Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

hivi kaka ulifika salama!huwezi kunywa konyagi kama maji rafiki!ulinishangaza sana jana.daladala hazina watu we ukaingilia dirishani😀

umezoea mbagala

hahahhahahaaaa samahani nguli nimechekeshwa sikudhamiria kucheka lol

We G hufai!!
 
Ila invisible tutampoteza mbona yeye haongei kbs yeye kunywa mapombae makali tu...hata kutabasamu ngumu ndio maana anabani watu huyu mtu.
 
Ila invisible tutampoteza mbona yeye haongei kbs yeye kunywa mapombae makali tu...hata kutabasamu ngumu ndio maana anabani watu huyu mtu.

Ile promisi aliyotupa kuwa hatatubani sijui anaikumbuka? Ahadi za pombe si za kutilia maanani ujue.
 
yap yap!nilitamani sana kukuona!SPECIFICALLY WEWE!tell me,how do you look like?

na mie nilitamani sana kuwepo jana, mie c mrefu wala mfupi, sio mwembamba wala mnene, maji ya kunde....upo hapo? halafu wewe bana leo unanipa raha sana....
 
na mie nilitamani sana kuwepo jana, mie c mrefu wala mfupi, sio mwembamba wala mnene, maji ya kunde....upo hapo? halafu wewe bana leo unanipa raha sana....

you can say it again!
 
Nimechelewa na minutes zishasomwa.anywei mie zangu ni shukrani za dhati kwa ajili ya lile bonge la fanksheni kwanza kabisa kwa my dia mchumba Xpin- mwenyekiti wa kamati ya maandalizi,Nguli -MC wetu(mzee wa vyuma),Geoff-Mgeni rasmi, mamaa wa ukweli Carmel,YoYo-cool guy,Fidel80-mzee wa vinywaji,na bila kumsahau Masanilo aliyetutwangia saa zima all the way from Zenj.

It was so nice to see you all live kabisa bila chenga za keyboard,I love you all!
 
na mie nilitamani sana kuwepo jana, mie c mrefu wala mfupi, sio mwembamba wala mnene, maji ya kunde....upo hapo? halafu wewe bana leo unanipa raha sana....

Point well taken and noted with many thanks! Hahahaha!
 
Nahamu ya kumjua FARIDA kikao kijacho tunakuomba umwakilishe invisible yeye yuko serious mno.
 
ila nguli hizo konyagi mnazokunywa kavu rafiki unakoelekea siko!uwe unachanganya hata na bia basi!

unachoma mapafu mshikaji!
 
Ila invisible tutampoteza mbona yeye haongei kbs yeye kunywa mapombae makali tu...hata kutabasamu ngumu ndio maana anabani watu huyu mtu.

hahahahahah teteteteh you make my day jamani yaani umenivunja mbavu zangu teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom