Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza kunisaidia mbinu kadhaa za kupata mihemko na kuporomosha matusi kama unavyofanyaga always? maana katika vitu nashindwa kabisaa ni kua na chuki, hasira, ghadhab na kuporomosha matusi, hua una kula nini kwanza gentleman?🤣Hata wachungaji madhabahuni wanakemea ma pepo kwa ukali.
Kuna kasumba ya kijinga sana kwa viongozi imeubuka na wewe imekuteka kaumba hiyo ya kijinga inaitwa KUKOSOA KISTAHARABU.
Nikawaida kuwasikiliza viongozi wakitamka kwamba wanataka wakoselewe kistaharabu, kitu ambacho hakiingii akilini.
Ukikosea hata kama kiongozi unatakiwa ukosolewe kiukali ikibidi hata kugombezwa.
Hata huku mitandaoni mkitoa mathreafs yenu ya uchawa mtakula matusu sana hususani kutoka kwangu.
Kama wewe mwanzisha hii thread unaandikaga maupumbavu sana lazima utukanwe manake inaonekana unatumika kijinga
Maana ya matusi ni nini ? Na mfano wa matusi ni yapi ?Mathalani, muungwana amewasilisha hoja au maoni yake jukwaani, labda ni ya kisiasa, kijamii au kiuchumi, kitaifa au kimataifa.
Anajitokeze muungwana mwingine ambae labda amechoka au amefikia ukomo wa mawazo mapya au fikra mbadala dhidi ya hoja ya msingi mezani anaibuka from no where, hajasoma wala kuelewa hoja yenyewe kiundani anaishia kuonyesha ghadhabu, mihemko, hasira na wakati mwingine anatukana na kuporomosha matusi bila sababu yoyote. Chimbuko la hali hii ni wapi hasa?
Sifahamu anakua ametumia kitu gani kabla, kinachowachochea na kuwahamasisha kuibuka na jazba zilizojaa dhihaka na maneno mbofu mbofu, tofauti kabisa na hoja iliyowasilishwa mezani, aise ni huruma sana. halafu wako uniform dah.
Utofauti wa mawazo, maoni au mitazamo miongoni mwa jamii ni jambo la kawaaida na ndio afya ya majadiliano na utangamano mwema na imara wa jamii nyingi.
Sijui huwa ni mzigo wa mateso mazito, yenye maumivu makali kiasi gani wanapitia, hususani wanasiasa walio ishiwa maono, mbinu, mipango, na mikakati yenye ushawishi wa kuvutia wananchi wengi zaidi upande wao katika jamii ya eneo fulani kwenye majukwaa ya kisiasa.
Dhana ya kujipa umuhimu usio stahili kwamba awazacho yeye ndio mwanzo na mwisho, hakistahili kupingwa au kua challenged, na ndio cha maana na sahihi zaidi kuliko mengine, na saa zingine, mpaka kufikia hatua ya kulazimisha kuhitimisha mjadala au hoja, kwa mihemko, ukali, hasira, ghadhabu, dhihaka na wakati mwingine kuporomosha matusi mazito mazito dhidi ya mwenye mawazo tofauti nae, kitu ambacho sio ungwana na sio msaada kwa yeyote, na wala haibadili chochote.
Na kwamba aliefikia hatua hiyo au anaepitia hali hiyo, ni dhahiri amefilisika kisiasa na ana jaribu kujitambulisha kwa kujifedhehesha mwenyewe, machoni pa wanao muona, wanaomskiza au kumsoma mitandaoni, kwa tabia yake hiyo hiyo kwamba hana tena wazo jipya au fikra mbadala dhidi ya hoja iliyoko mezani, kilichobaki ni kutukana tu.
Kukubaliana kutokubaliana ni dhana muhimu sana kujengeka akilini na mioyoni mwa vibrant and visionary politicians. inasaidia sana kukujengea ustaarabu, ustahimilivu na subra lakini pia hauwezi kupeteza lengo na uelekeo wa siasa zako kwenye medani ya kisiasa 🐒
Acha kutoa post za kichawa ndugu hutaona mtu anakutukana.unaweza kunisaidia mbinu kadhaa za kupata mihemko na kuporomosha matusi kama unavyofanyaga always? maana katika vitu nashindwa kabisaa ni kua na chuki, hasira, ghadhab na kuporomosha matusi, hua una kula nini kwanza gentleman?🤣
hata hivyo sina nongwa hata kidogo, kutukanwa au kuporomoshewa matusi hasa na mtu ambae amefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbdala dhidi ya hoja zangu, hua nafurahiia sana kwasabubu you always hit below weight and height 🤣
viongoz wakosolewe kwa nguvu zote kistaarabu 🐒
Mbwa na wezi wakubwa sana! Ni wa kunyongwa hadharai!Kwa mfano unasikia kijana mdogo aliyekabidhiwa jukumu la kukusanya kodi zetu kwa ajili ya maendeleo yetu, yeye kazilundika kwake(7b) na hakuna kitu anafanywa. Kwanini mtu asitukane hovyo?
si utiririke tu vizur taratibu gentleman 🤣Acha kutoa post za kichawa ndugu hutaona mtu anakutukana.
Kumbe inakuuma mpaka umeamua kutoa threads.
Ishu sio kutumia kitu gani sijui jamii ina matatizo kibao yapo wazi yanajulikana serikali inashindwa kuyatatua halafu wewe unaleta threads zako za kusifia kitu cha uongo unatagemea huyu mtu aanze kuargue na wewe nini zaidi ya kufahamu tu huyu anatumika.
Yaani unakaa chini unatunga li thread lako ka kijinga halafu unategemea nikae nianze kufikirisha ubongo wangu nikujibu kwa busara boko zako.
Nyie watu sijui mmelishwa sumu gani huko yuo have to understand the principle of an eye for an eye. Ukileta ujinga unajibiwa ujinga manake nyie tena unabidi mtukanwe kabisa kwani ujinga mnaoleta mnajua kabisa na mnadhamiria na pia mnalipwa hizo buku7 . Ndio maana mnalipwa so endelea tu kuvumila matusi si uneamua kutumika kipumbavu na mshahara wake ndio huo. Stupid asshole