Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Unataka Tanzania iwe "narco state" unajua madhara yake lakini? Mexico wanachinjana kama wanyama, kule Colombia miaka ya 80s na 90s walichinjana sana kwa sababu za hayo madude.
"Economic mismanagement" ni tatizo kubwa sana kwa nchi maskini. Kwa kuwa maamuzi mengi ya kiuchumi hufanywa na wanasiasa uchwara ambao hawana maono sahihi wala dira makini katika masuala ya "macro & micro economics".Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Africa.
Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi.
Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement.
Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.
kilimo cha biashara under government control to boost state economy.
Tukisema hapa tunaishia kuitwa Sukuma Gang au washamba.Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Africa.
Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi.
Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement.
Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.
Loan for special reason!, and target na sio kipuuzi puuzi tu.Tukisema hapa tunaishia kuitwa Sukuma Gang au washamba.
Watu wanasifia mikopo as if kukopa ni ushujaa na uzalendo uliotukuka.
Time Will Tell....
Ukiangalia trend ya deni kuongezeka na percent ya bajeti inayotumika kipa deni , ni suala la muda tu kabla hatujafika kwenye default au kutumia mapato karibu yote kulipia mishahara na .madeni tu. Hakuna fungamano la uongezekaji wa tija kutokana na mikopo inayokopwa hivyo uwezekano wa uwezo wa kiuchumi kuongezeka kutokana na mikopo hiyo( isipokuwa kwenye SGR na bwawa la umeme kana tunakopa ndani maana .abenki ya nje yalikataa) haupo.Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Africa.
Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi.
Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement.
Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.
Tusikope kwa ajili ya elimu,afya,Barbara,reli..tukope kwa ajili ya nini..yaani project gani!?Nguvu kubwa izidishwe kwenye miradi mikubwa ,yenywe ndo itakuwa na impact kubwa sana huku mbeleni .Sio kukopa sana kwa vitu vya huduma tu kama sasa.
Endelea kukalili hivyo hivyoSource ya taarifa yako ni ipi? Tuwekee link
Hizo GDP zao walizipata kwa madeni ya kibiashara kama alivyokuwa anataka kufanya Mwendazake..Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Africa.
Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi.
Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement.
Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.
Angalia kwenye ripoti za BoT, ni bidhaa gani zinatuletea fedha za kigeni kwa wingi na zipi zinachukua fedha za kigeni wingi.Tusikope kwa
Tusikope kwa ajili ya elimu,afya,Barbara,reli..tukope kwa ajili ya nini..yaani project gani!?
Unajua lile genge linampotosha sana Rais Samia. Maana wanamuwekea mitego kibao ili aonekane kashindwa kumanage uchumi.Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Africa.
Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi.
Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement.
Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.