Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Tume haipaswi kuwa sehemu ya Serikali.Yupo sahihi kwa mujibu wa nafasi yake...
We kwani ulitaka asemeje?
Hivi huko CCM mmejazana wajinga eeh?
Huyo ni msemaji wa Serikali. Yaani msemaji wa Serikali anaisemeaje Tume tena mnayoita Huru?