Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Acha kujidanganya kwamba eti Uislam haujengwi na nchi.
Uislam unategemea uwepo wa nchi, bila nchi hizo uislam duniani unafutika kesho tu. Ni nchi hizo ukisikia Koran imechomwa moto zinafukuza au kuwaita kujieleza mabalozi wa nchi ambazo tukio hilo limefanyika.
Uislam unapumulia mirija ya Saudia, Iran, Qatar na nchi nyingine za aina hiyo. Bila hizo nchi uislam unafutika. So acheni kudanganyana ni bora muukubali ukweli muijenge dini yenu iwe huru bila kutegemea support za mataifa hayo.
Sasa nikuulize Saudi Arabia na Iran wote waislam kwa nini hawafungamani si waislam wote kwa nini hawapikiki chungu kimoja...na kusisitiza imani ya dini ya kiislam inajitegemea..wala hakuna maelekezo kwmb hizo ndo zitaongoza uislamu
Mjadala imehitimishia hapa,anaye elewa na aelewe,hongera Sana.
 
Sasa nikuulize Saudi Arabia na Iran wote waislam kwa nini hawafungamani si waislam wote kwa nini hawapikiki chungu kimoja...na kusisitiza imani ya dini ya kiislam inajitegemea..wala hakuna maelekezo kwmb hizo ndo zitaongoza uislamu
Hao wana hitirafiana sababu ya madhehebu, kila mmoja ikitaka dhehebu lake ndiyo liwe vocal over others
 
Mwenyezi Mungu akujaalie uione nuru yake kwa sababu yoyote ile, iwe ya kuoa hata wanne si mmoja tu, ni nguvu zako tu.
Kama uislamu ndo kuwa na roho mbaya kama huyu bibi faiza bora tu nibakie humu nilpo
 
Kitu kikiwa kwny vyombo vya habari sio siri tena..kama humu naona mnashndw kutofautisha misingi ya dini na sheria za nchi..mfano hapo Zanzibar tuu mwezi mtukufu migahawa inafungwa yote ni amri ya nchi lkn sio dini..mfano muislam akisilimu mana'ke umeritadi..mana'ke umemkataa mtume na mwenyezimungu hivo hukumu yako kwnz ni motoni..na huwezi kurudi ktk uislam hata hapo baadaye
Sheria za nchi wanapata wapi sheria za kuua mtu? Nchi zote za kiislam sheria ya mtu kubadili dini kutoka kwenye uislam adhabu yake ni death penalty
 
View attachment 2852055

Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

View attachment 2852053
Nakuongezea na Sneako wa huko huko USA

View: https://www.youtube.com/live/FgyBXLjZCkQ?si=LwcHaNrpIWHlW-LJ

Screenshot_20231116-174917.png

Laiti wangemjua huyo wanayemuendea ni huyu wa kwenye hii hadithi sijui kama wangebaki huko
 
View attachment 2852055

Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

View attachment 2852053
Jambo jema
 
Kwanza nampa hongera kwa maamuzi yake na yanapaswa kuheshimiwa.
Kuna jambo moja unalopaswa kujua na ambalo naona watu wengi wanashindwa kulitofautisha kati ya dini hizi mbili.

Ukristo haupiganiwi wala hautetewi.ukimkuta mtu anagombana au kupigana kwa ajili ya ukristo basi jua kiwango chake cha imani au ufahamu wake wa mambo ya kiroho basi bado haujafikia level ya "utakaso."

Wakati yesu anakamatwa katika bustani ya Gethsemane,petro alichomoa upanga na akamkata moja ya askari aliyekuja kumkamata yesu.yesu alimkemea kwa kitendo kile akamwambia arudishe upanga wake kwenye ala na akamponya mtu aliyekuja kumkamata na akamuuliza je anadhani mungu hana majeshi ya kutuma kwa ajili yake mpaka yeye petro ampiganie?.petro alifanya vile kwa kuwa alikuwa bado kutakaswa na alipotakaswa hakuwahi hata kurusha neno la vita akiupigania ukristo.

Hii ndiyo tofauti ya ukristo na uislamu. Wakristo wanaamini mungu mwenyewe anaupigania ukristo ila waislamu wanaupigania uislamu kwa maneno na vitendo na hili halipaswi kupingwa wala kubezwa maana ndio misingi ya hizo imani.
Umesema kweli mkuu. Waislamu wataua mtu in allah name. Rip joshua mollel
 
Hawa hapa ni baadhi tu ya Maimamu ambao ni Mashoga;

Ludovic-Mohamed Zahed
Daayiee Abdullah
Nur Warsame

Kahina Bahloul (Huyu hapa chini ni Imaam wa kike)
View attachment 2852510

Unaijua Toronto Unity Mosque?

A mosque in Toronto is creating a name for itself for welcoming the LGBT community, as well as to people of all faiths. Founder El-Farouk Khaki said it was important for him and his co-founders to create the Unity Mosque, or the El-Tawhid Juma Circle, as a space that is welcoming to anyone
Dini ya haki ya allahu akbaru ina imamu wa kike? Daah. Wavaa kobazi tunafeli wapi
 
View attachment 2852055

Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

View attachment 2852053
Ndio utakapo shangaa dini iliyo baadae kabisa tena kwa kuchelewa na ikichukua karibu kila kitu kutoka kwenye dini mama eti Leo inajiita ndio dini ya mungu 😂😂😂😂ni Sawa na mtoto kujiona yeye NI WA maana kuliko Baba yake.
 
Hakuna muislamu wa Ulaya anatamani kuishi Saudia.

Yani umchukue Dj Khalid umpeleke Saudia unafikiri huko kutakuwa na tafsiri gani tofauti na jela?

Na ndio maana hata wale migrants waliozamia Europe wakitokea Syria na Iran waligoma kurudi kwao hata baada ya machafuko kuisha.

Walikuja kugundua kumbe kuna maisha ambayo binadamu anakuwa na uhuru kiasi hiki.

Hao waislamu wakiwa huko Europe kila kitu wame adapt kwa western culture utasikia wanasema Free Palestina lakini wao wenyewe hawataki kabisa kwenda makwao
Ustaadh dj khalid anavuta bangi kweri kweri
 
Dini ya haki ya allahu akbaru ina imamu wa kike? Daah. Wavaa kobazi tunafeli wapi
Naam, anaitwa Imama na anaweza kuwasalisha wanawake wenzake ana watoto ambahawaja balehe., kila Muislam ni Imam.

Uislam ni mwema sana, umeshawahi kuisoma Qur'an au unafata mihemko tu ya watu wenye chuki za kijinga tu?
 
Umetia

Inshort hakuna sehemu kwny uislam unasema

unasema tabaka fulani au mtu asisilimu kutokana sifa yake mbaya..mfano kipindi cha Mtume Muhammad (S.AW)..kuna watu walisimu wakiwa walifanyia unyama mauji makubwa waislam..mfano Omar bin khatab (R.A.)..qmbaye baadaye alikuja kuwa khalifa wa pili katika uislamu alikua katili kweli kweli kwa waislam ...jambo jema unaposilimu dhambi zako zote unasamehewa..kwa mfano Tank hapo atokee shekhe aseme haiwezekani awe muislam sababu ana Tattoo kwa kigezo kipi?..hakuna au Tyson sio muislam kwa vitendo vyake kwa kigezo kipi hata huyo shoga...mnachoshndwa kuelewa wagalatia sie waislam tunaamini siku ya mwsh Akhera..Allah ndo mwny kuhukumu..asa sahv waislam tuwe na taharuki na Tyson kwa kipi?...ukitaka waislam wawe na taharuki utoe matamko ya kiimani tofauti hapo hakuna ataye kaa kimya..tofauti na daily...mnaoteshwa kuongea na Yesu matamko ya kiimani hayaishi...Juzi tuu hapa Manabii kutoka Marekani wamesema wanaona status za Yesu...how come namna hii kutoa matamshi ya imani?..na hii ndo tofauti yenu na yetu.
Ulipoanza kuchanganya viingereza (kikristo) nikajua na wewe una American dream.
 
Hao wana hitirafiana sababu ya madhehebu, kila mmoja ikitaka dhehebu lake ndiyo liwe vocal over others
Hapo ndo wagalatia wanaposhndwa kutofautisha kiimani kiitikadi kisiasa ipo tofauti kubwa kati ya Iran na Saudi..kwnz muiran ni Muhindi sio mwarabu..Mfano juzi
Sheria za nchi wanapata wapi sheria za kuua mtu? Nchi zote za kiislam sheria ya mtu kubadili dini kutoka kwenye uislam adhabu yake ni death penalty
Hakuna nchi iliyozuiliwa kuweka sheria kifo kutegemea na madhumuni yake..hakuna nchi inayoingiliwa mfano China Fisadi hukumu yake kifo..ila Saudia hakuna nchi zingine ukikamatwa na madawa kifo..Tanzania wenyewe sheria ya kifo ipo ingawa haitekelezwi..hivo Saudia imewawekea wana nchi wake sheria kifo ukibadili dini...sasa tuje kwny misingi ya dini ya kiislam ndo inavyotaka ivoo?..lah hasha..utakua umeelewa kutofautisha imani ya dini na sheria za nchi
 
View attachment 2852055

Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

View attachment 2852053
Ina faida gani kwetu??
 
Kitu rahisi tuu unashndw kutofautisha imani na maisha ya mtu binafsi uislamu umekataza vyote lkn weeh unafanya..nani atakuhumu?..ni Allah mwnyw ndo mwny kuhukumu..ukitaka kuukera uislam weeh toa matamko tofauti na vilivyo andikwa..hapo hakuna muislam atakaye kaa kimyaa..yani mfano kama juzi walivyokuja manabii wenu marasta wamevaa vinjuga eti wanaona status za Yesu...Wallah waislam tusinge waacha....au wewe imani yako inaruhusu kamari mwenzetu?
Msingewaacha kwasababu waislamu mnapendaga kutumia nguvu bila akili. Bila aibu umedhihirisha hilo hapa
 
Hapo ndo wagalatia wanaposhndwa kutofautisha kiimani kiitikadi kisiasa ipo tofauti kubwa kati ya Iran na Saudi..kwnz muiran ni Muhindi sio mwarabu..Mfano juzi
Mnakua na uelewa finyu sana, wapi ambapo nimesema Iran ni Mwarabu? Anyway, nimekujibu kwa kuwa umeni quote, ila wewe nadhani ulikua unamlenga Mgalatia wako
 
Back
Top Bottom