Ghadhabu, mihemko, hasira na kuporomosha matusi bila sababu yoyote kwenye mijadala ya kisiasa chimbuko lake ni wapi?

Ghadhabu, mihemko, hasira na kuporomosha matusi bila sababu yoyote kwenye mijadala ya kisiasa chimbuko lake ni wapi?

Umeulizwa swali, kama mleta mada unatakiwa ujibu sio kujichekesha tu mkuu. Kuleta mada ni lazima uwe na ngozi ngumu, uwe na uwezo wa kujibu hoja za watu, sasa ukijichekesha ovyo wakato umeleta mada nzuri ya kujadiliwa hatukuelewi.

Umeulizwa, kijana ameona mmoja wa waliopewa dhamana amekutwa na 7B fedha za walipa kodi, baada ya hayo hakuna hatua zozote za kisheria anazochukuliwa, unataka huyo kijana afanye nini? Achekecheke kama wewe? Akae kimya? Apaze sauti kwa namna gani ili asikike?
ukipiga hoja yangu ya msingi chini ya weight and height, Lazima niangue kicheko aise siwezi acha,

mtu yuko trapped kwenye hoja na dhahiri kabisaa anaonyesha ni victim mahususi niache kucheka kweli ndrugo zango?🤣

sifahamu kiundani alichoeleza muungwana,
na kwa hovyo sikua na haki ya kusema chochote, ikabidi nishangae tu, hivi kulikoni haya yote?

hata hivyo mihemko itasaidia nini kusolve issue yoyote ile hata kama ni hilo, kwa taifa la kistaarabu kama Tanzania?
hata muhalifu ana haki zake pia au?

ndio maana naona,
tunarudi kule kule,
kwamba ni muhimu ukifikia ukomo wa mawazo mapya kwamba huna jipya tena, na huna tena fikra mbadala kwa hoja mezani, ni afadhali kupumzika kufanya mambo mengine au kutafuta ushauri 🐒

Mihemko, ghadhab na kuporomosha MATUSI na kutukana inasaidia nini sasa? 🐒

ni miongoni mwa umaskini mpya wa kitumwa sana huo 🐒
 
Pole ila nina ushauri kidogo,kama we ni mtu wa kujaa,achana na uchawa.Jifunze kwa ndumila kuwili yohana mbatizaji
mimi siwezi kua mtu wa kubabaika hasa linapokuja suala la kusema ukweli muungwana 🐒

nina majukumu mazito ya wanainchi jimboni pangu, nina majukumu binafsi muhimu sana ya kujiongezea kipato mathalani kufundisha huko mavyuoni kwenu, kuhubiri maeneo ya ibada, kulima mashamba na hivi sasa nipo shambani navuna, kazi ya mang'ombe ya nyama mnazokula huko mjini, kwa hayo machache na mengi,

ukiangalia vizuri mimi ni mtu naweza kubabaishwa, kuungana au kufananishwa na mwingine kweli?
surely 🤣

mihemko nitapata wapi sasa? kwamfano nimepata hasara kwenye ng'ombe, si kazi ya shamba au kufundisha inalipa tu na mambo yana nyooka au?🤣
 
Mathalani, muungwana amewasilisha hoja au maoni yake jukwaani, labda ni ya kisiasa, kijamii au kiuchumi, kitaifa au kimataifa.

Anajitokeze muungwana mwingine ambae labda amechoka au amefikia ukomo wa mawazo mapya au fikra mbadala dhidi ya hoja ya msingi mezani anaibuka from no where, hajasoma wala kuelewa hoja yenyewe kiundani anaishia kuonyesha ghadhabu, mihemko, hasira na wakati mwingine anatukana na kuporomosha matusi bila sababu yoyote. Chimbuko la hali hii ni wapi hasa?

Sifahamu anakua ametumia kitu gani kabla, kinachowachochea na kuwahamasisha kuibuka na jazba zilizojaa dhihaka na maneno mbofu mbofu, tofauti kabisa na hoja iliyowasilishwa mezani, aise ni huruma sana. halafu wako uniform dah.

Utofauti wa mawazo, maoni au mitazamo miongoni mwa jamii ni jambo la kawaaida na ndio afya ya majadiliano na utangamano mwema na imara wa jamii nyingi.

Sijui huwa ni mzigo wa mateso mazito, yenye maumivu makali kiasi gani wanapitia, hususani wanasiasa walio ishiwa maono, mbinu, mipango, na mikakati yenye ushawishi wa kuvutia wananchi wengi zaidi upande wao katika jamii ya eneo fulani kwenye majukwaa ya kisiasa.

Dhana ya kujipa umuhimu usio stahili kwamba awazacho yeye ndio mwanzo na mwisho, hakistahili kupingwa au kua challenged, na ndio cha maana na sahihi zaidi kuliko mengine, na saa zingine, mpaka kufikia hatua ya kulazimisha kuhitimisha mjadala au hoja, kwa mihemko, ukali, hasira, ghadhabu, dhihaka na wakati mwingine kuporomosha matusi mazito mazito dhidi ya mwenye mawazo tofauti nae, kitu ambacho sio ungwana na sio msaada kwa yeyote, na wala haibadili chochote.

Na kwamba aliefikia hatua hiyo au anaepitia hali hiyo, ni dhahiri amefilisika kisiasa na ana jaribu kujitambulisha kwa kujifedhehesha mwenyewe, machoni pa wanao muona, wanaomskiza au kumsoma mitandaoni, kwa tabia yake hiyo hiyo kwamba hana tena wazo jipya au fikra mbadala dhidi ya hoja iliyoko mezani, kilichobaki ni kutukana tu.

Kukubaliana kutokubaliana ni dhana muhimu sana kujengeka akilini na mioyoni mwa vibrant and visionary politicians. inasaidia sana kukujengea ustaarabu, ustahimilivu na subra lakini pia hauwezi kupeteza lengo na uelekeo wa siasa zako kwenye medani ya kisiasa 🐒
Kushindwa hoja!
 
Mathalani, muungwana amewasilisha hoja au maoni yake jukwaani, labda ni ya kisiasa, kijamii au kiuchumi, kitaifa au kimataifa.

Anajitokeze muungwana mwingine ambae labda amechoka au amefikia ukomo wa mawazo mapya au fikra mbadala dhidi ya hoja ya msingi mezani anaibuka from no where, hajasoma wala kuelewa hoja yenyewe kiundani anaishia kuonyesha ghadhabu, mihemko, hasira na wakati mwingine anatukana na kuporomosha matusi bila sababu yoyote. Chimbuko la hali hii ni wapi hasa?

Sifahamu anakua ametumia kitu gani kabla, kinachowachochea na kuwahamasisha kuibuka na jazba zilizojaa dhihaka na maneno mbofu mbofu, tofauti kabisa na hoja iliyowasilishwa mezani, aise ni huruma sana. halafu wako uniform dah.

Utofauti wa mawazo, maoni au mitazamo miongoni mwa jamii ni jambo la kawaaida na ndio afya ya majadiliano na utangamano mwema na imara wa jamii nyingi.

Sijui huwa ni mzigo wa mateso mazito, yenye maumivu makali kiasi gani wanapitia, hususani wanasiasa walio ishiwa maono, mbinu, mipango, na mikakati yenye ushawishi wa kuvutia wananchi wengi zaidi upande wao katika jamii ya eneo fulani kwenye majukwaa ya kisiasa.

Dhana ya kujipa umuhimu usio stahili kwamba awazacho yeye ndio mwanzo na mwisho, hakistahili kupingwa au kua challenged, na ndio cha maana na sahihi zaidi kuliko mengine, na saa zingine, mpaka kufikia hatua ya kulazimisha kuhitimisha mjadala au hoja, kwa mihemko, ukali, hasira, ghadhabu, dhihaka na wakati mwingine kuporomosha matusi mazito mazito dhidi ya mwenye mawazo tofauti nae, kitu ambacho sio ungwana na sio msaada kwa yeyote, na wala haibadili chochote.

Na kwamba aliefikia hatua hiyo au anaepitia hali hiyo, ni dhahiri amefilisika kisiasa na ana jaribu kujitambulisha kwa kujifedhehesha mwenyewe, machoni pa wanao muona, wanaomskiza au kumsoma mitandaoni, kwa tabia yake hiyo hiyo kwamba hana tena wazo jipya au fikra mbadala dhidi ya hoja iliyoko mezani, kilichobaki ni kutukana tu.

Kukubaliana kutokubaliana ni dhana muhimu sana kujengeka akilini na mioyoni mwa vibrant and visionary politicians. inasaidia sana kukujengea ustaarabu, ustahimilivu na subra lakini pia hauwezi kupeteza lengo na uelekeo wa siasa zako kwenye medani ya kisiasa 🐒
Umefikia kutafuta utetezi wa hoja zako,hoja zenu🫠
 
Wenye akili ndogo ndiyo hua huporomosha matusi bila sababu...


Cc: Mahondaw
inatakiwa wawe wastahimilivu na wenye subra,

lakini pia wafanye mazoea ya mara kwa mara ya kujizuia kuwaza kwa hisia kali, na kuamua kwa mihemko,

ambapo madhara yake ni pamoja na kujivunjia heshima mwenyewe, kutokuaminika tena na kupuuzwa na jamii 🐒
 
inatakiwa wawe wastahimilivu na wenye subra,

lakini pia wafanye mazoea ya mara kwa mara ya kujizuia kuwaza kwa hisia kali, na kuamua kwa mihemko,

ambapo madhara yake ni pamoja na kujivunjia heshima mwenyewe, kutokuaminika tena na kupuuzwa na jamii 🐒
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: Mahondaw
 
Umefikia kutafuta utetezi wa hoja zako,hoja zenu🫠
ukinifuatilia pole pole vizuri, ukiweka hisia na mihemko kando,
utachota maarifa, uelewa na ufahamu wa kutosha sana bure kabisaa kuhusu masula mbali mbali muhimu kwa ustawi wa maisha ya kawaida tu ya mwanadamu....

na itakusaidia sana kwakweli 🐒
 
ukinifuatilia pole pole vizuri, ukiweka hisia na mihemko kando,
utachota maarifa, uelewa na ufahamu wa kutosha sana bure kabisaa kuhusu masula mbali mbali muhimu kwa ustawi wa maisha ya kawaida tu ya mwanadamu....

na itakusaidia sana kwakweli 🐒
Kwa hoja zako hasa za utetezi dhidi ya wala kwa urefu wa kamba na chawa hata sihitaji😂
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: Mahondaw
ndio maana saa zingine humu kuna watu wanafananishwa na nyumbu 🤣

kwamba ana miguvu mno,
lakini maamuzi yake ya mihemko na ghadhab zake humfanya kukamatwa kirahisi sana na wanyama wakali na saa zingine anakamatwa na kuliwa hata na mbweha tu 🤣

na wakati mwingine anaona kabisaa mwenzeke kanaswa kwenye tope anakufa, nae anajitupia humo humo kwenye tope 🤣
 
Kwa hoja zako hasa za utetezi dhidi ya wala kwa urefu wa kamba na chawa hata sihitaji😂
mimi si sehemu na wala si shabiki sana wa mijadala ya nyumbu au chawa,

labda nijifunze kiundani then nije na c theory kuona hizo dhana zina siri gani ndani yake,

na kwamba hizo dhana zinaweza kua ndio chimbuko la mihemko, ghadhab, hasira, matusi na kutukana bila sababu yoyote?🐒
 
Watu wana uchungu, huzuni na hasira za maisha magumu wanayoyapitia mitaani, maisha yaliyosababishwa na viongozi uchwara. Mfumuko wa bei, tozo zisizo na vichwa wala miguu, miondombinu dhaifu, kutokuwepo kwa ajira sio upungufu tena. Alafu hapohapo utakuta viongozi husika hata habari hawana wala kuonesha kujali au at least kuongelea hali halisi ya maisha ya Mtanzania wa kawaida.

Utakuta wanaongelea maswala ya kipuuzi na kutoa matamko ya ajabuajabu. Mara asilimia ya vyoo imepanda. Au utasikia mchezaji fulani kapewa million 20 kisa tu katupia mpira kwenye neti ya kamba au timu fulani imehaidiwa million 50 kwa kila goli. Alafu utakuta msomi mwenye degree yupo nyumbani mwaka wa 7 hana ajira. Lakini yule mkimbiaji uwanjani kapewa 20 million na kiongozi mkubwa wa nchi kwa kodi za wananchi. Msomi anajiuliza kwa lipi? Anakosa majibu, kilichobaki ni mvua ya matusi.

Mimi nina hasira na hili liserikali sababu mpaka leo hawajaruhusu PayPal itumike Tanzania. Vijana tunashindwa kutumia fursa za kimataifa ipasavyo. Kama nyie mtakula vya nchi, sawa. Basi tuachieni na sisi tutafute vya nje. But no, tunafungiwa humu ndani. Goddamnit!!!


Watu wanatukana watu wenye hoja za kipuuzi sababu hazileti maana, faida wala mabadiliko yoyote at the end. They don't care anymore. So be it. Fuk everybody.
una hoja za maana na muhimu sana na ndani yake inabidi nicheke tu 🤣

sasa ndugu graduate,
alternative strategies ya kujikwamua au kubadilisha masula muhimu uliyoyaibua kwenye hoja yako ni mihemko, ghadhab, hasira, matusi na kutukana kweli?🐒

why don't you organized yourselves hata kama mkiwa watu 20 kwa kuanzia,

then you come up with detailed and comprehensive youths demands and present it to every publics, spiritual, NGOs, national and international institutions with specific time frame that, they gvt should be fullfil them immediately, otherwise other mass youth actions will be taken upon any delay? Kistaarabu kabisaa lakini 🐒
 
una hoja za maana na muhimu sana na ndani yake inabidi nicheke tu 🤣

sasa ndugu graduate,
alternative strategies ya kujikwamua au kubadilisha masula muhimu uliyoyaibua kwenye hoja yako ni mihemko, ghadhab, hasira, matusi na kutukana kweli?🐒

why don't you organized yourselves hata kama mkiwa watu 20 kwa kuanzia,

then you come up with detailed and comprehensive youths demands and present it to every publics, spiritual, NGOs, national and international institutions with specific time frame that, they gvt should be fullfil them immediately, otherwise other mass youth actions will be taken upon any delay? Kistaarabu kabisaa lakini 🐒
You are among those always say why don't you employ your self.At the same time you are saying leave me alone,if not us 🤔
 
mimi siwezi kua mtu wa kubabaika hasa linapokuja suala la kusema ukweli muungwana [emoji205]

nina majukumu mazito ya wanainchi jimboni pangu, nina majukumu binafsi muhimu sana ya kujiongezea kipato mathalani kufundisha huko mavyuoni kwenu, kuhubiri maeneo ya ibada, kulima mashamba na hivi sasa nipo shambani navuna, kazi ya mang'ombe ya nyama mnazokula huko mjini, kwa hayo machache na mengi,

ukiangalia vizuri mimi ni mtu naweza kubabaishwa, kuungana au kufananishwa na mwingine kweli?
surely [emoji1787]

mihemko nitapata wapi sasa? kwamfano nimepata hasara kwenye ng'ombe, si kazi ya shamba au kufundisha inalipa tu na mambo yana nyooka au?[emoji1787]
We endelea na uchawa ila jitahidi kuwa mvumilivu
 
We endelea na uchawa ila jitahidi kuwa mvumilivu
nadhani kukubali ukweli wa mambo bila mihemko wala matusi ni jambo muhimu zaidi,

na inapaswa kua ndani ya mwili na roho ya kila moja wetu..

hiki ni kitu cha maana zaidi :pulpTRAVOLTA:
 
You are among those always say why don't you employ your self.At the same time you are saying leave me alone,if not us 🤔
if you are perceiving me and others like that, it is up to you....

but i have done my job in trying to build up your confidence in confronting your social, political and economic challenges and demands:pulpTRAVOLTA:
 
badhani kukubali ukweli wa mambo bila mihemko wala matusi ni jambo muhimu zaidi kua ndani ya mwili na roho ya kila moja wetu, hiki ni kitu cha maana zaidi :pulpTRAVOLTA:
Uchague mwenyewe kuwa chawa alafu wakikupiga spana unapanic,ndo maisha uliyoyachagua kubaliana na hali na sio kuanzisha nyuzi ambazo zinaonesha kabisa we ni chawa asiye mvumilivu.
 
Uchague mwenyewe kuwa chawa alafu wakikupiga spana unapanic,ndo maisha uliyoyachagua kubaliana na hali na sio kuanzisha nyuzi ambazo zinaonesha kabisa we ni chawa asiye mvumilivu.
spana au mihemko, kutukana na kuporomosha matusi? :pedroP:
 
if are perceiving me and others like that, it is up to you....

but i have done my job in trying to build up your confidence in confronting your social, political and economic challenges and demands:pulpTRAVOLTA:
It's up to me and dotted animal say as well🤣
 
Back
Top Bottom