The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Pale Rais Samia anapofunika legacy lazima vilio vitokee πTuna Kiongozi kilaza na wa hovyo KUWAHI kutokea
Umeona Tanzania imetajwa popote?Kukop Harusi, kulipa matanga: Kosa ni pale nchi inakop[a pesa ambazo hazizalishi, etu unmtu anakopa pesa za kujengea vtyoo, au hela za kulipia viongozi poshoa za mikutano na safari.
After Lanka, Pak on verge of loan default
New Delhi, July 9
After Sri Lanka and Zambia defaulted on their sovereign reserves and are also left with no forex reserves, Pakistan could be among the next lot of countries to face a difficult time, according to international rating agencies.
Turkey, Egypt, Tunisia, Ethiopia, Pakistan, Ghana and El Salvador are in immediate danger of being unable to repay debts, according to Bloomberg, which expects a cascade of defaults among emerging markets due to rising energy and food prices and global interest rates.
On the other hand, Fitch Ratings has identified 17 countries, which could be on the verge of default. Russia has been included in the list because despite having the money, it has been unable to pay its foreign creditors due to sanctions. β TNS
Others on list
Lebanon, Tunisia, Ghana, Ethiopia, Ukraine, Tajikistan, El Salvador, Suriname, Ecuador, Belize, Argentina, Russia, Belarus and Venezuela
Tunisia na Venezuela wana mafuta lakini yanatumika vibaya
Unakuwaje na chuki binafsi na Rais wa nchi? Acha kuchangia kwa hisia.Hao ni ma taahira wenye chuki binafsi na SSH usiumize kichwa
We ndo kichwa boga. Tembelea huku vingunguti uuone mradi wa kuchinja uniambie nini tatizo.kambare mnufaika wa mfumoWewe kwa nini hujalima na kusafirisha nyama nje?
Una akili za kuku,soma.hapa π
Miradi mikubwa itakayo facilitate sekta ya uzalishaji Haina shida. Mleta mada anashauri tukikopa basi tuimarishe miundombinu ya umwagiliaji, umeme uwashwe Kwenye migodi ya wachimbaji wadogo, Ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza tija, sekta ya usafirishaji kama reli na barabara za vijijini zipewe kipaumbele then kama nchi tutaweza Kuzalisha na ku export zaidi na hatimaye kupata fedha za kigeni nyingi Kwa ajili ya kulipa madeni.Miradi mikubwa ndiyo itafilisi nchi muda si mrefu
Sasa kama kuna mradi wa kuchinja shida Iko wapi?We ndo kichwa boga. Tembelea huku vingunguti uuone mradi wa kuchinja uniambie nini tatizo.kambare mnufaika wa mfumo
Alituvusha salama watu hawakufa?Miradi mikubwa itakayo facilitate sekta ya uzalishaji Haina shida. Mleta mada anashauri tukikopa basi tuimarishe miundombinu ya umwagiliaji, umeme uwashwe Kwenye migodi ya wachimbaji wadogo, Ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza tija, sekta ya usafirishaji kama reli na barabara za vijijini zipewe kipaumbele then kama nchi tutaweza Kuzalisha na ku export zaidi na hatimaye kupata fedha za kigeni nyingi Kwa ajili ya kulipa madeni.
Mimi sio mjuaji wa maswala ya kiuchumi lkn IMF wamekadiria kiwango Cha recession Kwa 8.5,% ktk nchi za ulaya na ukuaji wa uchumi projection yake ni 3.2%. manake Inflation inakwenda kupanda zaidi ya hapa.
Tumshukuru sana marehemu JPM Kwa kutuvusha salama kipindi Cha COVID bila lockdown. Kinachotakiwa ni kuchapa kazi Kwa Kuzalisha zaidi Ili tutumie masoko ya bidhaa zetu hasa za chakula ktk nchi zinazotuzunguka
Miradi mikubwa itakayo facilitate sekta ya uzalishaji Haina shida. Mleta mada anashauri tukikopa basi tuimarishe miundombinu ya umwagiliaji, umeme uwashwe Kwenye migodi ya wachimbaji wadogo, Ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza tija, sekta ya usafirishaji kama reli na barabara za vijijini zipewe kipaumbele then kama nchi tutaweza Kuzalisha na ku export zaidi na hatimaye kupata fedha za kigeni nyingi Kwa ajili ya kulipa madeni.
Mimi sio mjuaji wa maswala ya kiuchumi lkn IMF wamekadiria kiwango Cha recession Kwa 8.5,% ktk nchi za ulaya na ukuaji wa uchumi projection yake ni 3.2%. manake Inflation inakwenda kupanda zaidi ya hapa.
Tumshukuru sana marehemu JPM Kwa kutuvusha salama kipindi Cha COVID bila lockdown. Kinachotakiwa ni kuchapa kazi Kwa Kuzalisha zaidi Ili tutumie masoko ya bidhaa zetu hasa za chakula ktk nchi zinazotuzunguka
Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Afrika. Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement. Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.
Shida kubwa ipo kwenye katiba.... Tunahitaji rasimu ya warioba ifanyiwe mchakati na si kubadilishwa .Habari za jioni wakuu.
Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Afrika. Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika fedha za kigeni.
Chanzo cha mgogoro wanavyosema wao ni kuja kwa Covid-19, rushwa na economic mismangement. Wakati wa Corona 2020, Rais wao alisema tutajua namna ya kurudisha uchumi back to life lakini hatujui namna ya kurudisha maisha ya kibinadamu, akapiga "lock down". Ni kauli nzuri kibinadamu lakini ni kauli mbaya kiuchumi.
Uchumi haudanganyi. Muda umefika, serikali ya Ghana haijui ifanye nini. Taarifa zilizopo ni kwamba IMF wamejitolea kubail out(kuwadhamini katika mikopo yao). Yaani mkopo juu ya mkopo.
Sisi Tanzania tuliweza kuvuka salama wakati wa "lockdown" duniani kwa ukakamavu na ushujaa wa serikali iliyokuwa madarakani.
Baada ya kuvuka serikali ikabadilika. Serikali iliyoingia ikaanza kwa kasi kukopa mikopo isiyokwenda kwenye miradi ya uzalishaji. Mikopo kwa ajili ya utoaji wa huduma za jamii.
Tunahitaji huduma za jamii lakini huo ni mtego. Kama raia mwema, najiuliza maswali yafuatayo;
1. Tutapata wapi dola za kulipa madeni itokanayo na mikopo hiyo?
2. Je, tutaendelea kukopa ili kupata dola za kulipia madeni hayo?
3. Tuna mkakati gani wa kupata dola zaidi huko tuendako?
4. Je, tuna bidhaa za kuuza nje kwa kiwango cha kupata dola za kulipa madeni?
5. Kwanini serikali haiweki tena nguvu katika miradi ya import substitution?
6. Tutaepukaje matumizi makubwa ya dola katika importation ya bidhaa bila kusisitiza manufacturing ndani ya nchi? Slogan ya nchi ya viwanda imepotelea wapi?
7. Je, tupo salama huko tuendako au na sisi tutafikia default?
8. Nani anawajibika kuitahadharisha serikali katika kasi yake ya kukopa?
9. Je, export zetu zinaongezeka mwaka hadi mwaka ili tuweze kulipa madeni bila kudefault katika siku zijazo?
Tujifunze kwa wenzetu Sri Lanka na Ghana ambao wamefikia default. Hata Pakistan wanaelekea huko.
Nchi zote hizo yaani Sri Lanka, Ghana na Pakistan zina chumi kubwa yaani GDP kuliko Tanzania na zimefikia hapo kwa sababu ya economic mismanagement, rushwa na ufisadi na kuiga iga hasa katika swala la UVIKO-19.
So unataka tukope tuwekeze kwenye uzalishaji wa hizo bidhaa!?..zinatengenezwa bila elimu..yaani kwa mazingaombwe!?..tukishatengeneza tutzisambazaje!?Angalia kwenye ripoti za BoT, ni bidhaa gani zinatuletea fedha za kigeni kwa wingi na zipi zinachukua fedha za kigeni wingi.
Utaboreshaje uchumi bila kuuboresha miundo mbinu!?..yaani ujenge viwanda Kisha ndo ujenge miundo mbinu ya umeme,barabara,huduma za fedha!?..au unamaanisha nini!?..miundo mbinu ni Kama mishipa ya damu mwilini,ni kitu Cha kwanza,bila hivyo mazao yataozea shambaUchumi wetu hauwezi kuzalisha bidhaa za kutosha kulipa hayo madeni. Tuna uchumi mdogo na hata ukikua kwa asilimia 20% hautoshi. Wenzetu waliboresha miundo mbinu baada ya kuboresha uchumi, sisi tunataka kuboresha miundo mbinu halafu tuboreshe uchumi.
Utaboreshaje uchumi bila kuuboresha miundo mbinu!?..yaani ujenge viwanda Kisha ndo ujenge miundo mbinu ya umeme,barabara,huduma za fedha!?..au unamaanisha nini!?..miundo mbinu ni Kama mishipa ya damu mwilini,ni kitu Cha kwanza,bila hivyo mazao yataozea shamba
Sasa jombi kama Taifa lako limefikia kukopo kwa kisingizio cha vita ya Ukraine na Russia si kuna siku watakopa kwasababu ya nguvu za kiume!Nguvu kubwa izidishwe kwenye miradi mikubwa ,yenywe ndo itakuwa na impact kubwa sana huku mbeleni .Sio kukopa sana kwa vitu vya huduma tu kama sasa.
Pimbi lingine hiliRIP JPM
Hebu jisikilize Kisha unijibu tenaTayari tuna umeme na barabara zaidi na walizokuwa nazo Wazungu walivyofanya mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) karne ya 18. Miundo mbinu ya Bangalore India ilijengwa kabla au baada ya wawekezaji kufika? Airport walijenga lini? Treni walijenga lini? Vyote vilikuja baada ya wawekezaji kuja.