#COVID19 Gerson Msigwa: Watanzania wawasikilize wataalamu, chanjo za COVID-19 zinahakikiwa na TMDA na Mkemia Mkuu

Yaani natamani comment yako hii iwekwe kwenye taa za barabarani ili kila mtu asome. Wajinga Sana hawa waumini wa jiweism.
🤣🤣Mkuu wangu we acha tu.....

Unamkuta mtu ZWAZWA anawaaminisha ujinga na upumbavu MAFULAFULA na kuzidi kuwafanya kuwa MAHOBOBO 🤣

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Sister jamaa ameshaikataa hii kitu kuwa ni fake, ameikataa kwenye akaunti yake insta. Watu siku hizi wanatengeneza sana hizi, ni vyema kabla hujaposti uwe unatembelea kwenye pages official za wahusika
Nilitaka kuwashauri Wizara ya Afya watengeneze App itakayoandaliwa na wenye uzoefu wa Public Health kuelimisha wananchi. Si kwa chanjo ya Covid tu bali elimu ya afya kwa ujumla. Mara ninakutana na hii kitu.
 
Kama kweli kuna consent forms waandike kwa kiswahili wengi wapate kuelewa watakacho saini
 
Iko wazi sana kuchanjwa ni hiyari ya mtu.Ukiona kwamba haukubaliani na mkataba huo japo sina uhakika nao huu mkataba then unaacha
Acha kwa manufaa unayoyajua,ila chanja kwa faida yako na taifa,ukichanja utanilinda na mwingine,usipochanja unatuweka wote kama taifa katika hatari.
 
Hatuna wataalamu, wote wamekuwa wanasiasa. Na wanasiasa hawaaminiki, tumsikilize nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…