Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Kwahiyo taratibu alizofundishwa Mike Tyson ndo kulima bangi??
MKuu katika uisilamu watu wamepewa jukumu la kufikisha mazuri na sio jukumu la kulazimisha watu kufanya yale mazuri.

SO huwenda aliambiwa jambo hilo kama halifai lakini kama aliamua kuendelea hauwezi kumlazimisha.

Jukumu la mja ni kufikisha ujumbe tu,hayo mambo mengine ni uamuzi wa mtu afuate ama aache.

lakini pia binafsi sijaona uharamu wa kulima bangi kwenye uisilamu kulima bangi kama mmea sijaona uharamu huo.

ñi kama ngano wanavyosema inatumika kutengeneza pombe je ndio iwe haramu kulima ngano ?

So ishu ya bangi mmea nadhani inabaki kuwa ya mamlaka ya nchi husika zaidi kama wanaruhusu ama laa.
 
MKuu katika uisilamu watu wamepewa jukumu la kufikisha mazuri na sio jukumu la kulazimisha watu kufanya yale mazuri.

SO huwenda aliambiwa jambo hilo kama halifai lakini kama aliamua kuendelea hauwezi kumlazimisha.

Jukumu la mja ni kufikisha ujumbe tu,hayo mambo mengine ni uamuzi wa mtu afuate ama aache.

lakini pia binafsi sijaona uharamu wa kulima bangi kwenye uisilamu kulima bangi kama mmea sijaona uharamu huo.

ñi kama ngano wanavyosema inatumika kutengeneza pombe je ndio iwe haramu kulima ngano ?

So ishu ya bangi mmea nadhani inabaki kuwa ya mamlaka ya nchi husika zaidi kama wanaruhusu ama laa.
Nimekuelewa mkuu. Thanks
 
Hao celebrities wa marekani sio wa kuwatilia maanani sana.

Wanafanya mambo mapya ili kumake headlines.

Mwingine unakuta anatangaza sijui gay , mara lesbian.

Ili mradi tu tuwasikie. Hawana lolote hao.

Unakuta kafanya almost kila kitu tayari anatafuta mengine.
 
Swali langu moja tu. Kwanini hampendagi kufuata mambo yenu? Kutwa kucha kuwazungumzia Christians? Mara utaskia Christmas ni harafu and all that. Si mjikite tu kwenye uislamu mnyamaze.

TUKISEMA WAISALMU MNAPENDA KUSHOBOKA UTABISHA?
Haya mabishano ya dini na kukosoa umezaliwa umeyakuta na utayaacha..cha msingi acha radical religion..iwe wewe mkristo au muislam...
 
Kujisomea sidhani kama ni kitu cha msingi.

Kwasababu hata wewe haujausoma ubudha ili uwe muislamu

Umekuwa muislamu kwasababu ya kurithishwa, haujawa muislamu kwa kufanya survey ya kusoma dini zote na kuona uislamu ndio dini ya kweli.

Mimi nataka kuukubali uislamu kwa kupewa uthibitisho wa uwepo wa Allah.

Unaweza kufanya hivyo?
Sifa zake na uwepo wake Allah ameshazitaja nyng kuthibitisha uwepo wake nitakutajia mbili tuu..Kasema umeumba mbingu na ardhi na vilivyomo vyote..yeye anachotaka ni kuabudiwa tuu. Kweli nimezaliwa kuwa muislam lkn ili uwe muislam lazima pia uisome dini yake..kama nilivyo kuelezea awali misingi ya imani ya kiislam ipo na haithiriki na mazingira kama alivyo tuthibishia bwana Mtume Muhammad (S.A.W)..dini zingine nimezisoma na kufuatilia imani nini hasa wanacho amini kwa mwenyezimungu..mfano Buddha wao wana mungu wao na kuabudu masanamu..vitu ambavyo alishakataza tokea enzi na Nabii Ibrahim baba wa imani yeye ndo alikua Nabii wa kwnz kuvunja masanamu
 
Sasa kama dini ni mfumo wa maisha kwanini watu wakifanya jambo upinge kwa kusema hilo jambo ni mtindo wa maisha na sio dini?
Sijaelewa jambo gani kwa mfano..sababu imani ya dini na hukmu zake hazibadiliki ktk uislam...sasa umeamua kuwa mlevi tuu ndo mtindo wako wa maisha..hapo dini itahusika je?...na imeshakukataza
 
Naona wana Slim mabondia tuu..wanajiandaa kwa Jihad...na kujilipua
 
Tuacheni utani. Tank pamoja na kukaririshwa hayo maneno, anavyoonekana na jinsi alivyovaa ni wazi kabisa haya ni maigizo.
Tank kwa ukwasi alionao ni mla bata sana. Hawezi kuacha bata batani eti aanze kwenda msikirini ×5 kwa siku.
Pili. Kwa nini hawa watu wanaoslim, wanaslim wakiwa mtaani na sio ndani ya msikiti?
Tyson alijiita Abdul Malik na Tank jina lake la kiislam ni nani?

Yote kwa yote mtaendelea kumwona Tank akiwa yule yule na ule umarekani wake wa kiblack america.
 
Tuacheni utani. Tank pamoja na kukaririshwa hayo maneno, anavyoonekana na jinsi alivyovaa ni wazi kabisa haya ni maigizo.
Tank kwa ukwasi alionao ni mla bata sana. Hawezi kuacha bata batani eti aanze kwenda msikirini ×5 kwa siku.
Pili. Kwa nini hawa watu wanaoslim, wanaslim wakiwa mtaani na sio ndani ya msikiti?
Tyson alijiita Abdul Malik na Tank jina lake la kiislam ni nani?

Yote kwa yote mtaendelea kumwona Tank akiwa yule yule na ule umarekani wake wa kiblack america.
Naona hujielewi hapo tatizo lipo wapi hata akila bata?..uislam ni dini sio mtu..uislam si dini ya matamko kila kukicha..uislam imani yake umeshakamilika..Tank akila bata au akitenda mema atalipwa mema na mabaya yake na..Allah...nikupe angalizo ukitaka kuukera Uislam uje tuu matamko ya ajabu ajabu sijui umeota au uliongea mungu hapo hakuna muislam atakaye kaa kimya...
 
Yote uliyoyafanya kabla ya Uislam yanasamehewa. Simpo.
Waislam wanatabia kama.za CDM,Ukiwa ccm ww ni haramu,ukija chadema wewe nzuri utaoshwa mpaka na maziwa na Bendera ya chama,ukirudi ccm ww Kharam.
 
Tuacheni utani. Tank pamoja na kukaririshwa hayo maneno, anavyoonekana na jinsi alivyovaa ni wazi kabisa haya ni maigizo.
Tank kwa ukwasi alionao ni mla bata sana. Hawezi kuacha bata batani eti aanze kwenda msikirini ×5 kwa siku.
Pili. Kwa nini hawa watu wanaoslim, wanaslim wakiwa mtaani na sio ndani ya msikiti?
Tyson alijiita Abdul Malik na Tank jina lake la kiislam ni nani?

Yote kwa yote mtaendelea kumwona Tank akiwa yule yule na ule umarekani wake wa kiblack america.
Abdul Wahid ndio jina lake rasmi.
 
Hakuijua kweli huyo sioni tofauti kwani ndio anazidi kupotea

Kweli pekee ni kuwa Kristo Yesu ndio mkombozi wa ulimwengu na ndio njia ya pekee ya uzima
 
Back
Top Bottom