Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
hahahahahahahah!😀Hahaha! Espeshiale zinapokuwa hazina breki ya mbele. Hehehehe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahah!😀Hahaha! Espeshiale zinapokuwa hazina breki ya mbele. Hehehehe!
Hahaha! Espeshiale zinapokuwa hazina breki ya mbele. Hehehehe!
hivi kaka ulifika salama!huwezi kunywa konyagi kama maji rafiki!ulinishangaza sana jana.daladala hazina watu we ukaingilia dirishani😀
umezoea mbagala
Hahahahaha umeahza uchokozi.
Wewe unakandamiza nini unaweza kupata Serengeti wewe?
Unaisimamishia dirishani kwa watu ...dalili za chabo hizi.
Hehehehe! Heri mimi sijasema! Afu inakwenda kumchukua mgonjwa! Heheheh! Mpwa bana!
Ila invisible tutampoteza mbona yeye haongei kbs yeye kunywa mapombae makali tu...hata kutabasamu ngumu ndio maana anabani watu huyu mtu.
yap yap!nilitamani sana kukuona!SPECIFICALLY WEWE!tell me,how do you look like?
na mie nilitamani sana kuwepo jana, mie c mrefu wala mfupi, sio mwembamba wala mnene, maji ya kunde....upo hapo? halafu wewe bana leo unanipa raha sana....
na mie nilitamani sana kuwepo jana, mie c mrefu wala mfupi, sio mwembamba wala mnene, maji ya kunde....upo hapo? halafu wewe bana leo unanipa raha sana....
that's my boy!point well taken and noted with many thanks! Hahahaha!
Point well taken and noted with many thanks! Hahahaha!
Ila invisible tutampoteza mbona yeye haongei kbs yeye kunywa mapombae makali tu...hata kutabasamu ngumu ndio maana anabani watu huyu mtu.