Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Hahaha! Viwanda vya bia ni Full Umeme! Haviitegemei TANESCO. Labda viwanda vya banta!
naam!ila jana bwashee ulijipanga!isingekuwa jamaa kwenda kumbeba mgonjwa na 2k2k bila helmet tungeongeza raundi kazaa
 
Mimi nina wasiwasi Nyamayao anamaswaiba kama ya yule Mrs Mta...,hebu tuende taratibu jamani,tumshauri tu mwenzetu


jamani mie na kaizer, kaizer na mie, Nguli hataweza kuni handle kama nilivyozoeshwa na mr wangu...lol..
 
...ipo siku moja kwenye getitugedha utanitaka radhi laivu. sasa hivi nakuachia benefiti of dhe daut.

Mkuu SD nakutaka radhi kwa niaba ya GEOF ni utani tu mzee dont take it personal.

peace and love.
 
...ipo siku moja kwenye getitugedha utanitaka radhi laivu. sasa hivi nakuachia benefiti of dhe daut.
nitakuwa nimeshapiga zangu kadhaa!nitakutaka radhi tu bila aibu😀

unatumia bia gani mkuu?
 
nitakuwa nimeshapiga zangu kadhaa!nitakutaka radhi tu bila aibu😀

unatumia bia gani mkuu?
unauma na kupuliza siyo... hamna noma mkulu,
hata hivo Kili inafaa kwangu, ene taim - ool dhe taim!
 
Mkuu SD nakutaka radhi kwa niaba ya GEOF ni utani tu mzee dont take it personal.

peace and love.

Nguli, nashukuru kwa kunikaribisha kundini. mimi nasepa mazee, anadha taim! Peace.
 
Hii get tugedha ilifanyika bongo that means wengine tunaoishi mabli we are automatically disqualified eh????
 
Hii get tugedha ilifanyika bongo that means wengine tunaoishi mabli we are automatically disqualified eh????

Hehehehe Shishi hii tuliifanyia Dar lakini kwa mlio mbali vile vile mnaweza mka organise mambo yanakuwa bam bam kama sisi huku.
 
Noana mpwa Kaizer umesha tia timu kwa mbaaaaaaaaaaali nakuona hapo karibu sana na ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom