Hawabadili hao wanakuwa hawana dini so ktk kuhangaika hangaika kwao wanakutana na watu wanawashawishi.Mtu kubadili Dini ni story? Kanisani kwetu kwa mwezi si chini ya Muslims 4-7 wanajoin Kanisani,na mpaka sasa wanadarasa lao si chini ya 20 wanafundishwa ukristo ni nini,huwa nawashangaa Muslims mtu akijoin kwao inakuwa big story 😀😀
hata Mike Tyson alibadili dini kuwa muisilamu, ila anamiliki mashamba ya bangiView attachment 2852055
Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"
Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.
Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.
Pongezi nyingi kwake zimfikie.
Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.
Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.
Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.
Video hii hapa akitamka shahada.
View attachment 2852053
Ushahidi.Mtu kubadili Dini ni story? Kanisani kwetu kwa mwezi si chini ya Muslims 4-7 wanajoin Kanisani,na mpaka sasa wanadarasa lao si chini ya 20 wanafundishwa ukristo ni nini,huwa nawashangaa Muslims mtu akijoin kwao inakuwa big story 😀😀
Hata kama alichora akiwa kwenye uislam kwa kugharikia basi anayo nafasi ya kusamehewa na Allah sembuse alikuwa nje ya uislam?Hizo tattoo alizichora akiwa hayupo kwenye Uislamu.
Mwenyezi Mungu akujaalie uione nuru yake kwa sababu yoyote ile, iwe ya kuoa hata wanne si mmoja tu, ni nguvu zako tu.Nami nataka nisilimu, nitafutie binti mmoja wa kizanzibar hapo Paje au Kizimkazi basi Dada yangu.
[emoji23]hata Mike Tyson alibadili dini kuwa muisilamu, ila anamiliki mashamba ya bangi
Sio dhambi kabisa katika uislamu waumini kuwa na tattoo ni uchonganishi tu wawatu wasiopenda kuona wengine wanapendeza
Nam kabisa imekatazwa na dini.Uislamu unasema kitimoto ni haram
nam kwa sababu tatoo sio kizuizi cha wewe usiwe muisilamu,unaweza ukaenda peponi na tatoo zako wakati huo wale ambao hawajajichora tatoo wakaenda motoni.Lakini mtu mwenye tattoo anayetoka dini nyingine anakaribishwa vizuri kwenye uislamu.
ukishaingia kwenye uisilamu kama mike tyson hauwezi kusikia ananadiwa kwenye media kwamba ameambiwa atatoo haramu,atafahamishwa na hao waliosmilimisha na wala haina ulazima kwamba awewe na mimi tujue.Na zile story za tattoo haram hutazisikia tena.
Kabisa ni jambo limekatazwa na diniUislamu unasema tattoo ni haram
Kuchora tatoo hakukufanyi uwe haramu.Mnaruhusuje mtu haramu aje kuinajisi dini?
Wapo wengi huyo ni mmoja katika maelfuDaah asee noma nimeenda kumgoogle yupo hivyo mkuu.
Ni mualgelia na French
Hizi dini ni noma
Kitu kilichotajwa kuwa Haram, kitu hicho mtu akikifanya je atakuwa na access ya kwenda peponi?Nam kabisa imekatazwa na dini.
nam kwa sababu tatoo sio kizuizi cha wewe usiwe muisilamu,unaweza ukaenda peponi na tatoo zako wakati huo wale ambao hawajajichora tatoo wakaenda motoni.
ukishaingia kwenye uisilamu kama mike tyson hauwezi kusikia ananadiwa kwenye media kwamba ameambiwa atatoo haramu,atafahamishwa na hao waliosmilimisha na wala haina ulazima kwamba awewe na mimi tujue.
Lakini pia atafundishwa taratibu baadhi ya sheria na kanuni za kiisilamu hivyo taratibu ataelewa kitu fulani kinafaa na kingine hakifai.
Kabisa ni jambo limekatazwa na dini
Kuchora tatoo hakukufanyi uwe haramu.
KATIKA UISILAMU HAKUNA MTU HARAMU kwamba eti kwa uharamu wake huo HARUHUSIWA KUINGIA KATIKA UISILAMU,HAKUNA MTU HUYO.
Awe shoga,awe msagaji,awe mzinzi,awe mwizi,awe muuwaji maadamu yupo hai basi anakaribishwa vizuri kwenye Dini.
Kwa sababu mtu yeyote akiingia kwenye Dini yeye ndo anafaidika na dini na wala sio Dini inafaidika na yeye.
Hivyo mtu kama shoga akiingia kwenye Dini faida ni yake na wala sio faida kwa uisilamu.
Muisilamu akifanya uovu kajichafua yeye hajachafua dini yake.
Dini ipo,ina misingi yake,hainajisiwi bali imetulia tu inasubiri wafu wa kuwaomgoza mkuu.
Hao wanadhani wapo salama sana. Kuna hadi Ma-Imams wanaongoza misikiti na ni Mashoga.Uislamu unasema kitimoto ni haram
Uislamu unasema tattoo ni haram
Lakini mtu mwenye tattoo anayetoka dini nyingine anakaribishwa vizuri kwenye uislamu. Na zile story za tattoo haram hutazisikia tena.
Mnaruhusuje mtu haramu aje kuinajisi dini?
Au hizo tattoo mtazifuta?
Mike Tyson naye alisilimu na ana tattoo kubwa kwenye jicho mbali na hilo ana project yake ya kutengeneza pipi za sikio zenye kionjo cha ganja yani bangi na kaifanya juzi hapo akiwa bado muslamu.
Bado mtasema dini yenu haichezewi?
Kesho akisilimu shoga mtakuja tena humu kupost kama ishara ya uislamu kukubalika?
Anyway haiwezi kuwa story kubwa kwasababu alisha silimu Lodovic Mohamed Zahed ambaye ni homosexual na ni mpigania haki za LGBT
Wote wa kina Imam Daayiee Abdullah huyu naye alikuwa mkristo aliyebatizwa kabisa nakumbuka hadi Al Jeezera waliwahi kuandika habari yake
Huyu pia naye ni shoga na anaongoza waumini msikitini.
Inatakiwa ujivunie pia na huyu kwa kuukubali uislamu.
Ukimkataa huyu au ukaona hafai kumtumia kujivunia kwakuona anauchafua uislamu kwakua anafanya jambo ambalo dini imekataza, basi unatakiwa uwe na misimamo hiyo hiyo na kwa hao wenye tattoo na wavuta ganja.
Kiufupi ni kwamba uislamu wa vitabuni una exist angalau kwenye mataifa ya kiislamu tuHao wanadhani wapo salama sana. Kuna hadi Ma-Imams wanaongoza misikiti na ni Mashoga.
Aljezeera, DW na BBC wana program za midahalo mikali ya kupigia kampeni ushoga ni huwa ipo Live.
Kule Amerika na Ulaya tayari Uislam ulishaanzwa kukeketwa kitambo tu na hata Waislam wa kule wameshalipokea hilo na wanaishi nalo. Hawa wa kule Mwembetogwa ndiyo wanaoshindana kupiga kelele ingawa wanasahau kwamba hata huko, maeneo yote yenye ngome za dini yao hilo swala wanaishi nalo ni kama azana tu kwa kifupi ni zaidi hata ya Ulaya.
View attachment 2852490
View attachment 2852491
View attachment 2852493
View attachment 2852494
View attachment 2852495
View attachment 2852496
Kwanza nampa hongera kwa maamuzi yake na yanapaswa kuheshimiwa.View attachment 2852055
Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"
Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.
Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.
Pongezi nyingi kwake zimfikie.
Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.
Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.
Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.
Video hii hapa akitamka shahada.
View attachment 2852053
Very true!!Kiufupi ni kwamba uislamu wa vitabuni una exist angalau kwenye mataifa ya kiislamu tu
Nayo hiyo inavhangiwa na adhabu kali ya kuchinjwa lakini kusingekuwa na vitisho vya mtu kuuwawa basi leo huko kungechafuka kuliko hata America
Hawa hapa ni baadhi tu ya Maimamu ambao ni Mashoga;Tote uliyoyafanya kabla ya Uislam yanasamehewa. Simpo.
Hakuna muislamu wa Ulaya anatamani kuishi Saudia.Very true!!
Ndiyo maana waarabu wanaongoza hivi sasa kuhamia Ulaya na Marekani na wanachokikimbia ni uislamu, wakifika Ulaya na Marekani wanakutana na Uislam uliokeketwa.
Halafu ikifika mwezi wa Ramadhani wanatembelea nchi zao za asili kwa ajili ya kufanya utalii wa mfungo wa Ramadhani kwa wiki mbili za mwisho, na kula sikukuu.
Sasa hivi huko Ulaya wameshakubali Maimamu wao kuwa mashoga na Masela wanaingia kupiga swala kama kawa...na wao waislamu wa ulaya na Marekani wamegeuka kuwa Wakristo wa Tanzania...wazee wa Mungu anaangalia ya Moyoni😁