Ghana wamefikia default; IMF wamesema watawadhamini. Je, tupo salama kiuchumi huko tuendako?

Ghana wamefikia default; IMF wamesema watawadhamini. Je, tupo salama kiuchumi huko tuendako?

Attachments

  • Screenshot_20220726-201112.png
    Screenshot_20220726-201112.png
    126.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220726-232227.png
    Screenshot_20220726-232227.png
    149.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220726-230353.png
    Screenshot_20220726-230353.png
    179.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220726-181412.png
    Screenshot_20220726-181412.png
    90.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220726-181340.png
    Screenshot_20220726-181340.png
    106.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220726-154127.png
    Screenshot_20220726-154127.png
    109.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220716-185244.png
    Screenshot_20220716-185244.png
    147.5 KB · Views: 2
Kukop Harusi, kulipa matanga: Kosa ni pale nchi inakop[a pesa ambazo hazizalishi, etu unmtu anakopa pesa za kujengea vtyoo, au hela za kulipia viongozi poshoa za mikutano na safari.

After Lanka, Pak on verge of loan default

New Delhi, July 9


After Sri Lanka and Zambia defaulted on their sovereign reserves and are also left with no forex reserves, Pakistan could be among the next lot of countries to face a difficult time, according to international rating agencies.

Turkey, Egypt, Tunisia, Ethiopia, Pakistan, Ghana and El Salvador are in immediate danger of being unable to repay debts, according to Bloomberg, which expects a cascade of defaults among emerging markets due to rising energy and food prices and global interest rates.

On the other hand, Fitch Ratings has identified 17 countries, which could be on the verge of default. Russia has been included in the list because despite having the money, it has been unable to pay its foreign creditors due to sanctions. — TNS

Others on list

Lebanon, Tunisia, Ghana, Ethiopia, Ukraine, Tajikistan, El Salvador, Suriname, Ecuador, Belize, Argentina, Russia, Belarus and Venezuela

Tunisia na Venezuela wana mafuta lakini yanatumika vibaya
Umeona Tanzania imetajwa popote?

Ndio maana narudia tena kusisitiza kwamba Magufuli kufa ameisaidia Sana Nchi maana kwa mda aliokaa madarakani amekopa Sana mikopo mikubwa ya kibiashara kwa pupa lengo ni kujenga mamiradi yasiyo na faida bali sifa za kijinga Kwa gharama ya Nchi..

Hiyo Ghana and the likes wamefika huko kwa sababu ya kukurupukia mamiradi makubwa wakati wao ni makini..

Ghana sio Nchi ya kuwa na Interchange kama hii hapa 👇
 

Attachments

  • VID-20220727-WA0000.mp4
    6.5 MB
Hao ni ma taahira wenye chuki binafsi na SSH usiumize kichwa
Unakuwaje na chuki binafsi na Rais wa nchi? Acha kuchangia kwa hisia.
Watu kama ninyi mkimzunguka kiongozi mnaishia kuitumbukiza nchi shimoni. Mnaishia kuwa chawa na kumpotosha kiongozi.
 
Miradi mikubwa ndiyo itafilisi nchi muda si mrefu
Miradi mikubwa itakayo facilitate sekta ya uzalishaji Haina shida. Mleta mada anashauri tukikopa basi tuimarishe miundombinu ya umwagiliaji, umeme uwashwe Kwenye migodi ya wachimbaji wadogo, Ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza tija, sekta ya usafirishaji kama reli na barabara za vijijini zipewe kipaumbele then kama nchi tutaweza Kuzalisha na ku export zaidi na hatimaye kupata fedha za kigeni nyingi Kwa ajili ya kulipa madeni.

Mimi sio mjuaji wa maswala ya kiuchumi lkn IMF wamekadiria kiwango Cha recession Kwa 8.5,% ktk nchi za ulaya na ukuaji wa uchumi projection yake ni 3.2%. manake Inflation inakwenda kupanda zaidi ya hapa.

Tumshukuru sana marehemu JPM Kwa kutuvusha salama kipindi Cha COVID bila lockdown. Kinachotakiwa ni kuchapa kazi Kwa Kuzalisha zaidi Ili tutumie masoko ya bidhaa zetu hasa za chakula ktk nchi zinazotuzunguka
 
Miradi mikubwa itakayo facilitate sekta ya uzalishaji Haina shida. Mleta mada anashauri tukikopa basi tuimarishe miundombinu ya umwagiliaji, umeme uwashwe Kwenye migodi ya wachimbaji wadogo, Ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza tija, sekta ya usafirishaji kama reli na barabara za vijijini zipewe kipaumbele then kama nchi tutaweza Kuzalisha na ku export zaidi na hatimaye kupata fedha za kigeni nyingi Kwa ajili ya kulipa madeni.

Mimi sio mjuaji wa maswala ya kiuchumi lkn IMF wamekadiria kiwango Cha recession Kwa 8.5,% ktk nchi za ulaya na ukuaji wa uchumi projection yake ni 3.2%. manake Inflation inakwenda kupanda zaidi ya hapa.

Tumshukuru sana marehemu JPM Kwa kutuvusha salama kipindi Cha COVID bila lockdown. Kinachotakiwa ni kuchapa kazi Kwa Kuzalisha zaidi Ili tutumie masoko ya bidhaa zetu hasa za chakula ktk nchi zinazotuzunguka
Alituvusha salama watu hawakufa?
 
Miradi mikubwa itakayo facilitate sekta ya uzalishaji Haina shida. Mleta mada anashauri tukikopa basi tuimarishe miundombinu ya umwagiliaji, umeme uwashwe Kwenye migodi ya wachimbaji wadogo, Ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza tija, sekta ya usafirishaji kama reli na barabara za vijijini zipewe kipaumbele then kama nchi tutaweza Kuzalisha na ku export zaidi na hatimaye kupata fedha za kigeni nyingi Kwa ajili ya kulipa madeni.

Mimi sio mjuaji wa maswala ya kiuchumi lkn IMF wamekadiria kiwango Cha recession Kwa 8.5,% ktk nchi za ulaya na ukuaji wa uchumi projection yake ni 3.2%. manake Inflation inakwenda kupanda zaidi ya hapa.

Tumshukuru sana marehemu JPM Kwa kutuvusha salama kipindi Cha COVID bila lockdown. Kinachotakiwa ni kuchapa kazi Kwa Kuzalisha zaidi Ili tutumie masoko ya bidhaa zetu hasa za chakula ktk nchi zinazotuzunguka

Uchumi wetu hauwezi kuzalisha bidhaa za kutosha kulipa hayo madeni. Tuna uchumi mdogo na hata ukikua kwa asilimia 20% hautoshi. Wenzetu waliboresha miundo mbinu baada ya kuboresha uchumi, sisi tunataka kuboresha miundo mbinu halafu tuboreshe uchumi.
 
Habari za jioni wakuu.

Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Afrika. Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.

Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement. Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.

Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.

Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.

Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?

Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.


Habari za jioni wakuu.

Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Afrika. Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.

Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement. Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.

Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.

Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.

Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?

Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.


Shida kubwa ipo kwenye katiba.... Tunahitaji rasimu ya warioba ifanyiwe mchakati na si kubadilishwa .

tukisema katiba mpya naskitika kusema wapumbavu wanasema ni ya chadema.

faida ya katiba mpya ni kuondoa unafki...yaan unafki wa kusifia ujingi ili upate teuzi ama upendeleo kwa mamlaka...

sasa hata wenye akili inabidi wawe wapumbavu kwasababu ya usalama na ubinafsi wao
 
Angalia kwenye ripoti za BoT, ni bidhaa gani zinatuletea fedha za kigeni kwa wingi na zipi zinachukua fedha za kigeni wingi.
So unataka tukope tuwekeze kwenye uzalishaji wa hizo bidhaa!?..zinatengenezwa bila elimu..yaani kwa mazingaombwe!?..tukishatengeneza tutzisambazaje!?
 
Uchumi wetu hauwezi kuzalisha bidhaa za kutosha kulipa hayo madeni. Tuna uchumi mdogo na hata ukikua kwa asilimia 20% hautoshi. Wenzetu waliboresha miundo mbinu baada ya kuboresha uchumi, sisi tunataka kuboresha miundo mbinu halafu tuboreshe uchumi.
Utaboreshaje uchumi bila kuuboresha miundo mbinu!?..yaani ujenge viwanda Kisha ndo ujenge miundo mbinu ya umeme,barabara,huduma za fedha!?..au unamaanisha nini!?..miundo mbinu ni Kama mishipa ya damu mwilini,ni kitu Cha kwanza,bila hivyo mazao yataozea shamba
 
Utaboreshaje uchumi bila kuuboresha miundo mbinu!?..yaani ujenge viwanda Kisha ndo ujenge miundo mbinu ya umeme,barabara,huduma za fedha!?..au unamaanisha nini!?..miundo mbinu ni Kama mishipa ya damu mwilini,ni kitu Cha kwanza,bila hivyo mazao yataozea shamba

Tayari tuna umeme na barabara zaidi na walizokuwa nazo Wazungu walivyofanya mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) karne ya 18. Miundo mbinu ya Bangalore India ilijengwa kabla au baada ya wawekezaji kufika? Airport walijenga lini? Treni walijenga lini? Vyote vilikuja baada ya wawekezaji kuja.
 
Nguvu kubwa izidishwe kwenye miradi mikubwa ,yenywe ndo itakuwa na impact kubwa sana huku mbeleni .Sio kukopa sana kwa vitu vya huduma tu kama sasa.
Sasa jombi kama Taifa lako limefikia kukopo kwa kisingizio cha vita ya Ukraine na Russia si kuna siku watakopa kwasababu ya nguvu za kiume!
 
Tukitegemea sana sera za kupewa na WB na IMF tusitegemee chochote. Wale hutupa sera za kijasusi kuhakikisha tunakuwa katika mzunguko wa umaskini na utegemezi. Na ukishafikia default kurudi katika utulivu ni ngumu sana. Mfano mzuri ni Argentina.
 
Ninachokiona miaka michache sana ijayo nchi nyingi za dunia ya tatu zitaparaganyika kiuchumi Kama Sri Lanka, nawaza ni hatua gani mtu binafsi anaweza kuilinda familia yake nchi ikiingia kwenye hali hio?
 
He
Tayari tuna umeme na barabara zaidi na walizokuwa nazo Wazungu walivyofanya mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) karne ya 18. Miundo mbinu ya Bangalore India ilijengwa kabla au baada ya wawekezaji kufika? Airport walijenga lini? Treni walijenga lini? Vyote vilikuja baada ya wawekezaji kuja.
Hebu jisikilize Kisha unijibu tena
 
Back
Top Bottom