufupi ameanza kupandisha mabega juu wakati huu si muda wa hayo mambo, pia watu waache kupalilia moto maana Mh Rais anaona na kusikia, hizi tabia za watz kuchongea watu ili wakose ajira hazina afya kabisa, wengi wanataka Abbas aondolewe sasa sijui akitoka wanafaidika na nini, kwanza yale si majukumu yake bali ni Msigwa
 
Wamemshauri mama atakuwa anavunja sheria sasa apeleke sheria bungeni warekebishe
Hawa nyumbu wanashangilia kama kasuku, wasubiri pigo jingine kwenye kodi.Hakuna mtu anabambikizwa kodi bali ni sheria. Msitegemee nafuu ya kodi ni bora mfunge biashara zenu kuliko kurudi tulikotoka. MAMA YETU ataeleweshwa tu na ataona mantiki na kodi itakusanywa kama kwa. Hakuna nchi duniani inayoendeshwa bila kukusanya kodi.Poleni
 
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.
Chadema yenye uwezo wa kusimamia mambo yake aliondoka nayo dr slaa, hii ya sasa hakuna lolote, ni bendera fuata upepo tu.
 
UFAFANUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.

Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali
Madam President Samia,mbona watu wako hawaelewi wanachokisema.Ulizungumza kwa kiswahili fasaha na sanifu kuwa vyombo vya habari vilivyofungiwa ,vifunguliwe ili mradi tu wafuate sheria.ukatoa mfano (online) viTv vya mitandaoni.Lakini neno Vyombo vya habari vinajumlisha magazeti,redio,mitandao ya kijamii kama twitter n.k,ViTv vya mitandaoni etc.Sasa huyu ndugu yetu anasema ni online Tv tu.Kwa taarifa yake Mr Msigwa hivi vji Tv (online) ni hatari sana kwa jamii wakiwemo watoto kama hamutokuwa makini.Magazeti.Redio,TV sana sana watu waangalia taarifa za habari,Michezo ya kuigiza,Mipira n.k Magazeti ndio kabisa hayanunuliwi.Bado hujafafanua.Wamiliki wa magazeti wataweka mitandaoni magazeti yao kwa watu kulipia (subscribe) na watasoma.Jamani hii dunia ya sasa ni kijiji tu.Tafadhali Mr Msigwa ungerudi tena kupata ufafanuzi.Madam President anataka kuwepo na uhuru wa vyombo vya habari.Upuuzi wote wa wasioitakia mema nchi yetu utakwisha kabisa.
 
Ki ufupi Mhe.Rais kama hao Jamaa au huyo Jamaa Kaja Kutoa Ushauri na Umbeya wa kuhusu Magazeti Fulani ndipo nawe umekubaliana nalo na Mwishoe umewaruhusu watangaze.Hapa Mama Yetu Utapoteza Kuaminiwa na Watu wata Amini ya Kuwa Ile kauli ya kutomwamini Mwanasiasa hata Siku Moja.Hebu waambie waruhusu Huo Uhuru wote.Tuanze Upya.Tafadhali Usirithi Maadui Mama.Umeanza vizuri basii endeleza Uzuri.
Intelligensia mpo Humu mfikishieni Mama hili.Sisi wengine Tutasema ukweli .
Na mimi kama nikiwa Mwana CCM naongea haya KWA mtazamo wangu na Jinsi ninavyoona Maoni ya Watu kuhusu Haya.Wanahisi Unazingua.
 
Mama akutane na magwiji kina Ellen Sirleaf mapema wampe maujuzi. inaonekana kuna watu wanamuendesha kwa rimoti.

yupo pale kwa mujibu wa Katiba, siyo kwa mujibu wa madalali wa upigaji na mabeberu.
Mheshimiwa Rais apewe tu heshima yake anayostahili na tutafute njia mbadala za kudili na frustations zetu binafsi.
 
Suala la Abbas kutafsiri kauli ya Rais kuwa Magazeti sio vyombo vya habari imenisikitisha sana lakini Nimesikitika zaidi kuona RAIS. SAMIA SULUHU kaangukia kwenye mtego wa kuchukulia poa Viongozi kudharau na kubadilisha kauli zake jinsi wanavyotaka wao na yeye anaamua kufunika kombe kwa kufata mkumbo wa mtu aliebadilisha kauli zake.

Hakika ametuangusha mnoo kuamua kukubaliana na kauli ya Abbas na kwa hili napoteza Imani juu ya yeye kuamua na kutoa kauli za Amri kama Rais.

Kusema magazeti sio vyombo vya habari wakati nayo yalifungiwa kwa Sheria kandamizi inashangaza mnoo na hii ni kutaka kuaminisha watu Magazeti ni vyombo vya kupikia yani..[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

RAIS asicheke na watu wanaotaka kumpima Nguvu na uwezo wake wakidhani sababu ni mwanamke bhasi watabadilisha kauli na maamuzi yake jinsi wanavyotaka.

View attachment 1746119

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app

Hapa Mama amezingua ,nilivyomsikiliza bashungwa inaonyesha yeye,abbasi,ndugulile kama wamemuomba mama asifungulie kwanza magazeti ,nina uhakika hao mawaziri wamemshawishi mama akubali maombi yao maana wakifungua wao wataonekana vilaza.

Ndio maana tunasema ili mama aongoze vizuri hana budi kuwaondoa CHAWA wa MEKO ,akiendelea kuwakumbatia watamuangusha sana,watu walikuwa hawampendi JPM kwasababu ya hao hao watu waliokuwa wanatekeleza maagizo yake ya ukandamizaji.
 
Back
Top Bottom