Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Huyu alikuwa ni mchawi kabisa, anauchukia Uislam lakini msikilize, leo anaona raha kuwa Muislam: Usiuogope Uislam, Uislam ni mwema sana utakuweka huru hata kama u mchawi:


Your browser is not able to display this video.
 
Kabisa tena, hakuna dawa bora ya uchawi kama Uislam.

Tazama huyu bingwa wa bingwa kwenye boxing. alisilimu akamchakaza boxer mchungaji aliyekuwa anaogopewa na kila mtu:

Your browser is not able to display this video.
 
HAPO NI MOTONI TU*
 
Mtu kubadili Dini ni story? Kanisani kwetu kwa mwezi si chini ya Muslims 4-7 wanajoin Kanisani,na mpaka sasa wanadarasa lao si chini ya 20 wanafundishwa ukristo ni nini,huwa nawashangaa Muslims mtu akijoin kwao inakuwa big story πŸ˜€πŸ˜€
 
Mtu kubadili Dini ni story? Kanisani kwetu kwa mwezi si chini ya Muslims 4-7 wanajoin Kanisani,na mpaka sasa wanadarasa lao si chini ya 20 wanafundishwa ukristo ni nini,huwa nawashangaa Muslims mtu akijoin kwao inakuwa big story πŸ˜€πŸ˜€
Taja mmoja ambaye ni maarufu aliyeuacha Uislamu.

Hao wa kwenu wamepangwa ili mzidi kupigwa pesa za sadaka
 
anatafuta pesa, pambano la uarabuni ambalo huwa wanalipaga mipesa mingi kwelikweli. soon akishapata pesa atarudi kwenye imani ya kweli.
Chai.

AJ, Daniel Dubois, Usyk, Bivol ,Otto Walin, Deontay Wilder, Joseph Parker wote hawa ni wakristo na wametoka kupigana siku 2 tu hapo nyuma hukohuko Saudi Arabia.

AJ amepigana Saudi mara mbili.
 
Papa Francis kafanya ukristo uonekane kituko
Kwa mada mezani inaonekana umeona labda huyo alikuwa Mkristo sasa ameamua ahame eti sababu Papa ameongea asichokipenda.

Hao watu ni majina tu yanakufanya uwaone walikuwa Wakristo hao huwa siyo Wakristo elewa hata wazazi wao huwa hawahangaiki kupelekesha watoto zao kwenye masuala ya imani.
 
Chai.

AJ, Daniel Dubois, Usyk, Bivol ,Otto Walin, Deontay Wilder, Joseph Parker wote hawa ni wakristo na wametoka kupigana siku 2 tu hapo nyuma hukohuko Saudi Arabia.

AJ amepigana Saudi mara mbili.
Uislam mwema sana, Subhanna Allah wakiwa Waislam wanakuwa na imani ya juu, hata ule ukatili wa vboxing unawaondoka, tazama Muhammad Ali alipokuwa Muislam akipigana akimzidia sana opponent wake anamuokoa:

Your browser is not able to display this video.



Huo ndiyo Uislam.

Scars njoo katika Uislam tunakuokoa na moto wa jahannam. Muone scars mwenzako chini hapo.
 
Na Thomas Partey pia midifilder la timu yangu gunners amesillim hongera zao asee...
Jamaa viuno tu na rangi vilimchanganya,hakuna mtu anaehamia dini kisa mwanamke au mwanaume ukasema ameisoma akaielewa.

Mwanzo alijiita Yakub naona ameona jina halitoshi akarudia jina lake anataka atambulike kama mwanzo so hakijui alichofuata zaidi ya mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…